mandi13
Member
- Sep 9, 2018
- 29
- 31
Ameshachoka kubwabwaja! Yule ni Mwongo mwenye akili sifa za watu Hawa huchoka kuandika. Ninaimani ameshachoka kuandika mapambioKwani mwanaharakati huru anasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshachoka kubwabwaja! Yule ni Mwongo mwenye akili sifa za watu Hawa huchoka kuandika. Ninaimani ameshachoka kuandika mapambioKwani mwanaharakati huru anasemaje?
Utaratibu wa sheria ni kuwa kuna mtuhumiwa, mlalamikaji, na hakimu; ndivyo sheria inavyofanya kazi. Ukituhumiwa kwa kosa, hata kama ushahidi ni kidogo sana huwezi kulalamika kuwa umekoseshwa haki zako za binadamu, utakuwa ni mtuhumiwa tu....
Usitumie hilo jina.....viongozi wa dini wa kamati ya amani walikwisha kataza.Daaaaa!!!ila MWENDAZAKE,
No results! Ni wapi huko ukitolea mfano?Frankly I prefer a one man show that leads to tangible results, rather than a community show that has many excuses and keeps building hopes only with no results at all.
Ndiyo maana jiwe akaenda kucontrol mahakama ili ziamue vile anavyotaka dhidi ya targets zake.Utaratibu wa sheria ni kuwa kuna mtuhumiwa, mlalamikaji, na hakimu; ndivyo sheria inavyofanya kazi. Ukituhumiwa kwa kosa, hata kama ushahidi ni kidogo sana huwezi kulalamika kuwa umekoseshwa haki zako za binadamu...
Sijawahi kusikia hakimu aliyefukuzwa kazi kwa sababu alitoa maamuzi ambayo hayakumfurahisha rais; in fact kuna kesi kadhaa ambapo serikali ilishindwa mahakammni kwa kutokuwa na ushahidi wa kutosha.Ndiyo maana jiwe akaenda kucontrol mahakama ili ziamue vile anavyotaka dhidi ya targets zake.
Wengine mliishi Mars kipindi hicho, siyo rahisi kuona.Sijawahi kusikia hakimu aliyefukuzwa kazi kwa sababu alitoa maamuzi ambayo hayakumfurahisha rais; in fact kuna kesi kadhaa ambapo serikali ilishindwa mahakammni kwa kutokuwa na ushahidi wa kutosha.
Kigogo2014 tangu Magufuli ameondoka amekuwa mwepesi kama mkaa wa karatasi, na yeye amebaki kupata breaking nyuzi kama siye. Sana sana amekuwa kama gazeti la udaku.Naona sikuhizi mahakama inanyoosha mikono kila kukicha, uonevu ulikuwa mkubwa sana.
Ila kuna huyu, Kigogo2014 na Maria Sarungi ni moto wa gesi unaochoma mioyo ya Mataga.
Ulikuwa hakimu ukatoa hukumu ambayo haikuifurahisha serikali matokeo yake ukafukuzwa kazi? Ilikuwa kesi gani, kwa sababu mara tatu serikali ilishindwa mahakami, mojawapo ikiwa kesi ya pingamizi dhidi ya Mbowe na Matiko, ambapo serikali ilibwagwa; hukumu ilitolewa na mahakama ya rufaa.Wengine mliishi Mars kipindi hicho, siyo rahisi kuona.
Walioumizwa ndio wanajua kilichotokea. Upande wangu sikuumizwa direct lakini mtu kama Mdude aliweza kuriport madhira aliyofanyiwa hadi mitandaoni hakuna aliyejali zaidi ya chama chake. Uonevu niliuona. Aina ya watu walioonewa ilijieleza dhahiri.
Tunawashukuru Wachina kwa kula popo huko Wuhan.Bila Corona kumfyekelea mbali dhalimu tungekuwa na Taifa la kipumbavu sana mbeleni huko.
Tunawashukuru wachina waliokula popo kwenye masoko ya Wuhanninyi huko ufipa mnaifuata katiba?
katiba ya saccoss hamuifuati ya nchi mtaweza?
Ubaya wa mama ni upi?Endeleeni kumsema Mama kwa ubaya
awamu hii hamna hoja
Hili linachelewa sana kutendekaIli kuendana na upepo huu mpya ni dhahiri sasa Jaji Mkuu na Mwanasheria Mkuu waondolewe , tusimung'unye maneno , hawa walishiriki kila uchafu .