akili ndogo sana. upo tayar kama nchi tuonekane majuha kama wana ccm ili nafsi yako iridhikeMahakama ikitoa zuio Leo baada ya kuzingatia overriding objective iitupe kesi hiyo mwezi wa nane
Hili ni suala la haki, aliyemtangulia apewe, mashauri ya zamani (backlog) ya kesi za mauaji ni kubwa, hizi kesi za Chama Cha kuweka na kukopa (saccoss) zisionekane za maana sana kuliko za wengine.akili ndogo sana. upo tayar kama nchi tuonekane majuha kama wana ccm ili nafsi yako iridhike
saccoss inakutengenezea Ma DC.Hili ni suala la haki, aliyemtangulia apewe, mashauri ya zamani (backlog) ya kesi za mauaji ni kubwa, hizi kesi za Chama Cha kuweka na kukopa (saccoss) zisionekane za maana sana kuliko za wengine.
Mahakama iweke nidhamu ya shughuli zake
Kunywa maji mwanangusaccoss inakutengenezea Ma DC.
ma RC
wabubge tena unakaataa nao
mawazir
makatibu wakuu kina Mkumbo
WE BADO UNAJITIA MADOLE, NA KUKATA MAUNO KAMA HADIJA KOPA AKIWA CHIMWAGA kuchagua viongozi vichaa kama yule aliyepigwa mweleka na korona
sacoss inakubwaga mahakamani? mtu anamkana mwanawe wa kumzaa wewe unamfundisha namna ya kumkataa ?Kunywa maji mwanangu
Unamkana kwa dunia ya DNA? Hilo Baraza la Kahawa tutalifanyia scanning hapo mahakamani na tutawaanika kende zenusacoss inakubwaga mahakamani? mtu anamkana mwanawe wa kumzaa wewe unamfundisha namna ya kumkataa ?
afu kesho unajiita mheshimiwa wa kunengua labda kama hadija kopa akiwa CHIMWAGA kuchagua viongozi vichaa vichaa