Mahakama Kuu yamhukumu Grace Mushi kunyongwa hadi kufa kwa kumchoma mpenzi wake ndani ya nyumba mpaka kufa

Mahakama Kuu yamhukumu Grace Mushi kunyongwa hadi kufa kwa kumchoma mpenzi wake ndani ya nyumba mpaka kufa

Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam imemuhukumu leo kunyongwa hadi kufa Grace Mushi (25) maarufu kama Neema baada ya kumtia hatiani kwa kumuua mpenzi wake Abdallah Sekamba.

Grace alimuua mpenzi wake kwa kumchoma moto hadi kufa kwa kutumia mafuta ya petrol, baada ya kumfungia ndani ya nyumba tukio alilolitenda Julai 16, 2021 eneo la Mbezi Makabe Dar es salaam.



Ilivyokuwa...

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kumshikilia Grace Mushi maarufu mtaani kwao kwa jina la Neema kwa tuhuma za mauaji ya mpenzi wake Hamis Abdallah ‘Zungu’ ambaye alimmwagia Petroli akiwa ndani kisha kumchoma moto.

Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam, ACP Muliro Jumanne Muliro amesema tukio hilo limetokea Mbezi Makabe kwa Mzungu.

"Muda wa saa 8:30 usiku Mtuhumiwa huyu alimfungia ndani ya nyumba Hamis akammwagia mafuta ya Petrol na baadaye akachoma moto kitu kilichosababisha Hamisi kufariki”

“Hamis alikua ni Rafiki yake wa kiume (Boyfriend), Mtuhumiwa alijaribu kutoroka lakini Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Wananchi tukamkamkata na uchunguzi umebaini kulikuwa na mgogoro mkubwa wa kimapenzi kabla kufanyika kwa tukio hili la Kikatili

IMG_6217.png

IMG_6216.png

IMG_6215.jpg

Hawa wanawake wazuri wako na roho mbaya sana
 
Hawa walishapigana chini lakini inavyoonekana jamaa alikuwa kwa dem kimslahi,ndomana hiyo siku dem akampigia jamaa sim na kumwambia waende wakapige vyombo jamaa kusikia hivyo faster akamkimbilia dem
Dem akampa vyombo jamaa hadi kusizi ndy badaye yakamkuta

Ova
Aisee kumbe jamaa alikewa kwanza kwanza ndo akachomwa? Wanawake ni viumbe hatari sana
 
Dada mkatili sana huyo au alikuwa amechanganyikiwa.
 
sheria ya ndoa na talaka ya 1971 as ammended,''ukiishi na mwanamke zaidi ya miezi sita mfululizo huyo ni mkeo'' ANA HAKI ZOTE.mpe haki zake(mali,unyumba n.k)
Hahaaa pale juu ulisema mwezi mmoja. Hapo hapo hiyo sheria mnaikana pale mwanaume kafa halafu alikua anaishi kinyumba na mwanamke kwenye kugawana mali ndugu mnasema haipo hiyo.
 
Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam imemuhukumu leo kunyongwa hadi kufa Grace Mushi (25) maarufu kama Neema baada ya kumtia hatiani kwa kumuua mpenzi wake Abdallah Sekamba.

Grace alimuua mpenzi wake kwa kumchoma moto hadi kufa kwa kutumia mafuta ya petrol, baada ya kumfungia ndani ya nyumba tukio alilolitenda Julai 16, 2021 eneo la Mbezi Makabe Dar es salaam.



Ilivyokuwa...

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kumshikilia Grace Mushi maarufu mtaani kwao kwa jina la Neema kwa tuhuma za mauaji ya mpenzi wake Hamis Abdallah ‘Zungu’ ambaye alimmwagia Petroli akiwa ndani kisha kumchoma moto.

Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam, ACP Muliro Jumanne Muliro amesema tukio hilo limetokea Mbezi Makabe kwa Mzungu.

"Muda wa saa 8:30 usiku Mtuhumiwa huyu alimfungia ndani ya nyumba Hamis akammwagia mafuta ya Petrol na baadaye akachoma moto kitu kilichosababisha Hamisi kufariki”

“Hamis alikua ni Rafiki yake wa kiume (Boyfriend), Mtuhumiwa alijaribu kutoroka lakini Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Wananchi tukamkamkata na uchunguzi umebaini kulikuwa na mgogoro mkubwa wa kimapenzi kabla kufanyika kwa tukio hili la Kikatili
Kijana aliingia cha kike, unaoa msichana ambaye hajacha usichana.
Ndoa walau chukua mtoto wa miaka 29 kuendelea mpaka 42.
 
Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam imemuhukumu leo kunyongwa hadi kufa Grace Mushi (25) maarufu kama Neema baada ya kumtia hatiani kwa kumuua mpenzi wake Abdallah Sekamba.

Grace alimuua mpenzi wake kwa kumchoma moto hadi kufa kwa kutumia mafuta ya petrol, baada ya kumfungia ndani ya nyumba tukio alilolitenda Julai 16, 2021 eneo la Mbezi Makabe Dar es salaam.



Ilivyokuwa...

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kumshikilia Grace Mushi maarufu mtaani kwao kwa jina la Neema kwa tuhuma za mauaji ya mpenzi wake Hamis Abdallah ‘Zungu’ ambaye alimmwagia Petroli akiwa ndani kisha kumchoma moto.

Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam, ACP Muliro Jumanne Muliro amesema tukio hilo limetokea Mbezi Makabe kwa Mzungu.

"Muda wa saa 8:30 usiku Mtuhumiwa huyu alimfungia ndani ya nyumba Hamis akammwagia mafuta ya Petrol na baadaye akachoma moto kitu kilichosababisha Hamisi kufariki”

“Hamis alikua ni Rafiki yake wa kiume (Boyfriend), Mtuhumiwa alijaribu kutoroka lakini Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Wananchi tukamkamkata na uchunguzi umebaini kulikuwa na mgogoro mkubwa wa kimapenzi kabla kufanyika kwa tukio hili la Kikatili
Angekuwa na hela kama mke wa billionea msuya asingefungwa ....... wangesema marehemu kajichoma .....maana hata kesi ya mke wa msuya yule aneth msuya kakosa haki

Tutafute hela tu
 
Takwimu zikisema wananchi wa Marekani wana vipato vikubwa ukilinganisha na wananchi wa Tanzania. Je, unafikiri kauli hiyo inaondoa uhalisia kwamba hakuna Wa-Tanzania wachache walio na vipato vikubwa kuliko wa-Marekani?
😁
 
Unapigaje mswaki? Sema hujasafisha kinywa.
Mkuu ndiyo kiswahili hicho au wewe ni mkimbizi ndani ya hii nchi? Kupiga muziki je?. Kupiga deki je? Kupiga soga je? Kupiga pasi je? Nk nk nk
 
Zungu alikuwa mariooo,grace anamlea
Dem alizama kwa jamaa
Jamaa mambo ya mterezo gandalf
La ndizi ilimponza

Ova
Uhai hauna spea, pesa ina spea.

Wangeweza kuachana, Gire angetafuta pesa zingine na angepata, Pesa yenyewe shingapi ilikuwa kwani? Mtu kula na kulala na kuvaa anatumia bei gani kwa siku?

Binafsi nadhani kabla hujaingia kwenye mapenzi tafakari sana kama unaziweza changamoto zake, na kama afya yako ya akili iko sawa.
 
Back
Top Bottom