SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kupewa ujaji Kiongozi siyo mchezo.Naona kama kipengele cha masaa 4 Jaji kakubaliana na Jamhuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupewa ujaji Kiongozi siyo mchezo.Naona kama kipengele cha masaa 4 Jaji kakubaliana na Jamhuri.
Kesi imetengenezwa na sabaya lakini anayesimamia Ni jamhuri[emoji848][emoji848][emoji848].Kesi ya Mbowe ilitengenezwa na Kina Sabaya wakati ule wakiamini wao ni Untouchable
Damu ya yesu kristo bwana wetu ipo kazini... kama mfalme Daudi alivyosema kwamba tangu utoto wake hadi uzee hajawahi kuona mwenye HAKI akadhulumiwa..."PGO imeanza kuzua mambo. Eeh Bwana wa Rehema Mungu mweny3 Nguvu Nyosha mkono wako bwana juu ya Mahakimu na Mbowe na kundi lake. Tenda miujiza kwa Jina La Yesu.
Mfano akila mvua 30, wewe unaingiza Hata cent 30 kwako? This stupidity thoughts must be stoped. Ubwa wee!Mbowe anasubiriwa ale mvua 30 damu ya Chacha wangwe inamlilia
Hata mie kanishangaza au hatujamuelewa?Naona kama kipengele cha masaa 4 Jaji kakubaliana na Jamhuri.
Ndioo, karibu kiumeni chadema.Kila la heri kwake kaka Mbowe
Mahakama ndio kila kitu
Nyagi za jana nini? Tupo hewani PGO na MO energy kwa Moses Lijenje on the way to Dar.
Haki ya Mwenye Haki huwa haipotei japo inaweza kuchelewaMipango mikakati ya Hangaya kuuaminisha umma juu ya Kauli yake dhidi ya Mbowe katika mahojiano na Salim Kikeke BBC ishafanikiwa, Basi anacheeekaaa!!
Nikupe ujaji kiongozi na jamhuri ishindwe!!?
Vyeo watu wanapandishwa baada ya kazi, na sio katikati ya kazi nzito!!
Athari zake ndyo hizooh!!
Aliona Mbowe ndo mpinzani pekee anayempelekesha. Sasa anataka ale raha kwa Mbowe kufungwa mpaka miaka yake ya urais iliyobaki iishe.Mazaa ndiye anaweka shinikizo Mbowe afungwe. Katili sana.