Mahakama Kuu imewaruhusu Halima Mdee na wenzake 18 kufungua kesi ya kupinga CHADEMA kuwavua uanachama

Mahakama Kuu imewaruhusu Halima Mdee na wenzake 18 kufungua kesi ya kupinga CHADEMA kuwavua uanachama

Kesi Yao mbona haihusu ubunge ila uanachama!! Whether walikua na karatasi rasmi or not walichofukuzwa ni kukiuka wito wa Kamati kuu kuhojiwa juu ya ubunge.

So whether walienda kwa barua rasmi maadam Kamati kuu (kama Kamati ya maadili) imewaita na wamegoma hivyo walihukumiwa Ina absentia inahusiana nini na ubunge wao?
nikuulize swali dogo naomba ujibu kila JF, jibu objectively usiweke ushabiki

Je COVID 19 wasingekuwa wabunge kuna mtu yoyote Chadema angehangaika kuwavua uanachama? unao mfano wa mtu alievuliwa uanachama na sababu zake? these two things are connected mkuu!

Yaani in short viongozi Chadema wana majina yao wanataka kupeleka bungeni kwa maslahi ya kipesa au mapenzi kina Joyce wa Miwani Makengeza bin Mmbowe, Halima mtoto wa mjini she has outsmarted them!
 
#HABARI MAHAKAMA Kuu imewaruhusu wabunge 19 wa Viti Maalum kufungua kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)./bit.ly/3OUFVbx

==========

Mahakama Kuu imewaruhusu waliokuwa wanachama wa CHADEMA, Halma Mdee na wenzake 18 kufungua shauri la kupinga uamuzi wa chama hicho kuwavua uanachama.

Mahakama hiyo imetoa ruhusa hiyo kwa kina Mdee leo Ijumaa Julai 8, 2022, baada ya kukubaliana na hoja za maombi yao ya ridhaa ya kufungua shauri hilo la kupinga kuvuliwa uanachama.

Maombi hayo ya kina Mdee yalisikilizwa na Jaji Mustapha Ismail Juni 30 mwaka huu na CHADEMA kupitia kwa jopo la mawakili wao linaloongozwa na Peter Kibatala, walipinga hoja za mawakili wa kina Mdee kuwa hazikidhi matakwa ya kisheria kupewa ruhusa hiyo

Hata hivyo Jaji Ismail katika uamuzi wake leo amekubaliana na vigezo na hoja zote za kina Mdee, zilizowasilishwa na mawakili wao, Ipilinga Panya, Aliko Mwamanenge, Edson Kilatu na Emmanuel Ukashu.

Kwa uamuzi huo sasa kina Mdee wanatakiwa kufungua shauri lao hilo ndani ya siku 14 kuanzia leo.

Joyce Mukya alikuwa anapiga jalamba kuukwaa Ubunge wa ngono, inabidi awe mpole kidogo tumalize jambo letu
 
Huyo jaji ndie aliahirisha huo uamuzi last time ili akapewe maelezo ya kuikanyaga haki.

Hii kesi kuanzia mwanzo imeshaonekana kuna external force inatumika kuwalinda hao wanawake 19, hivyo sitashangaa kama wakishinda hiyo kesi yao licha ya Chadema kufuata taratibu zote kuwavua uanachama.

Vinginevyo inaweza kucheleweshwa mpaka 2025 huku muda huo wakiendelea kuwepo bungeni wanakula posho, Samia wa maridhiano hajawahi kuwa serious kwenye hii issue.
Unataka Samie awe serious na hii issue kwani yeye ndo Mahakama?
 
Hata ikifika huko au 2030 tutataka tuendelee nayo mpaka tujue mbivu na mbichi ili tuweke rekodi vizuri kwà matumizi ya baadae kuna watu watazitapika tu hizo hela.
Tuliposema kuwa hawa watakuwepo Bungeni hadi 2025 ili Kuilinda Kauli ya Kimakosa ya Madam Spika Ackson na pia kuonyesha kuwa Serikali ya CCM chini ya Rais Samia inajali Wapinzani na kwamba kuna Demokrasia nchini hadi Bungeni mlikuwa hamjatuelewa Waona Mbali tuliobarikiwa?

Kitakachofanyika just to buy time na waendelee kuwepo Bungeni ni kwamba hii Kesi itapigwa Danadana / Kalenda kila mara ili mradi tu ifike na wafike hadi hiyo 2025.
 
Walishafukuzwa uanachama nani ana shida na ubunge wao?? Wanapoteza muda tu maana hata wakishinda kesi CHADEMA itawatimua upya kwa baraza kuu la dharura!! So mnawajaza tu upepo.

Ila ndio hivyo kufikia 2025 watakua wamezikwa kisiasa, watakua irrelevant kama viti maalum wengine waliowahi toroka kama Sungura au Suzan Masele.
Hamna shida na ubunge wao? Mbona kila siku mpo mahakamani kuweka mapingamizi?

Nani anajua ya 2025?? Au ww umajihakikishia utakuwepo?
 
#HABARI MAHAKAMA Kuu imewaruhusu wabunge 19 wa Viti Maalum kufungua kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)./bit.ly/3OUFVbx

==========

Mahakama Kuu imewaruhusu waliokuwa wanachama wa CHADEMA, Halma Mdee na wenzake 18 kufungua shauri la kupinga uamuzi wa chama hicho kuwavua uanachama.

Mahakama hiyo imetoa ruhusa hiyo kwa kina Mdee leo Ijumaa Julai 8, 2022, baada ya kukubaliana na hoja za maombi yao ya ridhaa ya kufungua shauri hilo la kupinga kuvuliwa uanachama.

Maombi hayo ya kina Mdee yalisikilizwa na Jaji Mustapha Ismail Juni 30 mwaka huu na CHADEMA kupitia kwa jopo la mawakili wao linaloongozwa na Peter Kibatala, walipinga hoja za mawakili wa kina Mdee kuwa hazikidhi matakwa ya kisheria kupewa ruhusa hiyo

Hata hivyo Jaji Ismail katika uamuzi wake leo amekubaliana na vigezo na hoja zote za kina Mdee, zilizowasilishwa na mawakili wao, Ipilinga Panya, Aliko Mwamanenge, Edson Kilatu na Emmanuel Ukashu.

Kwa uamuzi huo sasa kina Mdee wanatakiwa kufungua shauri lao hilo ndani ya siku 14 kuanzia leo.

Chadomo wanazidi kuangukia pua kila hatua 😆😆😆😆
 
Mnyika au Mbowe ndio wanatakiwa kuteua wabunge au ni Kamati kuu?

Baraza kuu limewafukuza whether walitumwa na nani haituhusu wanachama.

Tunachoomba mahakama iheshimu maamuzi ya baraza kuu maana akidi ilitimia na sheria za chama zilifuatwa.

Hatuna shida na ubunge wao
Sidhani kama akidi ilitimia kwa haraka na mhemko wa njama za kusitisha ugali wa kina Halima na kuuhamishia kwa michepuko kina Joyce!!

Hivi Chadema wanakula ruzuku za COVID 19? nani anajua hilo?
 
Huyo jaji ndie aliahirisha huo uamuzi last time ili akapewe maelezo ya kuikanyaga haki.

Hii kesi kuanzia mwanzo imeshaonekana kuna external force inatumika kuwalinda hao wanawake 19, hivyo sitashangaa kama wakishinda hiyo kesi yao licha ya Chadema kufuata taratibu zote kuwavua uanachama.

Vinginevyo inaweza kucheleweshwa mpaka 2025 huku muda huo wakiendelea kuwepo bungeni wanakula posho, Samia wa maridhiano hajawahi kuwa serious kwenye hii issue.
Kwani Samia uliyemtaja ndiye Jaji wa Mahakama? Unataka Rais aingilie uhuru wa Mahakama kwa fauda yenu? No

Siyo busara kumhusisha Rais ktk mambo asiyihusika unless utuambie Rais Samia anahusikaje ktk uamuzi wa Mahakama
 
#HABARI MAHAKAMA Kuu imewaruhusu wabunge 19 wa Viti Maalum kufungua kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)./bit.ly/3OUFVbx

==========

Mahakama Kuu imewaruhusu waliokuwa wanachama wa CHADEMA, Halma Mdee na wenzake 18 kufungua shauri la kupinga uamuzi wa chama hicho kuwavua uanachama.

Mahakama hiyo imetoa ruhusa hiyo kwa kina Mdee leo Ijumaa Julai 8, 2022, baada ya kukubaliana na hoja za maombi yao ya ridhaa ya kufungua shauri hilo la kupinga kuvuliwa uanachama.

Maombi hayo ya kina Mdee yalisikilizwa na Jaji Mustapha Ismail Juni 30 mwaka huu na CHADEMA kupitia kwa jopo la mawakili wao linaloongozwa na Peter Kibatala, walipinga hoja za mawakili wa kina Mdee kuwa hazikidhi matakwa ya kisheria kupewa ruhusa hiyo

Hata hivyo Jaji Ismail katika uamuzi wake leo amekubaliana na vigezo na hoja zote za kina Mdee, zilizowasilishwa na mawakili wao, Ipilinga Panya, Aliko Mwamanenge, Edson Kilatu na Emmanuel Ukashu.

Kwa uamuzi huo sasa kina Mdee wanatakiwa kufungua shauri lao hilo ndani ya siku 14 kuanzia leo.

Wameamua kulazimisha kubaki ndani ambamo mwanzo walipaona hapawafai wakaenda kuunga mkono juhudi dhalimu. Kweli ubaya mwisho wake ni aibu.
 
#HABARI MAHAKAMA Kuu imewaruhusu wabunge 19 wa Viti Maalum kufungua kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)./bit.ly/3OUFVbx

==========

Mahakama Kuu imewaruhusu waliokuwa wanachama wa CHADEMA, Halma Mdee na wenzake 18 kufungua shauri la kupinga uamuzi wa chama hicho kuwavua uanachama.

Mahakama hiyo imetoa ruhusa hiyo kwa kina Mdee leo Ijumaa Julai 8, 2022, baada ya kukubaliana na hoja za maombi yao ya ridhaa ya kufungua shauri hilo la kupinga kuvuliwa uanachama.

Maombi hayo ya kina Mdee yalisikilizwa na Jaji Mustapha Ismail Juni 30 mwaka huu na CHADEMA kupitia kwa jopo la mawakili wao linaloongozwa na Peter Kibatala, walipinga hoja za mawakili wa kina Mdee kuwa hazikidhi matakwa ya kisheria kupewa ruhusa hiyo

Hata hivyo Jaji Ismail katika uamuzi wake leo amekubaliana na vigezo na hoja zote za kina Mdee, zilizowasilishwa na mawakili wao, Ipilinga Panya, Aliko Mwamanenge, Edson Kilatu na Emmanuel Ukashu.

Kwa uamuzi huo sasa kina Mdee wanatakiwa kufungua shauri lao hilo ndani ya siku 14 kuanzia leo.

Mimi sikusoma sheria nilisoma mambo mengine; wala mimi sina upande wo wote kwenye kesi hii. Naomba kuelimishwa na wanasheria. Katika masual ya haki, je, hakuna mambo ambayo mahakama huwa haina mamlaka kuingilia ? Kwa mfano, mahakama ina uwezo wa kunilazimisha nimwoe binti ambaye simtaki? Au mahakama inaweza kuamua masuala ya kisiasa ambayo wapiga kura ndiyo waamuzi? Mipaka ya mahakama ni ipi?

Sent from my ONEPLUS A5000 using JamiiForums mobile app
 
Ninashauki ya kumfahamu aliyetia saini ya wabumge hao kuteuliwa kutokea Chadema!

..hutamjua kwasababu hayupo ndani ya Chadema.

..upo uwezekano kwamba kina Halima hawakusumbuka kutengeneza barua feki za uteuzi.

..kwamba walikwenda bungeni kwa maelekezo / maagizo na kuapishwa kuwa wabunge.
 
Awe sero kwa kosa gani?

Kuna nchi ama mtu specifically aliyetajwa. Sasa kwa mfano unampeleka mahakamani mtu kama huyu, hiyo kesi itafunguliwa kwa kuzingatia kifungu gani cha sheria na kosa gani litaainishwa kwenye charge?
Mimi sisemi ametenda kosa, wala sisemi aende selo. Iwa wapo walioelewa nimezungumzia nini
 
Yes njia sahihi ni kuwasikiliza - mengi yatajulina kuhusu process yote hadi wakawa Wabunge, kuna muda Mungu ana njia zake kumpaisha ama kumdondosha mwanadamu!!
 
Mimi sikusoma sheria nilisoma mambo mengine; wala mimi sina upande wo wote kwenye kesi hii. Naomba kuelimishwa na wanasheria. Katika masual ya haki, je, hakuna mambo ambayo mahakama huwa haina mamlaka kuingilia ? Kwa mfano, mahakama ina uwezo wa kunilazimisha nimwoe binti ambaye simtaki? Au mahakama inaweza kuamua masuala ya kisiasa ambayo wapiga kura ndiyo waamuzi? Mipaka ya mahakama ni ipi?

Sent from my ONEPLUS A5000 using JamiiForums mobile app
Mahakama ni chombo cha mwisho cha utoaji haki na kutafsiri sheria

Kasome katiba
 
Timu gaidi kwisha habari yao

Safi.sana Mdee waonyeshe kazi mpaka Joyce Mukya akome kupewa ubunge wa kupanua mapaja.
Naskia wewe umeshapanuliwa mapaja jamaa akajigongea 5 rounds. Na inasemekan unamnato wa umajiumaji kwemye k yako.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom