Mahakama Kuu yasitisha uchaguzi mkuu TFF, Wallace Karia aitwa Mahakamani

Mahakama Kuu yasitisha uchaguzi mkuu TFF, Wallace Karia aitwa Mahakamani

Hujui chochote ndomana mmeitwa ili mkadifendi kwann uchaguzi usihairishwe....
Pili swala LA mpira niswala LA muungano
Yani wewe kichwani kwako kumejaa matope kabisa, toka lini michezo (ikiwemo na mpira wa miguu) imekuwa ni swala la muungano?
 
Huyu alisale amekaa kiuamshoamsho sii mtu mzuri nadhani alishiriki kwenye ile katiba ya 2010 iliyokuja na vifungu tata kuhusu muungano
 
Hakika Mkuu, na Kilichopelekwa Mahakamani sio Mpira Kilichopelekwa Mahakamani Ni Utaratibu Uliotumika Wakati Wa Mchakato Wa Uchaguzi Wa Kuwapata Wagombea Urais+wajumbe pia. FIFA fifa wanatisha Watu na Fifa tu.
Mahakama ni muhimili unaojitegemea na sio serekali japokua serekali Ina ushawishi mkubwa ule mchakato ni tabia moja ilikua inaenda kujengwa alafu ni mbaya sana
 
Huyu Mzanzibari mbona anataka kutuharibia, wao si wana chama chao na uchaguzi umefanyika juzi tu?
Hii kitu wasipoangalia FIFA wakaingilia kati.. soka tutakua tunalisikia kwa majirani
 
Huyo mzanzibari asiyeutaka muungano anawashwa nini na tff ya bara? Wao si wana zfa yao huko? Yani anataka kusababisha sie Biashara united mara tusiende kucheza caf confederation cup kwa mara ya kwanza kwa sababu nchi inaweza kufungiwa na fifa, maza fvcker! 👊n
Mbona Karia wenu ni raia kutoka Somalia.
 
DC ANAPEWA MSOMALI??KAGUA CV MKUU HUKO ATUJI......
WAACHEEVITUKO KILASIKU HAKUNA WAKUPAMBANA NAO

MICHEZO TANZANIA KAMA GONJWA LA UKIMWI ULIZENI HUKO UCHAGUZI UPANDE WA WANAWAKE SHETANI YULE YULE KILAKONA
 
Huyu Mzanzibari mbona anataka kutuharibia, wao si wana chama chao na uchaguzi umefanyika juzi tu?
Inshu sio uzanzibar /ubara yeye ni mtanzania na aligombea hivyo ina interest!!wewe unaona huo uhuni unaofanyika kwenye chaguzi za Tff ni sawa?!!yaani kanuni ambazo zinawafanya walioko ndani ndio tu waendelee kuwemo, humo na walioko nje iwe ni ngumu kuingia ndani?yaani nchi yenye watu karibia milioni 60!!, mtu anagombea yeye tu bila mpinzani??kutokana na figisu figisu kwa wagombea wenzake?juzi kuna uchaguzi wa uongozi wa wanawake umefanyika huko Tanga, jumla ya wapiga kura walikuwa 70, cha ajabu kula zilizopigwa ni 76!!hizo kura 6 ni za kina nani?!!yaani hicho kigezo cha eti mambo ya mpira serikali isiyaingilie ni kichaka tu!!unadhania bila FBI, kuingilia kati blatter angetoka?
 
Karia Usipoangalia utakaria Moto...Mtaka Yote hukosa yote..Hivi nchi ina watu mil 60 wewe tu una vigezo kuwa Rais TFF???

HATA Mseveni Huweka Watu wakampinga halafu anajitangaza kashinda....
Unaongea afu hujayaona hata madai yenyewe
Ni ya kitoto sana
 
Mahakama ni muhimili unaojitegemea na sio serekali japokua serekali Ina ushawishi mkubwa ule mchakato ni tabia moja ilikua inaenda kujengwa alafu ni mbaya sana
Michezo ina mahakama zake, wasijikoroge na mahakama yao kulazimisha chochote, hatutaiona simba ikicheza na kina mazembe.
 
Huyo mzanzibari asiyeutaka muungano anawashwa nini na tff ya bara? Wao si wana zfa yao huko? Yani anataka kusababisha sie Biashara united mara tusiende kucheza caf confederation cup kwa mara ya kwanza kwa sababu nchi inaweza kufungiwa na fifa, maza fvcker! 👊
Huu ndio upuuzi uliotufikisha hapa!!wewe unaona ni sawa kikundi cha watu walio ndani ya mpira kujitungia kanuni ambazo zinawalinda wao tu wasitoke humo, na walio nje wasiweze kuingia humo wakati ni shirikisho la nchi?!!na hata wajumbe wote waliopita ni wale viongozi wa michezo wa mikoa tu huo si uhuni?!!acha kiwake FIFA, waje ili waone uhuni unaofanyika kwenye mashirikisho ya nchi!!FIFA, CAF hakuna sifa ya kuwa rais lazima awe na degree lakini TZ, kuongoza chama hicho lazima uwe mwenye degree!!
 
Inshu sio uzanzibar /ubara yeye ni mtanzania na aligombea hivyo ina interest!!wewe unaona huo uhuni unaofanyika kwenye chaguzi za Tff ni sawa?!!yaani kanuni ambazo zinawafanya walioko ndani ndio tu waendelee kuwemo, humo na walioko nje iwe ni ngumu kuingia ndani?yaani nchi yenye watu karibia milioni 60!!, mtu anagombea yeye tu bila mpinzani??kutokana na figisu figisu kwa wagombea wenzake?juzi kuna uchaguzi wa uongozi wa wanawake umefanyika huko Tanga, jumla ya wapiga kura walikuwa 70, cha ajabu kula zilizopigwa ni 76!!hizo kura 6 ni za kina nani?!!yaani hicho kigezo cha eti mambo ya mpira serikali isiyaingilie ni kichaka tu!!unadhania bila FBI, kuingilia kati blatter angetoka?
Michezo ni suala la Muungano?
Kwanini Zanzibar wana chama chao na ni wanachama wa CAF?
Kuna mtu wa bara anaweza kwenda kugombea ZFA?
Kwanini wasipiganie kupata uanachama wa FIFA?
 
Michezo ina mahakama zake, wasijikoroge na mahakama yao kulazimisha chochote, hatutaiona simba ikicheza na kina mazembe.
Kwa hiyo mpira uendeshwe kihuni tu, kwa kuogopa kuwa tutafungiwa?!!sheria za FIFA, haziwezi kuwa juu ya KATIBA ya nchi!na kuzuia eti serikali isiingilie ni kichaka tu cha kujifichia huko!!
 
Kwa hiyo mpira uendeshwe kihuni tu, kwa kuogopa kuwa tutafungiwa?!!sheria za FIFA, haziwezi kuwa juu ya KATIBA ya nchi!na kuzuia eti serikali isiingilie ni kichaka tu cha kujifichia huko!!
Mpira upi unaendeshwa kihuni?
Ntajie kasoro za uongozi uliopita kabla ya huu mchakato wa uchaguzi?
Na hizo kanuni na taratibu zimetungwa juzi au mda mrefu?
 
Back
Top Bottom