PGO imeanza kuzua mambo. Eeh Bwana wa Rehema Mungu mweny3 Nguvu Nyosha mkono wako bwana juu ya Mahakimu na Mbowe na kundi lake. Tenda miujiza kwa Jina La Yesu.Jaji: MASAA MANNE lazima yazingatie isipokuwa yale yaliyoelezwa yamezingatiwa, ukishindwa hivyo Ushahidi huo haupaswi kupokelewa... Na mimi Narejea kesi ya Mahakama ya Rufaa kuwa kutokuzingatia sheria ya kifungu namba 51 katika kuchukua maelezo inaathiri ushahidi huo.
Mungu tetea watu wako