Mkuu,
Alitia saini ni Mnyika kwa ruhusa ya Mbowe!
Muulize Pasco Mayalla atakwambia!
Hiki chama kina upumbavu mwingi sana
..Kamati Kuu haikuwateua.
..Mnyika amekana kutia saini nyaraka zozote.
..hiyo ina maana waliapishwa bila kuteuliwa na chama, na bila barua.