Mahakama Kuu yatengua hukumu ya kuvuliwa Uwakili dhidi ya Fatuma Karume

Pole sana mjane
 
Acha wivu wa kike
 
Naona sikuhizi mahakama inanyoosha mikono kila kukicha, uonevu ulikuwa mkubwa sana.

Ila kuna huyu, Kigogo2014 na Maria Sarungi ni moto wa gesi unaochoma mioyo ya Mataga.
Hata Fatma mwenyewe hajachacha!
 
Katiba na iheshimiwe, kama kuna mianya inawapa watu aina ya Magufuli uungu utu, marekebisho ni muhimu!
 
wapambe zake walikuwa wanataka ikifika 2025 wabadili katiba wampe 7 kwa awamu mbili - ina maana jamaa angetawala hadi 2039 - Mungu akamgomea - korona ikapita kama mjumbe..!! chalii
Corona konyo kweli kweli
 
Hawa watu wa Magufuli ilifaa baada ya yeye kufa waondolewe kabisa kwenye nyadhifa zao kwa sababu ni watu wa chuki sana kwani hawatofautiani na huyo bosi wao aliyeadhibiwa na Mungu.

These people are very vindictive and hopeless.
 
One at a time....

MATAGA ubao unasoma ngapi hapo Lumumba?
 
Corona imeturejeshea Uhuru ulioporwa na dikteta mwenda zake. Mungu hutumia njia yeyote kuwaokoa watu wake pindi vilio vya watu vinapo mfikia.
[emoji1][emoji3][emoji2][emoji3][emoji1] oya nyie jamaa mnasubuliwa kulee vunja mbavu
 
Mama afutilie mbali hiyo Feleshi. Sukumagang wahedi kabisa
 
He he he he Shangazi udumu na wale wote waliopaza sauti zao bila kuchoka kwamba Shangazi awe huru KU-PRACTICE bila masharti yoyote wabarikiweeeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…