Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Lakini pia maana ya kuwa msomi ni kusimamia unachokiamini hata kama kitakugharimu. Msomi unayeyumbishwa na kukubali kuwa mjinga mbele ya wajinga, wewe ni msomi njaa.
 
Kina Mruma si ndio tuliambiwa ni Ma nguli nchini hapa[emoji3]
Hawa maprofesa feki Mruma na mwingine Ososrro ndio walimuingiza chaka Magufuli kenye MAKINIKIA mpaka akatuahidi NOAH kila mwananchi lakini mwisho akasepa bila kutupa NOAH zetu!! Bado mnawaamini Mruma na OSORRO ambao wanatakiwa kuwa jela kwa kumshauri vibaya Jiwe?

Serikali itafute watu wengine competent kwenye mambo ya sheria zetu ndio waende kutuwakilisha kwenye hizo kesi zilizobaki na Mruma na huyo mwenzie wasionekane tena huko!!
 
PROF. NA WAKILI WAKE AIBU KUBWA
 
Sikioni Profesa Mruma alichoshindwa kuelewa na alichoshindwa kujibua Bado naendelea kutazama clip
Acha kujitoa ufahamu wakati nchi imevuliwa nguo na vilaza wakubwa. Profesa mzima anajibu maswali kwa kuzingusha mkono au kutikisa kichwa? Profesa mzima anafundishwa namna ya kujieleza na mpinzani wake tena kijana mdogo tu? Pumbavu kabisa!
 

ROYAL TOUR SI NDIO ILIKUWA VEHICLE YA KUWASHAWISHI WAWEKEZAJI?
 
Mimi nashangaa sana Mwanasheria kuwa goigoi kwenye lugha ya Kiingereza, hii inawezekanaje?

Hivi kweli mtu unasoma hadi level ya kuwa na PhD halafu unashindwa kumudu lugha uliyotumia kujifunzia? Uliandika vipi hayo maandiko?
Kiingereza cha kuandika wa level ya PHD ataandika vizuri tu tatizo kuongea sasa na ukute anaongeleshwa na mtu ambaye english ndo lugha yake aisee atatamani ardhi ipasuke afichwe kingine kumbuka hao mawakili walioenda huko si ajabu kukuta hawana uzoefu wa kuwakilisha washtakiwa kwenye mashauri magumu na kwenye mahakama za kimataifa usije fikiri wakili aliyezoea mahakama za kisutu eti ataweza shindana na maadvocate ambao leo yupo mahakamani new york kesho yupo paris mtondogoo yupo london keshokutwa yupo durban wiki ijayo yupo sao paulo wiki ijayo yupo abu dhabi
 
PROF. NA WAKILI WAKE AIBU KUBWA

Sio aibu tu hawa watu wametutia hasara kubwa sana ya mabilioni ya shilingi ; wanatakiwa jamii iwatenge kama sio kuwafunga! Fedha za kuwalipa hawa jamaa zinatokana na kodi Samia anazoongeza kila siku hivyo kuwa mateso makubwa kwa wananchi masikini sababu ya ubwege wa hawa jamaa.
 
[emoji3][emoji3]
 
Kbsaa yaani nililiwaza hili mapema jmn mm ccm lkn SAS inatosha tunatakiwa tuondoke haraka madarakani huu Ni upuzi haki ya nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…