Mahakama kuu imesema msanii Elizabeth Michael (Lulu) ana kesi ya kujibu

Circumstantial evidence itatumika halafu kuna kanuni moja ya kisheria inaitwa the last person to be seen with the deceased itakuwa invoked kwenye mazingira hayo. Pia kumbuka kuna ushahidi wa mdogo wake Kanumba anaitwa Bosco utamuimplicate vzr tu. Amesema Lulu walikuwa chumbani na Kanumba then akasikia some kind of commotion.
 
Bila shaka utakuwa ni learned brother mkuu.
 
Ila kwakutumia assumption tu, wanawake wa kaskazini mikono yao kuua ipo fasta sana. Ila Lulu mkimwangalia leo mtaona jinsi alivyodata. Yani kama hajaamini Dr atatoa ripoti ile.
 
But kama angeinvoke defense ya self defense angefanikiwa kdg hapo huwa ni partial defense na cyo full. Nadhani kwenye defense ataegemea kwenye suala la umri.
 
Utetezi wa Lulu. Kwa namna yoyote ile mimi sijasababisha kifo cha Kanumba,na mimi ndiye nilieshambuliwa na marehemu kutokana na umbile langu nilikuwa mdogo na alikuwa na uwezo wa kufanya chochote kwenye mwili wangu kwa sababu yeye ndo alikuwa na silaha
 
Sasa atajibu nini naliona gereza lile
Wangemwacha tu mtu mwenyewe kashajifia
Haya mapenzi kweli yanaua
 
Kafungwe tu,..mi natofautiana sana na wa tz weng wanafiki,hypocrites kabsaa,..hata kama ni miaka5,..kanumba was a great man.uskute kalimsukuma akajigonga ukutan,.kafungwe tu
 
Tatizo ni wakili Kibatala.. Kibatala jitoe kesi iishe
 
Lulu kesi yake ni kuua bila kukusudia na adhabu yake nikifungo kisichozidi miaka 30 ila angeua kwa kukusudia ni kifungo cha maisha au kunyongwa! Hiyo ndo criminal law under Penal Code ya Tanzania!
 
Af haka katoto yaan hakana waswas,kanatikisa kichwa kanachat
 
justice is justice.. no one above the law.
let judges decide.
 
Kafungwe tu,..mi natofautiana sana na wa tz weng wanafiki,hypocrites kabsaa,..hata kama ni miaka5,..kanumba was a great man.uskute kalimsukuma akajigonga ukutan,.kafungwe tu
Sheria ifuatwe tu. Ila Wabongo wanafiki sana.
 
Alafu huyu dogo angejua kesi yake inaanza Lini angejibebea mimba tu. Hapo Najua muheshimiwa hakimu angeliangalia tumbo lake jicho la huruma lingemjia tu.
 
Masikini Lulu. Wamsamehe tu.
Ningekuwa mimi ndo mama kanumba ningesamehe tu kwani hata akifungwa mwanae hawezi kurudi

kesi ya kuua sio kama ya kuibiwa simu au kutukana mtu mama kanumba hana uwezo wa kusema kesi iishe
 
Ayaaa hii Kesi kumbe yaweza mfanya akaenda Segerea huyu mtt
Yaan ataenda kwa walivomkomalia na ushahidi wq kutosha mzuri tu......!!!!!atapata jibu la Dunia na Gunia vina tofauti ya herufi moja tu ya mwanzo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…