Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Mkuu, hapo jirani Kenya kesi zipo wazi tena nyingine online...

Huku kwetu hawataki haya mambo...
Baadhi ya kesi zimetengenezwa / kubambikiziana... Sasa zikiwa live italeta shida...
Kesi ya Mbowe kipindi kile ilikuwa live kwenye mitandao ila wakubwa hawakupenda
 
Umeuliza swali linaloniumiza kichwa sanaaa Kuna watu wanapaswa kuwajibika katika hili

Tatizo viposho so Kila sehemu mtu awepo tu Kwa sababu yeye ni Fulani ona kashachafua Kila kitu.
 
Kaka unajuwa hakika ujasoma kayumba
 
Kakosea wapi ? Wakati kesi tumeshindwa Kwa kuvunja mikataba ya hovyo.

Kwamba yeye alipanga kushindwa basi asingeenda kabisa,mbona una akili za kitoto sana .!!

Kila kitu unaangukia kweny upande wa siasa ndo tatizo Bado akili haijakomaa.
Hii mikataba ya hovyo, serikalini wameonywa toka lini ?!. Mbona wanayaingia kwa makusudi na kila mahali sasa tunashindwa kesi hizo.

Sijui unatetea nini, ni kama hujui nini cha kuchangia humu. !!

Professors Mruma na Osoro walipoambiwa professorial rubbish mliwaka. So what now ?!
 
Kama hatuwezi baadhi ya mambo tuombe tusaidiwe !! Sio aibu !! Au mlolongo wa kushindwa shindwa kesi nazo ni fursa kwa wajanja ??!!
 
Kwa, kuwa sote ni Watanzania Serikali wakati mwingine iombe hata backup kwa Kibatala au Tundu lisu
Hakika siasa sio uadui lakini wengine wanafikiri vinginevyo !

Mpaka wengine wapo kwa ajili ya kuwatengenezea kashfa wale ambao wanatofautiana nao kimtazamo !!
Kwa mtindo huo hatufiki popote !!
 
Tatizo kubwa la nchi hii watu hawana Professional Intergrity.
Wasomi wengi wanaendeshwa na Wanasiasa.

Kwenye la kuvunja mikataba wa kulaumiwa anajulikana wala sio Prof. Mruma
Watu wanajisahaulisha tatizo liko wapi. Shida ni Siasa kua juu kuliko taaluma
 
Sijaona tatizo la kiingereza kwa prof. Mruma, labda mimi ndio sijui zaidi.
Mlitaka profesa ajibu kitu kisicho kuwepo?

Kushindwa kwetu kesi ni hali halisi ya jinsi mambo yalivyokuwa.

Siku zile Lissu alitahadharisha, akaitwa msaliti.

Tujifunze sasa. Ukiona mtu ana kupinga mpe nafasi huenda kuna kitu utapata kikakusaidia.
 
Huyo professor Mruma ni mwanasheria sio? acha kukurupuka hujui kitu
 
Tungewapeleka magwiji wa sheria kama Mh. Chenge, Prof. Kabudi, Prof.Shivji na Dr.Nshalla angalau tungefurukuta. Vinginevyo tungewaajiri wanasheria maarufu wa huko huko.
 
Hawa Watanzania kwa kuchanganya R na L mpaka wanatia kichefuchefu.

Hivi hizo shule walienda kusomea ujinga?

Your browser is not able to display this video.
 
Nimekumbuka Kikwete alivowekwa mtu kati na Shaka Ssali wa VOA, dingi akaanza kuongea kama engine yenye miss
 
ndio maana maishani mwangu sijawahi kuheshimu profesa hata mmoja, naonaga wendawazimu tu waliochanganyikiwa na kitabu hata hawana uwezo kufanyia kazi elimu yao. ona sasa anadhalilishwa na vitoto vidogo havina hata masters.
Wao wanatakiwa kufundisha tu

Ova
 
Remind me of Captain Queeg in The Caine Mutiny.

Talk about life being stranger than fiction!
 
Ogopa sana kukaa meza moja ya majadiliano na watu wanaojua jambo lao.Iwe Mweusi au Mweupe.

Halafu wewe uwe ndio mchorwaji katika majadiliano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…