Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Daah kesi za mauaji kama hakuna hela inakwisha haraka sana na hukumu inakua kama ilivyotarajiwa ni tofauti na kesi ya Mke wa Bilionea yule wa Kenya wa Madini wauaji wapo Nairobi wanakula raha tu...