Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa yatupilia mbali mapingamizi 2 kesi ndogo ya Mbowe na Wenzake. Jaji Siyani ajitoa kuendelea na kesi

Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa yatupilia mbali mapingamizi 2 kesi ndogo ya Mbowe na Wenzake. Jaji Siyani ajitoa kuendelea na kesi

Jaji amekosea kieheria na kimantiki kwa hukumu aliyotoa. Nikijikita kwa mantiki ya exception jaji kakosea katika maeneo mengi.
1. Rule of exception inakataa kuwa na two exceptions consecutively in one case( situation). Ndo maana Kuna remarks ( save only)
2. Exception inapotumika kwa kawaida hubenefit the weak point and not the opposite.
3. The concept ya haki kuonekana kutendeka jaji amekosea kutoa hukumu wakati ametoka kubenifit kutoka upande wa mashtaka ( serikali)
Majaji wa CCM hawa.
 
Hii kesi kwenye hiyo mahakama naona imeisha kwa huu uamuzi wa kutengeneza wa leo ambao kimsingi umetolewa kama asante kwa mamlaka ya uteuzi kwa kumpa jaji cheo.

Mahakama ya rufaa chini ya majaji watatu ndio napopategemea, hawawezi kutoa hukumu kwa "maoni yao" kama alivyofanya Siyani.
Usiamini hawa watu mkuu.
 
Ndugu zangu,tumeshindwa kuona tatizo?
Leo tena namtetea Jaji aliehukumu Kesi mdogo ndani ya Kesi ya mwingi ya Mbowe,
Nawatetea mapolisi waliowatesa akina Adamoo.
Hawa hawana kosa lolote zaidi ya kutekeleza maagizo kutoka CCM.
Jamani Mbaya wetu ni CCM.
Hawa majaji na Mapolisi wakienda kinyume na maagizo ya CCM mnajua kitakachowapata.
Adui namba moja Tanzania ni CCMkatiba mpya haitakujabkwa sababu ya CCM.
CCM ndio mtambo wa mateso ya Mbowe.

Ila siku za CCM sasa zimekwisha.
Katiba mpya iko karibu Sana.
Makosa inayoyafanya CCmM ni makubwa bila wao kujijua.wamepigwa upofu.
 
kama watu wakuleta changes ni watz basi unapoteza muda wako bure bro, CCM haitatoka madarakani sababu watanzania hawajawa tayari na hawataki kuwa tayari
 
Ndugu zangu,tumeshindwa kuona tatizo?
Leo tena namtetea Jaji aliehukumu Kesi mdogo ndani ya Kesi ya mwingi ya Mbowe,
Nawatetea mapolisi waliowatesa akina Adamoo.
Hawa hawana kosa lolote zaidi ya kutekeleza maagizo kutoka CCM.
Jamani Mbaya wetu ni CCM.
Hawa majaji na Mapolisi wakienda kinyume na maagizo ya CCM mnajua kitakachowapata.
Adui namba moja Tanzania ni CCMkatiba mpya haitakujabkwa sababu ya CCM.
CCM ndio mtambo wa mateso ya Mbowe.

Ila siku za CCM sasa zimekwisha.
Katiba mpya iko karibu Sana.
Makosa inayoyafanya CCmM ni makubwa bila wao kujijua.wamepigwa upofu.
Kwahiyo ufumbuzi/suluhu ya matatizo yetu ni upi?
 
Ndugu zangu,tumeshindwa kuona tatizo?
Leo tena namtetea Jaji aliehukumu Kesi mdogo ndani ya Kesi ya mwingi ya Mbowe,
Nawatetea mapolisi waliowatesa akina Adamoo.
Hawa hawana kosa lolote zaidi ya kutekeleza maagizo kutoka CCM.
Jamani Mbaya wetu ni CCM.
Hawa majaji na Mapolisi wakienda kinyume na maagizo ya CCM mnajua kitakachowapata.
Adui namba moja Tanzania ni CCMkatiba mpya haitakujabkwa sababu ya CCM.
CCM ndio mtambo wa mateso ya Mbowe.

Ila siku za CCM sasa zimekwisha.
Katiba mpya iko karibu Sana.
Makosa inayoyafanya CCmM ni makubwa bila wao kujijua.wamepigwa upofu.
Suala la katiba ni ccm wenyewe wakiitaka itakuwepo wasipoitaka haitakuwepo.Pia msisahau Mama ndiyo alikuwa mwenyekiti wa Bunge la katiba anaijua vizuri
 
Yana mwisho haya. Alikuwepo jini mwenye nguvu sana leo hii hatunaye.

Yupo Munngu juu mbinguni anatupigania
 
Mkuu hujafuatilia maelezo yote ya jaji yakiwa na hukumu mwishoni?!
AMEYATUPILIA MBALI NA KUJITOA KUENDELEA NA SHAURI KUU yaani atafutwe judge mwingine

Thread mwanzo ilikuwa imeletwa na mtu mwingine kabla mods hawajaunga na uzi huu
 
Hii nchi kuna haja ya kutawaliwa tena. Atafutwe mkoloni mzuri haraka. Imeshindwa kujiendesha
Si Lissu yuko Ubelgiji akiwabembeleza Wabelgiji waje kutawala TZ ili CHADEMA wapate haki. Kapewa mamilioni anakula kuku kwa mrija huku wajinga wakimuandalia yeye na Wabelgiji kuja kutawala kwa niaba ya CHADEMA.
 
Huyu jaji ni kabila gani? dini gani? anaishi wapi? mwageni wasifu wake wote... ni lazima ajadiliwe hapa leo, tusimwache atuchezee nyeti zetu sisi ni watu wazima tunamzidi umri na hata elimu by the way.
Ungekuwa na elimu usingejiheshima unavyojiheshimu. Wewe ni bendera fuata upepo, huna uzee wala elimu unayodai unayo.
 
Jaji Kiongozi: ni sawa tunapaswa Kunaendele na Shahidi Lakini nikaomba nishauriane na Mawakili. Sasa Nimeona kwamba Shauri hili ni Moja ya Shauri linalopaswa kuisha kwa haraka.

Jaji: Kama Shauri likienda mfululizo ingechukua Miezi kama Minne

Jaji: Hivyo kwa Majukumu niliyonayo nimeona nijitoe aje Jaji mwingine haraka iwezekanavyo zekanavyo

Jaji ananyanyuka anaondoka Zake.
Kesi ya moto sana hii kila anayekikalia kiti cha jaji kinamuunguza.. Ila atatokea mmoja atakayeinuliwa na hapo ndipo maajabu yatatendeka
 
Hawa ni wakupuuza tu,
Kwa Sabaya mahakama imetenda haki. Kwa Mbowe mahakama haitendi haki.
Wanapenda wayatakayo wao ndio yatokee nje na hapo hakuna haki.
Wao ndio mizani ya haki!
Kingai aliomba aende chooni na hali hiyo ikitokea baada ya kuzidiwa na maswali

Mahita alisema hajui bosi wake kingai anatoa ushahidi upi

Sayani Siyani kumbuka usemi huu "ewe mwanadamu uliyezaliwa na mwanamke siku zako za kuishi dunian ni chache"
 
Back
Top Bottom