Nendeni mkasome shule muache ulalamishi. Kama hukuelewa katafute mtu akutafsirieHivi ni kwanini mambo ya sheria huandikwa kwa lugha ya Kiingereza na sio Kiswahili?
Nani amelalamika? nani amekwambia kua haelewi?Nendeni mkasome shule muache ulalamishi. Kama hukuelewa katafute mtu akutafsirie
Duh wewe @icebreaker ni punguani sasa. Kasome mwenyewe ulichoandika kwenye post #2Nani amelalamika? nani amekwambia kua haelewi?
Au na wewe mradi tu u comment ili usisahauliwe kua upo humu JF?
Jaribu kua na akili ya uelewa,kama huelewi swali basi piga kimya kuliko kupayuka hovyo.
Huna akili wewe,Duh wewe @icebreaker ni punguani sasa. Kasome mwenyewe ulichoandika kwenye post #2
Kuna wagombea walitekwa, wakapigwa na kutupwa msituni, na wengine wakawekwa lupango Ili kupisha wagombea wanaotakiwa kupita bila kupingwa!!!Mahakama Kuu Tanzania imeamuru hakuna wagombea Ubunge, Udiwani wala Wenyeviti wa S/Mitaa/Vijiji/Vitongoji kupita bila kupingwa. Imetamka vifungu hivyo ni BATILI vinakwenda kinyume na Katiba.
---
View attachment 2570208View attachment 2570211View attachment 2570217
Kumbuka Waziri mkuu naye alipita bila kupingwa Ruangwa.Kuna wagombea walitekwa, wakapigwa na kutupwa msituni, na wengine wakawekwa lupango Ili kupisha wagombea wanaotakiwa kupita bila kupingwa!!!
Mahakama pia ingetamka jambo juu ya hawa washindi haramu..
Kwenye mgombea binafsi sababu walishindwa kwenye mahakama ya Afrika walileta utetezi kwamba swala hilo limepitishwa kwenye mchakato wa katiba, ila kwa sababu tuna majaji njaa wakakubali hoja yao wakati wao walitakiwa kukazia hukumu.Jamhuri hawachelewi kukata rufaa na kushinda! Kama wachawi vile. Maana hata kwenye hukumu ya kuruhusu Mgombea binafsi, walifanya hivi hivi.
Huwa ni utahira tu,yani jamii yako 99% watu wanazungumza Kiswahili hata hiyo 1% iliyobaki inafahamu kiingereza kwa shida bado unaandjka nyaraka kwa Kiingereza what for?Hivi ni kwanini mambo ya sheria huandikwa kwa lugha ya Kiingereza na sio Kiswahili?
Hii ni habari mbaya sana kwa Halima Mdee na vicheche wenzake 18.Mahakama Kuu Tanzania imeamuru hakuna wagombea Ubunge, Udiwani wala Wenyeviti wa S/Mitaa/Vijiji/Vitongoji kupita bila kupingwa. Imetamka vifungu hivyo ni BATILI vinakwenda kinyume na Katiba.
---
View attachment 2570208View attachment 2570211View attachment 2570217
Mahakama Kuu Tanzania imeamuru hakuna wagombea Ubunge, Udiwani wala Wenyeviti wa S/Mitaa/Vijiji/Vitongoji kupita bila kupingwa. Imetamka vifungu hivyo ni BATILI vinakwenda kinyume na Katiba.
---
View attachment 2570208View attachment 2570211View attachment 2570217
Kuna hili neno la kisheria SALUS POPUL SUPREMA LEX-CICERO naomba tafsiri yake Kwa kiswahiliMwambae alitakae na kuna jaji aliwahi toa hukumu kwa lugha ya kiswahili!!
Rip Mwamba kwa kuonyesha njia!!
Ni kwa sababu ya kukosa ubunifu wa kiaheria.Hivi ni kwanini mambo ya sheria huandikwa kwa lugha ya Kiingereza na sio Kiswahili?
Tulipitia kipindi kigumu sana.Mahakama Kuu Tanzania imeamuru hakuna wagombea Ubunge, Udiwani wala Wenyeviti wa S/Mitaa/Vijiji/Vitongoji kupita bila kupingwa. Imetamka vifungu hivyo ni BATILI vinakwenda kinyume na Katiba.
---
View attachment 2570208View attachment 2570211View attachment 2570217