Mahakama ya kadhi ndani ya Katiba - Tanzania


Uliwah kushuhudia mgogoro wamirathi ulikuwa na aina hiyo yandoa?.
 
Ww unaona tulio pewa sisi tu munayopewa nyie huyaoni yakiwemo matrilion ya tsh MOU..
 
Tatizo sijajua hawa magalatia wanachoogopa Mahakama ya kadhi ni nini? Nchi ingekua inaongzwa kwa sharia hapo kweli! Uganda makafiri wenzenu wapo wengi tu lakini hawana shida


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 

Mkuu tafadhali nielimishe, inamaana tuna sheria za nchi ambazo zinalazimisha watu kwenda mahakama za kiraia hatapale pale watakapo amua kuachana kwa kupitia huko walipo fungia ndoa?
 
..duh, mambo yameanza tena! Jk kweli kazi anayo, ngoja tusubiri matamko ya kina pengo na wagalatia wenzake! Chini ya mfumo huu k ccm mwakani inajichimbia kaburi la wazi!
 
Tatizo sijajua hawa magalatia wanachoogopa Mahakama ya kadhi ni nini? Nchi ingekua inaongzwa kwa sharia hapo kweli! Uganda makafiri wenzenu wapo wengi tu lakini hawana shida


Sent from my iPad Air using JamiiForums
haa haa makafiri wenzake? Duh chochea kaka, angalau tufanane na wenzetu. Maana tanzania ukidai haki yako utasikia nchi ya amani na utulivu!
 
Wewe una laana ya Wazazi wako wewe. Waislamu Tanzania ni Asilimia 60 na wakristo 35.
haa haa mkuu kila mwamba ngoma huvutia kwake, wakristo wanajipendelea, vivyovivyo waislamu wanajipendelea. Kiukweli bunge hilo uchwara limegusa maslahi ya wagalatia, kama ccm inataka kurudia ya mwaka 2010 au zaidi mwakani iendelee na mchezo huo, haya ni madhara ya kukiuka rasimu ya tume. Bunge la sitta limejigeuza tume, limeanza kupokea maoni mapya, taifa litaparaganyika kwa ulevi wao huo. Hapo kitakachotokea ni uislamu vs ukristo, na upagani. Hakuna cha ccm wala ukawa.
 
divide and rule ya kidini na kiukanda mpaka katiba ya ccm ipite, madhara yake mtajua wenyewe calaphie state
 
Wewe una laana ya Wazazi wako wewe. Waislamu Tanzania ni Asilimia 60 na wakristo 35.
Kunguni wewe unamaanisha magaidi au ,mbona mlitoka mbio TBC walivyotoa statistics? Dini ya Amani 75 vibagharashia 20.Period
 
Kama itaandikwa hivyo itakuwa ni upuuzi wa kujaza kurasa tu za katiba, kwa maana hata bila kuandika hivyo huo uhuru upo na unatambulika kisheria kwa katiba ya sasa na hata rasimu iliyopendekezwa
 

Mbona kwenye katiba ya Zanzibar ya 2010 hakuna kifungu cha namna hiyo, pamoja na kwamba 95%+ ya wananchi wake ni Waislamu? Unadhani hawajui madhara ya kuweka masuala ya dini kwa katiba?
 
Ajabu hii,watanzania na imani zetu tulio owana na kuchanganya damu bado tunaogopana?
Serikali ni yetu wote.kama tunaipa dhamana fulani yenye maslahi kwa dini fulani yasiyo idhuru dini nyingine kuna ubaya gani?
Mbona hata wakiristo wanafungu kubwa la fedha wanachotewa toka serikalini ili luendesha taasisi zao kama mahospitali na vyuo na tumeridhia.!
Kwasababu sisi ndio wadau husika wa taifa na hizi ndizo haja zetu.Kwa nini munataka kuzua mgogoro wa kijinga?
Waislamu ni sehemu ya Taifa hili .Katiba inayohaki ya kuweka utaratibu wa kila kundi katika taifa wa kuendesha shughulozake za kidini kwa uhuru na haki bila ya upendeleo wala kuathiri imani nyingine.
JE WEWE KAMA MKIRISTO UTAATHORIKA VIPI NA MAHAKAMA YA KADHI?
 

daaaaa sasa tuanze kutafuta nchi za kukimbilia

Kikwete anataka tumkumbuke kwa lipi sasa?yaani upuuzi wa mahakama ya kadhi ndani ya katiba!!nitaandamana peke yangu pumbavu ccm

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums



Lakini si mlipita mitaani kutaka maoni ya wananchi? Sasa wananchi wa kiisalamu wanataka Mahakama ya Kadhi, hayo ni maoni yao, kwanini hamtaki kuyaheshimu?. Laana ya Udini ndio inaitafuna rasimu ya Katiba ya Joseph Warioba, Joseph Butiku na John Kabudi.
Pole pole kitaeleweka tu!
 
Wewe kama mkiristo utaathirika vipi na mahakama ya kadhi?
 
:wacko: mmh hapo sasa ,yaani vision za mwalimu za angamia moja baada nyingine,kwani tulisema nchi haina dini lakini leo ni haya
 
Waislam tulisha jitambua na hatudanganyiki.

============
Ni kweli mnajidanganya, toka 1977 mlipounda CCM, mkapendeza hii rangi ya kijani ambayo ni alama ya dini ya "wenzetu katika imaan" bado mnataka TZ iwe kama Iraq au Syria?......... Soma hapa chini usiyeelewa uelewe:

===========

WHY DID CCM EMBRACE GREEN COLOUR!?
Green(Arabic: أخضر) isconsidered the traditional color of Islam. The Arabic word for "greenness" is mentionedseveral times in the Quran,describing the state of the inhabitants of paradise.Examples include:
Reclining on green Cushions and rich Carpets of beauty
— Sura 55,verse 76.[SUP][1][/SUP]
Upon them will be green garments of fine silk and heavybrocade, and they will be adorned with bracelets of silver; and their Lord willgive to them to drink of a Water Pure and Holy.
— Sura 76, verse21.[SUP][2][3][/SUP]
Al-Khidr ("The Green One") is a Qur’anicfigure who met and traveled with Moses.[SUP][4][/SUP]
The Green Dome, traditional site of the tomb of Muhammad, waspainted green on the order of sultan AbdulHamid II (r. 1876–1909).
National flags includinggreen as a symbol of Islam include those of Azerbaijan, Maldives,Mauritania, United Arab Emirates, Saudi Arabia, Turkmenistan, Pakistan,Afghanistan, and Iran.
SOURCE: http://en.wikipedia.org/wiki/Green_in_Islam
[h=2]Why is the color green soimportant in the Muslim world?[/h]By Christopher Beam
The main rival of President Mahmoud Ahmadinejad in the Iranianelections, Mir Hossain Mousavi, has adopted green as his signaturecolor. The flags of Iran, Saudi Arabia, and the Palestinian group Hamas alsoinclude the color. Why is green so prevalent in the Muslim world?
Because it was supposedlyMohammed's favorite color. The Islamic prophet is said to have worn a greencloak and turban, and his writings are full of references to the color. Apassage from the Quran describes paradise as a place where people "willwear green garments of fine silk." One hadith,or teaching, says, "When Allah's Apostle died, he was covered with a HibraBurd," which is a green square garment. As a result, you'll see green usedto color the binding of Qurans, the domes of mosques, and, yes, campaignmaterials.
SOURCE: http://www.slate.com/articles/news_and_politics/explainer/2009/06/islamic_greenwashing.html
UNANSWEREDQUESTION: WHY GREEN IS THE OFFICIAL COLOUR OF CCM?
 

Unatetemeka hadi unashindwa kuandika.Ulshazoea vya kunyonga, vya kuchinja huwezi. Ulidhni dini Tanzania ni ukristo tu. Mabilioni serikali inayotoa kwa makanisa hujaona kama serikali ina dini, ila mahakama ya kadhi ndio imekuma. meza sumu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…