Ila Hata Madai yake Nimeyaona Hayana Hata Mashiko sana.Huyu Mzanzibari mbona anataka kutuharibia,wao si wana chama chao na uchaguzi umefanyika juzi tu?
Yaweke humu tuyaone mkuuIla Hata Madai yake Nimeyaona Hayana Hata Mashiko sana
kirefu cha ccmBongo kila mtu mpigaji.Ni mwendo wa chukua chako mapema.
Ni heri maana nchi hii watu wakipata mwanya wanatunga katiba za kuwalinda!#MICHEZO Mahakama Kuu, imepokea kesi ya kupinga uchaguzi wa Shirikisho la Mpira Tanzania (TFF) na limemuita, Rais wake Wallace Karia, Bodi ya wadhamini ya shirikisho hilo na mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi kesho Ijumaa, saa 3 asubuhi, kujibu hoja za kwanini uchaguzi huo usisimamishwe.
Maombi ya Madai No. 98/2021 yamefunguliwa na Ally Abdullah Ally Saleh dhidi ya Tff Tff Board of Trustees, Imepangwa Kutanjwa Kesho.
Wewe mpemba acha ubaguzi wa waziwazi sheikh.Ally Saleh nyoosha machogo hao
Hakika Mkuu, na Kilichopelekwa Mahakamani sio Mpira Kilichopelekwa Mahakamani Ni Utaratibu Uliotumika Wakati Wa Mchakato Wa Uchaguzi Wa Kuwapata Wagombea Urais+wajumbe pia. FIFA fifa wanatisha Watu na Fifa tu.Process nzima ya uchaguzi ina walakini. Naunga mkono tufungiwe kuliko TFF kuongozwa na wahuni