Wapambe zake walikuwa wanataka ikifika 2025 wabadili katiba wampe 7 kwa awamu mbili - ina maana jamaa angetawala hadi 2039 - Mungu akamgomea - korona ikapita kama mjumbe..!! chaliiDikteta mwendazake alituharibia sana nchi yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapambe zake walikuwa wanataka ikifika 2025 wabadili katiba wampe 7 kwa awamu mbili - ina maana jamaa angetawala hadi 2039 - Mungu akamgomea - korona ikapita kama mjumbe..!! chaliiDikteta mwendazake alituharibia sana nchi yetu
Sio kwa chuki hizi kaMagufuli afukuliwe ajibu mashitaka kisha anyongwe kama atakutwa na hatia.
Lazima akutwe na hatia.
Habari Leo,Uhuru na TBC ni vyombo vya habari vibaya kuliko vyote Duniani.
Kwani nasema uongo ndugu zangu?Sio kwa chuki hizi ka
Sasa unataka Hadi maiti yake ifukuliwe? Mtu akishafariki hata awe mbaya namna gani tunampa heshima yake ya maiti,Mimi Ni mkristo, katika Mit 16:4 "Bwana amefanya Kila kitu kwa kusudi lake,Naam hata wabaya kwa siku ya ubaya"Kwani nasema uongo ndugu zangu?
KEY STAFF wa NEC nchi nzima halafu baada ya uchaguzi watakua wanafanya kazi gani? unataka walipwe mishahara ya bure.Sasa hivi Mihimili mingine imeanza kujiinua tena kutokea mavumbini. Ni muda sahihi sasa kurudi Mahakamani kufungua shauri la kupinga Halmashauri chini ya uongozi wa DEDs kusimamia chaguzi zote
Sisi Nchi tajiri sana hatushindwi kuweka key staff wa NEC Nchi nzima.
Mipumbavu mingine waliokotwa majalalani ikamwabudu na kumwamini alikua mungu wao, na inakodoa mijicho kabisa kodooo.. pumbavu..Wengine humtetea huku na viuno wanakata
Ni mpumbavu pekee na kilaza kama mwendazake anayeweza kufikiri kuwa katiba mpya inadaiwa na upinzani pekee.ninyi huko ufipa mnaifuata katiba?
katiba ya saccoss hamuifuati ya nchi mtaweza?
Dah[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunawashukuru Wachina kwa kula popo huko Wuhan.
Yes. Justice will always take its right course. The punishment was personally and politically motivated. Bravo Fatuma.Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia muda huu kutoka Mahakamani .
Taarifa hiyo inaeleza kwamba Mahakama kuu imeona kwamba Fatuma Karume alihukumiwa bila kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya Kamati ya maadili ya Mawakili , hivyo imetengua hukumu yake na kuitaka Kamati hiyo kumaliza jambo hilo kwa haki
Ikumbukwe kwamba Mlalamikaji kwenye hili Sakata la Wakili Msomi Fatuma Karume lililojaa chuki, Wivu na uzandiki alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali , Je unadhani bado anafaa kukalia ofisi hiyo ?
View attachment 1825533
Tumesema key staff. Wengine wanakuwa hired temporarily as per needs. Hizo ndizo gharama za demokrasiaKEY STAFF wa NEC nchi nzima halafu baada ya uchaguzi watakua wanafanya kazi gani? unataka walipwe mishahara ya bure.
Tafadhari usitukumbushe. Tuna usongo sana kumuona aliyetamka haya bado anademka.
Sawa kabisa; zaidi ya 100%.Ili kuendana na upepo huu mpya ni dhahiri sasa Jaji Mkuu na Mwanasheria Mkuu waondolewe , tusimung'unye maneno , hawa walishiriki kila uchafu .
Mungu ana sababu zake kutuondolea lile balaa.
Wazee wa legacy sioni kabisa comments zao [emoji1787][emoji1787]
Walikosea kumvua uwakili. Wangemwacha tu.
Kwani mnavyolazimisha kuwa kafa kwa corona ndio ili iweje? corona imemuondoa Maalim seif wa Zanzibar hilo halina utata ila ajabu mnalazimisha mtu mwengine kifo chake kiwe cha corona.