Mahakama Kuu yatengua hukumu ya kuvuliwa Uwakili dhidi ya Fatuma Karume

Dikteta mwendazake alituharibia sana nchi yetu
Wapambe zake walikuwa wanataka ikifika 2025 wabadili katiba wampe 7 kwa awamu mbili - ina maana jamaa angetawala hadi 2039 - Mungu akamgomea - korona ikapita kama mjumbe..!! chalii
 
Huu ndio wakati wa kupeleka mahakamani sheria zote kandamizi mahakamani zitenguliwe mara moja. Sio wabunge wanademka denka na kupitisha sheria zinazopingana na Katiba hovyo kabisa. Mwanasheria wa serikali laizima aondolewe madarakani, Rais please please ondoa huyu mtu.
 
Kwani nasema uongo ndugu zangu?
Sasa unataka Hadi maiti yake ifukuliwe? Mtu akishafariki hata awe mbaya namna gani tunampa heshima yake ya maiti,Mimi Ni mkristo, katika Mit 16:4 "Bwana amefanya Kila kitu kwa kusudi lake,Naam hata wabaya kwa siku ya ubaya"
 
KEY STAFF wa NEC nchi nzima halafu baada ya uchaguzi watakua wanafanya kazi gani? unataka walipwe mishahara ya bure.
 
ninyi huko ufipa mnaifuata katiba?
katiba ya saccoss hamuifuati ya nchi mtaweza?
Ni mpumbavu pekee na kilaza kama mwendazake anayeweza kufikiri kuwa katiba mpya inadaiwa na upinzani pekee.
Kwa taarifa yako,wapo wafia CCM - seniors wengi sana ambao wanatamani na wanapigania ujio wa katiba mpya.
 
Yes. Justice will always take its right course. The punishment was personally and politically motivated. Bravo Fatuma.
 
KEY STAFF wa NEC nchi nzima halafu baada ya uchaguzi watakua wanafanya kazi gani? unataka walipwe mishahara ya bure.
Tumesema key staff. Wengine wanakuwa hired temporarily as per needs. Hizo ndizo gharama za demokrasia

Mbona tumejaza staff wa TAKUKURU Nchi nzima na wengi wao hawaproduce chochote?
 
Pole mjane
Kwani mnavyolazimisha kuwa kafa kwa corona ndio ili iweje? corona imemuondoa Maalim seif wa Zanzibar hilo halina utata ila ajabu mnalazimisha mtu mwengine kifo chake kiwe cha corona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…