chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Haki ionekane pande zote, masheikh walikaa rumande miaka tele, hata Sasa tunapoongea ndugu zetu wanaozea rumande, kesi hizi za kisiasa zinapangwa tarehe za karibu.
Mahakama mnakwama wapi? First in first out.
Haki ni kwa wote.
Tunatarajia kesi hiyo ya akina Mdee na yenyewe ipangiwe miezi miwili au mitatu mbele kama kesi zetu sisi wa Tandale.
Mahakama mnakwama wapi? First in first out.
Haki ni kwa wote.
Tunatarajia kesi hiyo ya akina Mdee na yenyewe ipangiwe miezi miwili au mitatu mbele kama kesi zetu sisi wa Tandale.