Mahakama kutoa uamuzi wa Kesi ya Halima Mdee na wenzake Desemba 14

Mkuu, hope utatujuza kama ulivyofanya wakati ule wa kesi ya akina Mbowe. Nimekaa mkao wa kusoma utakachotuhabarisha.
 
It makes sense.
 
Tatizo ni masharti ya kamati ya bunge ya fedha, wenye pesa wanataka zisimamiwe na upinzani binginevyo wanasitisha kutoa! Hapo sasa hakubali mtu, liwalo na liwe.
Hao wenye fedha nao hovyo tu ina maana huu usanii wa serikali hawajaugundua?
 
Hao wenye fedha nao hovyo tu ina maana huu usanii wa serikali hawajaugundua?
Wazungu huwa hawapendi kuingilia upuuzi wetu, tuliwaona wao wabaya tukapewa uhuru sasa unatutokea puani, nchi nyingi za kiafrika ni migogoro kuliko ile ya kudai uhuru, mauaji kila siku.
 
CHADEMA KILA LEO NA KESI ZA KITOTO.

PUMBAFUUU KABISAAAAA......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…