Mbona povu linakutoka ovyo?huyu babu atakuja kufia mahabusu yaani umri huo bado unashindana na wenye nguvu ? hayo matesoi anayoyapata anajipunguzia umri wa kuishi bure hela anayo ya kutosha kula vizuri huku akilea wajukuu sasa anachokitafuta sijui ni nini ana laana ya upadre huyu ndiyo maana hata mkewake alikuwa anamduda ma ngumi
Sister angu huna akili, tunaongelea dhamana hatuongelei kesiBabu hana justification ya kuropoka tu bila kufuata utaratibu. Alifanya hayo ndio madhara yake.
UWT kwa ngono hamjamboJOSEPHINE MUSHUMBUSHI,YULE MZEE ATAKUJA KUKUUA TUH,KWANZA NI KIBAKA HANA HELA..PILI AMEZEEKA HAWEZI TENA KUKUPIGA MASHINE,TUPE SISI TUMSAIDIE MZEE KAZI HIYO
Maza katili haswaHiyo yote imepangwa wanapiga danadana. Hata akitoka ameisha kaa jela zaidi ya mwezi, miezi kadhaa ni kama amehukumiwa tayari kifungo cha wiki, mwezi, miezi kadhaa.
Hii ni kama umuweke jela mtu mwenye umri kama wa Wassira, Warioba, Hafidh mume wa Samia kisa hupendi maoni yake. Hawana utu hawa mafisadi.
Triumph anafuatili kwa ukaribu sana mwenendo wa nchi za Africa 🌍Taifa linaongoza kwa laana ndiyo maana hata mvua hazinyeshi, unamfunga mtu tena babu kisa kosa ambalo linadhamana kwanini nchi isipate laana? yaani hutaki kukosolewa kisa una mamlaka. Trump tunyooshee hawa wajinga
Atunyoshee hawa wajingaTriumph anafuatili kwa ukaribu sana mwenendo wa nchi za Africa 🌍
Wanao ahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima dataAtunyoshee hawa wajinga
Jamaa anaenda nao vizuri sn mpk 2028Wanao ahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima data
Tuna rais wa ajabu haijawahi kutokeaTaifa linaongoza kwa laana ndiyo maana hata mvua hazinyeshi, unamfunga mtu tena babu kisa kosa ambalo linadhamana kwanini nchi isipate laana? yaani hutaki kukosolewa kisa una mamlaka. Trump tunyooshee hawa wajinga
Bora afie mahabusu akipigania demokrasia kuliko wewe unafia kuwa chawa wa binadamu wenziohuyu babu atakuja kufia mahabusu yaani umri huo bado unashindana na wenye nguvu ? hayo matesoi anayoyapata anajipunguzia umri wa kuishi bure hela anayo ya kutosha kula vizuri huku akilea wajukuu sasa anachokitafuta sijui ni nini ana laana ya upadre huyu ndiyo maana hata mkewake alikuwa anamduda ma ngumi
Nonsense!JOSEPHINE MUSHUMBUSHI,YULE MZEE ATAKUJA KUKUUA TUH,KWANZA NI KIBAKA HANA HELA..PILI AMEZEEKA HAWEZI TENA KUKUPIGA MASHINE,TUPE SISI TUMSAIDIE MZEE KAZI HIYO
Ni katili haswaTuna rais wa ajabu haijawahi kutokea
Muda waliotaka akae ndani naona umeisha sasa wanamuachia.... kazi kweli kweliMahakama Kuu ya Tanzania, masijala kuu jijini Dar Es Salaam imegiza shauri la mwanasiasa Mkongwe Nchini Dkt. Wilbroad Slaa lirejeshwe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kushughulikiwa kwa dhamana yake.
Dkt. Slaa na jopo la mawakili wake walifungua shauri la mapitio la kesi yake katika Mahakama Kuu akipinga mwenendo wa Mahakama ya Kisutu kuahirisha usikilizwaji wa suala la dhamana yake kutokana na maombi ya kupinga dhamana yake yaliyotolewa na Jamhuri.
Jaji Arnold Kirekiano leo Januari 30, 2025 amesema kwa kuwa kesi ya msingi iko Mahakama ya Kisutu ambayo ina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo na kwa kuwa hoja ya uhalali wa mashtaka ilishatolewa Kisutu na inasikilizwa na kupangiwa uamuzi amesema si vyema Mahakama Kuu kuingilia kati. Hivyo Jaji Kirekiano ameelekeza Mahakama ya Kisutu itoe uamuzi ambao ilishauandaa.
Dkt. Slaa alikosa dhamana tangu alipopanda kizimbani Januari 10, 2025 kusomewa shitaka linalomkabili la kusambaza taarifa za uongo kupitia mtandao wa X.
Soma, Pia:
- PICHA: Tundu Lissu aongezeka jopo la Mawakili kumtetea Dkt. Slaa Kisutu, kesi ya kusambaza taarifa za uongo
- LHRC: Mamlaka itoe haki ya dhamana kwa Dkt. Slaa, ni haki yake
- Wakili Madeleka: Kisutu kuna danadana za kumnyima haki ya dhamana Dkt. Slaa tumeenda Mahakama Kuu
Nafikiri watamtafutia zengwe lingine kuelekea October 2025. Dr Slaa, Lissu, Mpina kwa sasa ni sauti za Watanzania.Muda waliotaka akae ndani naona umeisha sasa wanamuachia.... kazi kweli kweli
Sibadiliki. Sasa unasemaje?We ni mtu mzima sana yani kiumri humu wengi si ajabu ni wajukuu wako lakini unatutafutia laana mkuu, badilika haikusaidii kitu kufurahia mtu akiteseka kwa kuonewa
Kwa hiyo?UJINGA MTUPU
CCM wanatumia MahakamaMahakama Kuu ya Tanzania, masijala kuu jijini Dar Es Salaam imegiza shauri la mwanasiasa Mkongwe Nchini Dkt. Wilbroad Slaa lirejeshwe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kushughulikiwa kwa dhamana yake.
Dkt. Slaa na jopo la mawakili wake walifungua shauri la mapitio la kesi yake katika Mahakama Kuu akipinga mwenendo wa Mahakama ya Kisutu kuahirisha usikilizwaji wa suala la dhamana yake kutokana na maombi ya kupinga dhamana yake yaliyotolewa na Jamhuri.
Jaji Arnold Kirekiano leo Januari 30, 2025 amesema kwa kuwa kesi ya msingi iko Mahakama ya Kisutu ambayo ina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo na kwa kuwa hoja ya uhalali wa mashtaka ilishatolewa Kisutu na inasikilizwa na kupangiwa uamuzi amesema si vyema Mahakama Kuu kuingilia kati. Hivyo Jaji Kirekiano ameelekeza Mahakama ya Kisutu itoe uamuzi ambao ilishauandaa.
Dkt. Slaa alikosa dhamana tangu alipopanda kizimbani Januari 10, 2025 kusomewa shitaka linalomkabili la kusambaza taarifa za uongo kupitia mtandao wa X.
Soma, Pia:
- PICHA: Tundu Lissu aongezeka jopo la Mawakili kumtetea Dkt. Slaa Kisutu, kesi ya kusambaza taarifa za uongo
- LHRC: Mamlaka itoe haki ya dhamana kwa Dkt. Slaa, ni haki yake
- Wakili Madeleka: Kisutu kuna danadana za kumnyima haki ya dhamana Dkt. Slaa tumeenda Mahakama Kuu
Ukiandika kizungu basi unafikiri ndio kitakusaidia? Ha ha ha😎God is his present help!
Nasema hata wapumbavu wanazeeka, nawewe ni mmoja wao.Sibadiliki. Sasa unasemaje?
Kwani kuna ubaya gani?Nasema hata wapumbavu wanazeeka, nawewe ni mmoja wao.