Mahakama ya Kijeshi yamuondolea Bobi Wine mashitaka! Akamatwa tena sasa kushitakiwa Mahakama ya kiraia

Nilifikiri hayo yapo Tz tu,kumbe Afrika yote Uhuru wa kidemokrasia,we mungu tuokoe.
 
Hapa ndipo najiuliza umoja wa afrika mashariki nini au umoja wa waafrika ina msaada gani kwa unyanyasaji wa mwafrika mwenzao!!, au umoja wa afrika ni kwenye biashara tu?, kwanini Marekani ndio iongelee mabaya yanayofanyika Uganda na wakati umoja wa kikanda na Africa hawawezi kukemea???, huwa nawashangaa wanaosema eti matatizo ya waafrika yatatatuliwa na waafrika wenyewe kwa styl hii tutatokwa mapovu
 
inawezekana kweli watanznia ni waoga,ila hata walio wababe leo walikuwa waoga kama au pengine kuliko sisi,majanga yanapozidi mioyo huota kutu.Ipo siku watu watastaajabu.
 
HAHAHHAAAHAA nacheka sio kwasababu ni mazuri ila ni maajabu ya dunia
 
Bob Wine Kaachiwa kwa Dhamana....
 

Attachments

  • Screenshot_2018-08-27-13-49-01.png
    107.9 KB · Views: 44
jamaa arudi tuu kwenye mziki azidi kutupa burudani...
 
Unajua uoga wetu ndio umaskini wetu,lakini Bobiwine kaonesha haki inavyotafutwa,kufa kila mtu atakufa hakuna atakaye ishi milele yuko wapi MOBUTU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…