Pre GE2025 Mahakama Kuu yaagiza dhamana ya Dkt. Slaa ishughulikiwe haraka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona povu linakutoka ovyo?
 
Maza katili haswa
 
Bora afie mahabusu akipigania demokrasia kuliko wewe unafia kuwa chawa wa binadamu wenzio
 
Muda waliotaka akae ndani naona umeisha sasa wanamuachia.... kazi kweli kweli
 
Muda waliotaka akae ndani naona umeisha sasa wanamuachia.... kazi kweli kweli
Nafikiri watamtafutia zengwe lingine kuelekea October 2025. Dr Slaa, Lissu, Mpina kwa sasa ni sauti za Watanzania.

Wanapigania maslahi, haki, uhuru, demokrasia ya ukweli kwa Watanzania kwa ujasiri mkubwa. Wanajaribu kuwafunga midomo kwa mbinu zozote zile hata kupitia magereza.
 
CCM wanatumia Mahakama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…