Pre GE2025 Mahakama Kuu yaagiza dhamana ya Dkt. Slaa ishughulikiwe haraka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndiyo maana Trump anawadharau sana watawala wa nchi za kiafrika kwa upuuzi kama huu.
 
Wastage of time + misuse of resource za walipa kodi na kukomoa watu kipumbavu kwa mambo ya kijinga kabisa
 
Usijali wao ndo wataumia ngoja Trump akatishe misaada bwana big ben ila hio kuteua si matakwa ya kikatiba
 
Taifa linaongoza kwa laana ndiyo maana hata mvua hazinyeshi, unamfunga mtu tena babu kisa kosa ambalo linadhamana kwanini nchi isipate laana? yaani hutaki kukosolewa kisa una mamlaka. Trump tunyooshee hawa wajinga
Badala uwanyooshe wewe unampa jukumu Trump.
 
Akili ya kimaskini sana. Kufikiri kula na kulala ndio kika kitu kwenye maisha.

Wenzako wanatafuta haki kwa vijukuu vyao wewe unaona mlo tu ndio muhimu. Shida sana
 
Sasa aachiliwe,hakuna madhara Tena. Uchaguzi chadema umeisha.
Ana kelele sana
 
Haraka yaani is izidi mwezi 1
 
Zaidi ya ukubwa wa matako yako na ujinga ulivyo navyo, unamzidi kipi?
 
Kukaa mahabusu kunatia mtu adabu, nywele zote nyeupeee na macho yanatia huruma kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…