Mkuu, hapo jirani Kenya kesi zipo wazi tena nyingine online...Hazifutiki..
Mimi pia nimeshangaa kumbe hawa ICDS wana YouTube channel Yao na hearing ya kesi hii yote imepositiwa huko..
Kuna video za kesi hii part 1 hadi 7 na zote ni za masaa kati ya 2 hadi 3½ ..
Ama kweli sasa dunia hii ni ya uwazi mno. Bila shaka hata Tanzania tunahitaji kesi zote zisikilizwe Kwa uwazi wa namna hii...
Umeuliza swali linaloniumiza kichwa sanaaa Kuna watu wanapaswa kuwajibika katika hiliHivi Mruma ni mtaalamu wa Sheria ama yule ni Geologist?
Why serikali inawatuma watu wa miamba wakalitetee taifa kwenye maswala ya Kisheria?
Muda mwingine unaweza kufikiria kuna baadhi ya watu wanataka Tanzania ishindwe, idaiwe Mabillion kisha nao wapate mgao.
Kaka unajuwa hakika ujasoma kayumba… …
MSOMI: But you need to do expiration to solve that sometimes don't, don't you?
MRUMA : No.
MSOMI : Nooo!
Mruma: Not my understanding.
MSOMI : So if if someone gets ……license. They can have it for up to 10 years if it's extended. Do you think it's in Tanzania''s public interest for someone to simply do nothing for that entire 10 years? Is that your position?
MRUMA : We give you that period so that as you said price issues are global to be corrected and that's why we…... But not not. That's not right.
MSOMI : That's not my question. My question is during that 10 years….
Mruma: No more exploration, No more exploration after extension linces
MSOMI: Would you not agree with me that it's always in the public interest? To further explore, define and delineate mineral resources in the country. Can we at least agree that?
MRUMA: It is… … it is……
MSOMI: That's what you would tell your students at the University of Dar es salaam (UDSM)
MRUMA: Precisely Yeah,
MSOMI: don't explore ,Leave it alone[emoji1787] [emoji1787]
Kazi ipo
Hii mikataba ya hovyo, serikalini wameonywa toka lini ?!. Mbona wanayaingia kwa makusudi na kila mahali sasa tunashindwa kesi hizo.Kakosea wapi ? Wakati kesi tumeshindwa Kwa kuvunja mikataba ya hovyo.
Kwamba yeye alipanga kushindwa basi asingeenda kabisa,mbona una akili za kitoto sana .!!
Kila kitu unaangukia kweny upande wa siasa ndo tatizo Bado akili haijakomaa.
Kama hatuwezi baadhi ya mambo tuombe tusaidiwe !! Sio aibu !! Au mlolongo wa kushindwa shindwa kesi nazo ni fursa kwa wajanja ??!!Professor hata Kiingereza ni issue, lawyers siku zote ni washenzi na hapo wameshamsoma hawezi hata kujieleza kwa ufasaha kwa kiingereza, ni mashambulizi, next time watafute mkalimani au waajiri wanasheria wazungu kwenye timu yao ya utetezi, kesi tumeshindwa kabla haijaisha
Hakika siasa sio uadui lakini wengine wanafikiri vinginevyo !Kwa, kuwa sote ni Watanzania Serikali wakati mwingine iombe hata backup kwa Kibatala au Tundu lisu
Watu wanajisahaulisha tatizo liko wapi. Shida ni Siasa kua juu kuliko taalumaTatizo kubwa la nchi hii watu hawana Professional Intergrity.
Wasomi wengi wanaendeshwa na Wanasiasa.
Kwenye la kuvunja mikataba wa kulaumiwa anajulikana wala sio Prof. Mruma
Huyo professor Mruma ni mwanasheria sio? acha kukurupuka hujui kituHii mikataba ya hovyo, serikalini wameonywa toka lini ?!. Mbona wanayaingia kwa makusudi na kila mahali sasa tunashindwa kesi hizo.
Sijui unatetea nini, ni kama hujui nini cha kuchangia humu. !!
Professors Mruma na Osoro walipoambiwa professorial rubbish mliwaka. So what now ?!
Ha ha ha nimecheka sana kwa jambo linalosikitisha..View attachment 2698108
... thank you for your corporation! Hah ha ha! Kwa akili hizi kupigwa ni lazima! Eti Engineer! Shenzi.
Proved, Prishaz, et. al.
Na utadhani wanawahi kufanya vitu vya msingi! Kumbe upupu mtupu... inaumiza sana! Ukiwakuta wanavyotimua vumbi na ma-V8-R yao sasa; utadhani watu wa maana!
Tungewapeleka magwiji wa sheria kama Mh. Chenge, Prof. Kabudi, Prof.Shivji na Dr.Nshalla angalau tungefurukuta. Vinginevyo tungewaajiri wanasheria maarufu wa huko huko.Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?
Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?
---
Winshear Gold Corp. Vs. United Republic of Tanzania (ICSID Case No. ARB/20/25).
Kesi hii ipo chini ya Rais Gabrielle Kaufmann Hohrer kutoka Uswizi.
Mashahidi wetu huko ni Prof. Mruma na Mwanasheria wa Serikali bwana Igenge.
---
Video 1: Profesa Mruma akihojiwa
View attachment 2698386
Video 2: Mkurugenzi wa Huduma za Sheria(Wizara ya Madini) Edwin Igenge akihojiwa na Robert Denison
View attachment 2698385
---
WASIFU WA PROFESA MRUMA
Dkt. Mruma ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye kwa sasa ni Profesa wa Jiolojia. Profesa Mruma kwa sasa anahudumu kama Kamishna wa Tume ya Madini nchini Tanzania.
Mwaka 2017 Hayati Rais Magufuli alimteua Prof. Abdulkarim Mruma kuwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Kuhifadhi Mafuta (TIPER)
Profesa Mruma alijizolea umaarufu 24 Mei, 2017 baada ya kuongoza Kamati maalum iliyondwa na Rais Magufuli kuchunguza mchanga ulio katika makontena yenye mchanga wa madini (makinikia) yaliyopo katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania
-
Dkt. Abdulkarim Hamisi Mruma Ph.D. M.Sc. B.Sc. ni Mkurugenzi wa Kujitegemea wa Tanzania Royalty Exploration Corporationration. Dkt Mruma ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambako kwa sasa ni Profesa wa Jiolojia.
Masomo yake ya Uzamili yalijumuisha tafiti katika vyuo vikuu na taasisi za Serikali nchini Ujerumani, Ubelgiji, Zimbabwe na Ufini.
Ameandika ripoti za kiufundi kuhusu mada mbalimbali za kijiolojia na kuchangia katika majarida kadhaa ya kiufundi na yasiyo ya kiufundi juu ya anuwai ya masomo ya Jiolojia.
Orodha ya machapisho hayo ni pamoja na Jarida la UNESCO la Sayansi ya Ardhi ya Afrika na Jarida la Tanzania la Sayansi ya Dunia.
Mbali na majukumu yake ya kitaaluma, Dk. Mruma ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania nafasi ambayo ameitumikia tangu Oktoba 2004.
Pia anahudumu kama Mjumbe wa Bodi ya Chuo cha Sayansi za Ardhi cha Williamson Diamonds Limited cha Chuo Kikuu cha Dodoma na Shirika la Madini la Taifa la Tanzania mshirika wa ubia wa Kampuni ya Uboreshaji wa Mradi wa Buckreef Gold Mine.
Huyo Nshala ndio hatari kabisa, jamaa anajuaTungewapeleka magwiji wa sheria kama Mh. Chenge, Prof. Kabudi, Prof.Shivji na Dr.Nshalla angalau tungefurukuta. Vinginevyo tungewaajiri wanasheria maarufu wa huko huko.
Wao wanatakiwa kufundisha tundio maana maishani mwangu sijawahi kuheshimu profesa hata mmoja, naonaga wendawazimu tu waliochanganyikiwa na kitabu hata hawana uwezo kufanyia kazi elimu yao. ona sasa anadhalilishwa na vitoto vidogo havina hata masters.