Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,221
- 22,496
Haaa haaa haaaWewe mpemba acha ubaguzi wa waziwazi sheikh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaa haaa haaaWewe mpemba acha ubaguzi wa waziwazi sheikh.
Hapana.sio kama anataka kutuharibia ila anataka kuleta mageuzi na anapaswa kupongezwa kama ulifuatilia mchakato mzima wa uchaguzi ulivyokua ukiendaHuyu Mzanzibari mbona anataka kutuharibia,wao si wana chama chao na uchaguzi umefanyika juzi tu?
Uko sahihi uchaguzi ni mchakato sio matokeoHapana.sio kama anataka kutuharibia ila anataka kuleta mageuzi na anapaswa kupongezwa kama ulifuatilia mchakato mzima wa uchaguzi ulivyokua ukienda
Hujui chochote ndomana mmeitwa ili mkadifendi kwann uchaguzi usihairishwe....Huyu Mzanzibari mbona anataka kutuharibia,wao si wana chama chao na uchaguzi umefanyika juzi tu?
Kanuni sio katiba nakanuni ikikosewa basi sheria lazima ishindweNi heri maana nchi hii watu wakipata mwanya wanatunga katiba za kuwalinda!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dhaaaaKaria Usipoangalia utakaria Moto...Mtaka Yote hukosa yote..Hivi nchi ina watu mil 60 wewe tu una vigezo kuwa Rais TFF???
HATA Mseveni Huweka Watu wakampinga halafu anajitangaza kashinda....
Mkuu Is not a leader ameshindwa kujipambanua kwa utendaji kwa hili sasa ameruhusu wengi kuingia kati, hakukua na sababu kabisa yaaaani kila kigezo yeye anafuzu wengine hawana sifa akili gani hii? [emoji2369][emoji2369][emoji2369][emoji2369][emoji2369]Karia Usipoangalia utakaria Moto...Mtaka Yote hukosa yote..Hivi nchi ina watu mil 60 wewe tu una vigezo kuwa Rais TFF???
HATA Mseveni Huweka Watu wakampinga halafu anajitangaza kashinda....
Which is which?Kanuni sio katiba nakanuni ikikosewa basi sheria lazima ishindwe
Ally Salehe ni kiongozi wa Yanga? katumwa na Yanga kusimamisha uchaguzi?! Ndio hivyo watu wamestukia uhuni wa baba yenu Karia!Yanga shindeni mechi zenu kihalali mmezoea sana kubebwa na waamuzi.TFF haiwezi kuwa mbadala wa Sarpong