Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,833
- 11,173
This is huge for Tanzanians
Hakika huu ni ushindi mkubwa sana kwa wapenda demokrasia
DED waliipindua kabisa katiba ya Jamhuri inayo sema mtu ata zuiwa kugombea nafasi ya kuchaguliwa kama:
1-Atatumikia kifungo zaidi ya miezi 6 jela
2-Atahukumiwa kifungo chochote kwa kosa la kukwepa kulipa kodi(hata ukifungwa kifungo cha nje au siku moja kwa kosa la kukwepa kulipa kodi huwezi gombea)
3-Mahakama imethibitisha sio raia wa TZ
Magu yy alikua anamuambia tu DED kata wote
Hakika huu ni ushindi mkubwa sana kwa wapenda demokrasia
DED waliipindua kabisa katiba ya Jamhuri inayo sema mtu ata zuiwa kugombea nafasi ya kuchaguliwa kama:
1-Atatumikia kifungo zaidi ya miezi 6 jela
2-Atahukumiwa kifungo chochote kwa kosa la kukwepa kulipa kodi(hata ukifungwa kifungo cha nje au siku moja kwa kosa la kukwepa kulipa kodi huwezi gombea)
3-Mahakama imethibitisha sio raia wa TZ
Magu yy alikua anamuambia tu DED kata wote