Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Mkuu hilo lisikupe shida - Usihofu. Wewe subiri tu kwa muda utaona kama ulivyoshuhudia wababe kama Saddam Hussein na wenzake kina Osama n.k. watu wa aina hiyo walivyoshughulikiwa.
Ingekuwa ni huku kijijini kwetu, unaweza kumbonda na rungu halafu ukishtakiwa unajitetea "Nilikuwa nataka asiweze kukimbia ili akamatwe na sungusungu" na kesi yako inakwisha.
Mnacho sahau ni kwamba asilimia 85% ya World population banks on Putin bravery ya kupambana na mabeberu waliokuwa wamekubuhu kwa kujifanya they own the entire World - mambo yao yanku fanya mambo ya ndio sivyo kutokana na imani zao za kishetani za kulazimisha imani za unipolar World, NWO,hegemony na ndoa za jinsia moja - vices zote tajwa hapo juu ndio zinazo z
sabisha ukosefu wa amani Duniani - ndio maana Putin na baadhi ya washirika wake wa siri wako mbioni kuomesha hujahili huu kwa kuuzika six feet under for the sake of World peace and harmony.

Sasa kwa watu ambao hawajui lengo la Putin utakuta wana mlaahumu sana sana kwa kumpachika majina ya kila sampuli bila ya kutafuta na kutafakari undani wa ni kikundi/Taifa gani Duniani ambalo usababisha watu/mataifa yasielewane ili wakina Putin na wenzake waka - deal nalo kwanza kwa nguvu zao zote.
 
Kazi sasa ndio imeanza ukisha wekewa hati ya kukamatwa maana yake huna thamani ktk jamii na Taifa lako. Wachambuzi wa mambo wanasema Putin. Mwenyewe anajuwa siku zake zipo ukingoni kama all Dictator. Tayari hata watu wake wakaribu wanajuwa sasa hiki ni kimavi na akitoka yeye na sisi lazima tuumie je tuumie wote na Taifa au tumtoe kafara. Bila shaka watamtoa kafara. Let us keep monitoring
Mkuu Putin ni kina kirefu hakuna mtu au taifa lolote linalo weza kithubutu kumfanya lolote, kumbuka Russia is still a thermonuclear super power don't you forget that, Taifa lolote au mtu watakao jifanya
kumkamata Putin halijipendi hata kidogo.

Yaani mnaonekana hamna habari kwamba ujinga huo unaweza kabisa kisababisha WW3, kitu kigine kura za maoni nchini Russia zinaonyesha kwamba zaidi ya asilimia 85% zinasupport SMO ya Putin nchini Ukraine , wakati Amerika Biden wanao mkubali hawazidi asili mia 23% tu, halafu hizi adithi za kufikirika eti "kuna kikundi cha inner circle ya Putin wanaotaka kumpindua au kumudhuru" hizo ni propaganda za magharibi za kutaka kufurahisha baraza na wananchi baada ya kuona mpango wao wa kuisambaratisha Urusi kwa kupitia Ukraine umegonga mwamba ie Urusi itashinda vita hii kwa kishindo na kuwaabisha mabeberu na Zelensky mwenye.

La mwisho ni kwamba si Russia wala US ambao ni members wa ICC, je, hao mavuvuzela wanao mnanga Putin hilo hawalijui, au?
 
Huyu ni muhalifu wa kupigwa Vita na kila mpenda amani
[emoji1787]sema tu ukweli usijificho mbona tunajua tu kuwa unataka kusema nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuwa apigwe vita na wapenda ushoga wote duniani
 
Hii kazi wampe MK254 atatua Moscow chap kumkamata tena kwa kujitolea kabisa ,na mimi kama Mmarekani mwenzake wa Katavi najitolea gharama zote zitakazo hitajika kwa ajili ya hiyo operation.

#Nawasilisha

Huyo ameshakua cornered, anataka afe na Warusi wengi maana wanapukutika, sijui mtahamia kuabudu nani mwingine.
 
Uchaguzi mkuu Russia ni mwakani March 2024
The Hague hawajawahi kamata mtu wananchi na wanajeshi ndio hukamata na kupeleka the Hague

Warusi wenyewe watamkamata na kumpeleka wamechoka vita

Atashikwa kama kuku wa mdondo watu wachukue nafasi yake March 2024 uchaguzi mkuu

Imefanywa calculation kuwa Putin atqjidai ohh hakuna uchaguzi sababu nchi iko vitqni hivyo niendelee!!!


Tamko la mahakama limetolewa at the right time Putin analo

Huyo walishammaliza. Wameshatoa hati akamatwe, hivyo ni mhalifu. Anaweza kutunguliwa muda wowote.
 
Ni shida aisee kwani wamemwondolea kinga. Maana yake kwa sasa Putin hana Immunity tena. Yani CD4 zimeshuka chini kabisa ya kiwango. Ugonjwa wowote, hijack, assassination na watu wake watamwepuka au kumsaliti bila kikwazo, personaly kisaikolojia atakuwa na wasiwasi mkubwa zaidi juu ya uhai wake - Atakosa muda wa kufikiria vita.

Anaweza kupatwa na kiharusi, shinikizo la damu, moyo au kukimbilia mafichoni kwa usalama zaidi n.k.
Baada ya kushiba maharagwe ni muendo wa kujamba tu 😂😂😂
 
Back
Top Bottom