Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Nayajua mapungufu ya elimu ya Tanzania. Watoto wangu wote, elimu ya chini wamesoma Tanzania, lakini kwa elimu ya chuo kikuu, wote wameenda nje, mmoja amemaliza, mwingine anamaliza mwaka huu, mwingine mwakani, na mwingine natarajia ataenda Cape University January mwakani.

Sitaki wapatwe na aibu ya kujiumauma vidole huko mbeleni. Natimiza wajibu wangu kama mzazi, mengine nawaachia wao.
Imeshakukata hata Ndalichako na kina Mruma Elimu za Juu walisoma Nje ,jiandae na take him inside na the the za kutosha 😂😂😂😂
 
Hivi kweli kama tukisema hii ishu ingewahusu jirani zetu kenya, tungeshuhudia uwakilishi na utetezi wa namna hii??
Mara sikuamka vizuri mara blabla ...blabla....STUPID.

Hapa bado ccm wanakomaa na kiswahili mashuleni kwa masomo yote..kweli???

Hapa shida ni kizungu pamoja ni poor exposure.

Sasa kama huyu ndo mwalimu je wanafunzi wakoje!
 
Imeshakukata hata Ndalichako na kina Mruma Elimu za Juu walisoma Nje ,jiandae na take him inside na the the za kutosha 😂😂😂😂
Issue za Proficiency kwenye professional ni jithada binafsi hazitokani na umesomea wapi.

Prof Ndalichako alimwambia Mchina kule Kigoma kuwa Please Don't Play with me i can put you inside prison
 
Hivi kweli kama tukisema hii ishu ingewahusu jirani zetu kenya, tungeshuhudia uwakilishi na utetezi wa namna hii??
Mara sikuamka vizuri mara blabla ...blabla....STUPID.

Hapa bado ccm wanakomaa na kiswahili mashuleni kwa masomo yote..kweli???

Hapa shida ni kizungu pamoja ni poor exposure.

Sasa kama huyu ndo mwalimu je wanafunzi wakoje!
Exposure gani unataka? Akikupa cv zake utakuta kaishi Marekani miaka 5 na Ufaransa miaka mwili and so on
 
Issue za Prificiency kwenye professional ni jithada binafsi hazitokani na umesomea wapi.

Prof Ndalichako alimwambia Mchina kule Kigoma kuwa Please Don't Play with me i can put you inside prison
Msingi mbovu wa Elimu hakuna Cha jitihada.

Binafsi nakiwa shule nilikuwa nafaulu Kwa A kwenye English yaani grammar hapa ndio mahala pake ila kuzungumza Sasa ndio hizo the the sijui Yale ma debate ya kindezi mother is better than father 😆😆😆😆
 
Hakuna cha bullying hapo, hizo ni mbinu za wanasheria utetereke. Lakini Profesa Mruma kajibu na kujieleza vzuri kabisa.
... kajieleza vizuri kabisa halafu tuzo wakapewa Claimant! Funny!
 
Tatizo la Profesa Mruma, nililoliona ni lugha, yaani Kingereza anajuwa lakini kuji express ni shida sana, na slow thinker.


Ni typical mtu ambae hana exposure, lakini all in all kwenye tribunal unachotakiwa kuwa ni mkweli to dot. I hope alikuwa mkweli.
 
Kadhalilika wapi? au ujinga wa watu kujiona wanajua sana .

Rais anafanyiwa bullying sembuse huyo wengi wanamnanga Kwa ishu ya kisasa ,kwani kushindwa ni kosa ..yatapita tu na atabaki na familia yake ni maneno tu.


Kusoma hekima ndo maana watu wanafanya bullying ,kukosea kawaida mbona Mwakinyo alienda nje akapigwa alizomewa na kupewa kejeli ila sasa kashasahau na maisha yanaendelea
Hajadhalilika hapo amewadhalilisha wazungu 🤣🤣🤣🤣😜
 
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

View attachment 2697730
Hii ina shida sana aisee badala watu wajadiri content eti wanajadili dini ya mruma is it right? Halafu hawa wajiita great thinkers? Great thinkers wa nyoko? Jamii forum hovyo kabisa
 
... lenient; lenient! Kila akiulizwa we were lenient! Ovyo!
Hiyo ya lenient ilikuwa ni "excuse" nzuri kwa mtazamo wao kwa kuvunja mkataba. Why should you be lenient? Its stupidity.


If such are the priests, God bless the conregation.
 
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

View attachment 2697730
"I got up not well today", huu ni utetezi wa kijinga kwa mtu mzima mister profesari.
 
Tatizo la Profesa Mruma, nililoliona ni lugha, yaani Kingereza anajuwa lakini kuji express ni shida sana, na slow thinker.


Ni typical mtu ambae hana exposure, lakini all in all kwenye tribunal unachotakiwa kuwa ni mkweli to dot. I hope alikuwa mkweli.
Kweli alikuwa mkweli ,hasa aliposema miaka ya 2013-14 walikubali hiyo mikataba ya hovyo wakijua kabisa ,sema walikubali ili kuvutia uwekezaji.
 
Wako vizuri kwenye academics ila sio kwenye mambo ya biashara nk

Ndio maana watu wanatakiwa kuheshimu sana private sector,ukimuona mtu kajiajiri mpe respect refer yule Mkuu wa Mkoa aliyetumbuliwa na kuanza kulia eti ataishije na alikuwa ni Dokta
Academicians wanatakiwa ku translate nondo zao to the real world!
 
Back
Top Bottom