Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnacho sahau ni kwamba asilimia 85% ya World population banks on Putin bravery ya kupambana na mabeberu waliokuwa wamekubuhu kwa kujifanya they own the entire World - mambo yao yanku fanya mambo ya ndio sivyo kutokana na imani zao za kishetani za kulazimisha imani za unipolar World, NWO,hegemony na ndoa za jinsia moja - vices zote tajwa hapo juu ndio zinazo zMkuu hilo lisikupe shida - Usihofu. Wewe subiri tu kwa muda utaona kama ulivyoshuhudia wababe kama Saddam Hussein na wenzake kina Osama n.k. watu wa aina hiyo walivyoshughulikiwa.
Ingekuwa ni huku kijijini kwetu, unaweza kumbonda na rungu halafu ukishtakiwa unajitetea "Nilikuwa nataka asiweze kukimbia ili akamatwe na sungusungu" na kesi yako inakwisha.
Mkuu Putin ni kina kirefu hakuna mtu au taifa lolote linalo weza kithubutu kumfanya lolote, kumbuka Russia is still a thermonuclear super power don't you forget that, Taifa lolote au mtu watakao jifanyaKazi sasa ndio imeanza ukisha wekewa hati ya kukamatwa maana yake huna thamani ktk jamii na Taifa lako. Wachambuzi wa mambo wanasema Putin. Mwenyewe anajuwa siku zake zipo ukingoni kama all Dictator. Tayari hata watu wake wakaribu wanajuwa sasa hiki ni kimavi na akitoka yeye na sisi lazima tuumie je tuumie wote na Taifa au tumtoe kafara. Bila shaka watamtoa kafara. Let us keep monitoring
[emoji1787]sema tu ukweli usijificho mbona tunajua tu kuwa unataka kusema nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuwa apigwe vita na wapenda ushoga wote dunianiHuyu ni muhalifu wa kupigwa Vita na kila mpenda amani
Siku marekani wakisikia kuwa putin kauliwa ....watatetemeka sana maana putin ana wastai sana USA NA NATOPutin anabidi auliwe tu
kwamb huoni makosa ya Putin ?Urusi siyo Libya au Iraq, na hawa majaji sijui wamelipwa sh ngapi na West.Ngoja tusubiri kuona Putin akikamatwa
Hii kazi wampe MK254 atatua Moscow chap kumkamata tena kwa kujitolea kabisa ,na mimi kama Mmarekani mwenzake wa Katavi najitolea gharama zote zitakazo hitajika kwa ajili ya hiyo operation.
#Nawasilisha
Urusi siyo Libya au Iraq, na hawa majaji sijui wamelipwa sh ngapi na West.Ngoja tusubiri kuona Putin akikamatwa
View attachment 2555606
Kuna mwamba wa new york hapo kaniacha hoi sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata wao wanajua hawana uwezo wa kumkamata.
Ndo maana nasema hawamuwezi hata kidogo
Hahaahahaaaa,Moscow wameiita hiyo warrant ", meaningless"!
Hiyo warrant mpaka Putin anaingia kaburini haitafanya kazi!
Urusi sio mwanachama wa ICC,so hiyo warrant ni symbolic tu!
Wewe mwenyewe unajua hakuna wa Kumkamata Putin ni Kama Rais WA marekani hakuna wa Kumkamata.
Uchaguzi mkuu Russia ni mwakani March 2024
The Hague hawajawahi kamata mtu wananchi na wanajeshi ndio hukamata na kupeleka the Hague
Warusi wenyewe watamkamata na kumpeleka wamechoka vita
Atashikwa kama kuku wa mdondo watu wachukue nafasi yake March 2024 uchaguzi mkuu
Imefanywa calculation kuwa Putin atqjidai ohh hakuna uchaguzi sababu nchi iko vitqni hivyo niendelee!!!
Tamko la mahakama limetolewa at the right time Putin analo
Baada ya kushiba maharagwe ni muendo wa kujamba tu 😂😂😂Ni shida aisee kwani wamemwondolea kinga. Maana yake kwa sasa Putin hana Immunity tena. Yani CD4 zimeshuka chini kabisa ya kiwango. Ugonjwa wowote, hijack, assassination na watu wake watamwepuka au kumsaliti bila kikwazo, personaly kisaikolojia atakuwa na wasiwasi mkubwa zaidi juu ya uhai wake - Atakosa muda wa kufikiria vita.
Anaweza kupatwa na kiharusi, shinikizo la damu, moyo au kukimbilia mafichoni kwa usalama zaidi n.k.
Kwa hiyo ukraine alipo shambulia daraja nao sio uhalifu? Mbona yeye hajatajwa na ICC?