Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hahaaa anachungulia na kutoka
Kwani Elitwege anasemaje kuhusiana na hili wimbi la kuvunja legasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Elitwege anasemaje kuhusiana na hili wimbi la kuvunja legasi
kwa upande mwingine imekula mpaka baba zenu wazazi.
Alimfukuzaga kazi welle malecela akajua kammaliza, kusikia kachaguliwa UN alikasirika sana, aliamin yeye ndo mgawa rizki
ulijuaje kaumia!!!hata lissu alikimbia akaenda kupewa ubarozi wa kutetea mashoga na bado aliruhusu awe mgombea wa upinzani 2020.
baba yako anaweza kukufukuza kwake kisa kasikia unaliwa,na hataki laana za kipuuzi kwenye mji wake.wewe kwenda kuhifadhiwa nyumba ya jirani ni juu ya jirani mwenyewe.
usianze kujifariji kwamba baba yako ataumia.
hao ndio wanasheria ndugu yangu.
kaka alisukumwa na askari akadai alipwe fidia bilioni moja,wakati kuna wajuba wanabembea hato matiti mpaka yameinama unadhani zimo kichwani yule!!!
kwanza kuna mshaka sana na elimu yake,sema kwa vile ndio royal family hakuna kilichoshindikana kwa yeye kuwa alipo.
embu kaa na mwanamke mwenzako umuelekeze,hafai kuwa kama wale wa uwanja wa fisi,mbona wewe uneweza!!Acha wivu wa kike
embu kaa na mwanamke mwenzako umuelekeze,hafai kuwa kama wale wa uwanja wa fisi,mbona wewe uneweza!!
Hata Fatma mwenyewe hajachacha!Naona sikuhizi mahakama inanyoosha mikono kila kukicha, uonevu ulikuwa mkubwa sana.
Ila kuna huyu, Kigogo2014 na Maria Sarungi ni moto wa gesi unaochoma mioyo ya Mataga.
Katiba na iheshimiwe, kama kuna mianya inawapa watu aina ya Magufuli uungu utu, marekebisho ni muhimu!Sasa hivi Mihimili mingine imeanza kujiinua tena kutokea mavumbini. Ni muda sahihi sasa kurudi Mahakamani kufungua shauri la kupinga Halmashauri chini ya uongozi wa DEDs kusimamia chaguzi zote
Sisi Nchi tajiri sana hatushindwi kuweka key staff wa NEC Nchi nzima.
katiba inayomnyima rais mamlaka haipo duniani.Katiba na iheshimiwe, kama kuna mianya inawapa watu aina ya Magufuli uungu utu, marekebisho ni muhimu!
Corona konyo kweli kweliwapambe zake walikuwa wanataka ikifika 2025 wabadili katiba wampe 7 kwa awamu mbili - ina maana jamaa angetawala hadi 2039 - Mungu akamgomea - korona ikapita kama mjumbe..!! chalii
Wanawake siku hizi hamna heshima tena kwa wanaume.Pole mjane
Mimi na Jiwe ni Kitu kimoja😀😀😀
Na utasikia mpuuzi mmoja akidemka huku kabinua makalio eti Hayati alikuwa mcha Mungu mtu wa haki
Mimi na Jiwe ni Kitu kimoja😀😀😀
Hahahahaa kwaiyo tuishukuru Corona ety [emoji1][emoji2][emoji3][emoji1]Bila Corona kumfyekelea mbali dhalimu tungekuwa na Taifa la kipumbavu sana mbeleni huko.
[emoji1][emoji3][emoji2][emoji3][emoji1] oya nyie jamaa mnasubuliwa kulee vunja mbavuCorona imeturejeshea Uhuru ulioporwa na dikteta mwenda zake. Mungu hutumia njia yeyote kuwaokoa watu wake pindi vilio vya watu vinapo mfikia.
Mama afutilie mbali hiyo Feleshi. Sukumagang wahedi kabisaBila kupepesa macho ile mamlaka iliyoamua ku suspend uwakili wa Bi Fatma ilikengeuka sana. Jopo likikuwa chini ya Jaji Kiongozi Feleshi na wenzie. Bi Fatma alisema "Feleshi kanivua uwakili wakati nilikuwa sipo Mahakamani. Hajanipa notice ya malalamiko dhidi yangu na wala kunipa muda wa kujitetea. Pengine Siasa na si Mahakama ndio italeta mabadiliko."
Kama Jaji Kiongozi Eleazar Feleshi alivunja msingi mkubwa wa haki 'right to be heard', basi HASTAHILI kuwa msimamizi wa Mahakama Kuu, chombo kikubwa cha kutoa haki nchini.
Kama Jaji Kiongozi anakwngeuka hivyo, itakuwaje kwa Majaji walio chini yake na Mahakimu?
Kwa ajili ya kulinda heshima ya Mahakama ni bora Rais SSH ambadilishie Jaji Feleshi majukumu atuletee Jaji atakayefanya kazi kwa haki bila uwoga.
He he he he Shangazi udumu na wale wote waliopaza sauti zao bila kuchoka kwamba Shangazi awe huru KU-PRACTICE bila masharti yoyote wabarikiweeeee.Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia muda huu kutoka Mahakamani .
Taarifa hiyo inaeleza kwamba Mahakama kuu imeona kwamba Fatuma Karume alihukumiwa bila kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya Kamati ya maadili ya Mawakili , hivyo imetengua hukumu yake na kuitaka Kamati hiyo kumaliza jambo hilo kwa haki
Ikumbukwe kwamba Mlalamikaji kwenye hili Sakata la Wakili Msomi Fatuma Karume lililojaa chuki, Wivu na uzandiki alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali , Je unadhani bado anafaa kukalia ofisi hiyo ?
View attachment 1825533