Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Ataendaje wakati amrwekewa vikwazo vya kusafiri ulaya
Ndio maana nimesema ningekuwa Putin,ningeenda Uholanzi!
Kwani si nanyenyuka na ndege ya Rais na ulinzi juu halafu naingia kwenye airspace ya EU,mnitungue!
Kwanza EU watahisi ni mtego😀
 
Hata Omar Al-Bashir wa Sudan alisema hivyo kwa mbwembwe akasafiri hadi South Africa ambalo ni taifa mwanachama wa ICC ila waliomkamata wakampeleka ICC ni Wa Sudan wenzake majenerali wa jeshi!
Endelea kusubiri Hilo kutokea Kwa Putin kama ambavyo tunaendelea na maisha tukisubiri ujio wa Yesu kuchukua walio wake!
 
Hawa washenzi wanajifanya kusimamia haki Kwa upande wanaoutaka,mbona kule Palestine watoto wanauwawa kila siku na hawatoi oda ya kukamatwa Kina Netanyahu?

Unafiki wa dunia hii kuremotiwa na Marekani KWA kila kitu anachokitaka.
 
ICC),imetoa hati ya kukamatwa popote atakapopatikana rais wa urusi Vladimir Putin. Yaani utadhani hiyo hawajui alipo huyo mtuhumiwa...😜 na hiyo hati mbona umekaa kiuwoga sana...🙄
Sio kiuoga kabla hiyo hati Putin alikuwa akisafiri kwenda nje ya nchi kwenye baadhi ya nchi vita ikiendelea mfano alienda Iran kuhudhuria mkutano

Baada ya tamko la mahakama ya ICC kutolewa atakuwa anashinda kajifungia ndani kama Mwali akiogopa kusafiri kuwa aweza dakwa popote ndani ya Russia na nje

Hakuna mtu mwoga kama Putin

Toka vita ianze hajawahi hata siku moja kwenda msitari wa.mbele kutembelea wanajeshi wake walioko vitani .Amiri jeshi gani muoga hivyo.Anaogopa waweza mla kichwa wanajeshi waliochoka vita ambayo haina kichwa wala miguu.Sababu vita ambayo wanajeshi huwa na more ni ile nchi yao ikivamiwa kivita lakini warusi wanaambiwa kavamieni kibita Ukraine wakati Ukraine hajawahi rusha hata jiwe kurushia Askari wa urusi

Raisi Zelensnkyy wa Ukraine mara kwa mara hutembelea wanajeshi wake vitani kuwatia moyo

Putin anawaambia nendeni mkapigane anajifungia Kremlin Moscow ikulu.akiketewa chakula na pombe ya vodka room service chumbani akifuatilia vita kwenye TV kama sisi
 
Ndio maana nimesema ningekuwa Putin,ningeenda Uholanzi!
Kwani si nanyenyuka na ndege ya Rais na ulinzi juu halafu naingia kwenye airspace ya EU,mnitungue!
Kwanza EU watahisi ni mtego😀
Makombora automatic ya kutungulia ndege ambazo mamlaka ya anga la ulaya hayajaruhusu unafikiri yataiacha salama

Huwezi rusha ndege hata kuingia anga la Tanzania bila kuruhusiwa na mamlaka ya anga ya Tanzania. Kikosi cha Jeshi la anga cha JWTZ wataitungua mara moja kwa Makombora
 
Kwa kweli hayo ya Putin na watu wa Ulaya hayanihusu, ila kwa haya chini
Watoto kuhamishwa kinyume cha Sheria
....naweza kuungana na ICC... kwani wapo 'walee' watoto wa Kimasai ambao watahitaji watendewe haki.Genocide is Genocide.
 
Huyo ameshakua cornered, anataka afe na Warusi wengi maana wanapukutika, sijui mtahamia kuabudu nani mwingine.
Inazungumzaga vitu gani lakini, haya twambie ICC iliwahi kuwafanya nini Wakenya wenzako akina Ruto na Kenyatta walio kuwa wanashtakiwa the Hague for war crimes - je, kesi iliyeyuka vipi mbona wanadunda mpaka sasa!!

Wewe Putin unamchukuliaje lakini? USA wataendeleza political rhetoric zaozenye kutaka kuonyesha kwamba bado wako relevant kwenye masuala ya Geopolitics lakini ukweli unabaki pale pale siku hizi ni mataifa machache yanayo lichukulia Taifa la US seriously - tatizo wanajikorogaga wenyewe kwa kutaka kulazimisha mambo na Biden na genge lake hawana mamlaka wala uwezo wa kumfanya lolote Putin, kwa nini hatuanzi na numerous war crimes commiited by US over the years - waburuzwe mahakamani akina Bill Clinton, Bush Sr kama angekuwa alive, Bush Jr, Johnson, akina Nulad na Seneta McCaine kama angekuwa alive.
 
Sio kiuoga kabla hiyo hati Putin alikuwa akisafiri kwenda nje ya nchi kwenye baadhi ya nchi vita ikiendelea mfano alienda Iran kuhudhuria mkutano

Baada ya tamko la mahakama ya ICC kutolewa atakuwa anashinda kajifungia ndani kama Mwali akiogopa kusafiri kuwa aweza dakwa popote ndani ya Russia na nje

Hakuna mtu mwoga kama Putin

Toka vita ianze hajawahi hata siku moja kwenda msitari wa.mbele kutembelea wanajeshi wake walioko vitani .Amiri jeshi gani muoga hivyo.Anaogopa waweza mla kichwa wanajeshi waliochoka vita ambayo haina kichwa wala miguu.Sababu vita ambayo wanajeshi huwa na more ni ile nchi yao ikivamiwa kivita lakini warusi wanaambiwa kavamieni kibita Ukraine wakati Ukraine hajawahi rusha hata jiwe kurushia Askari wa urusi

Raisi Zelensnkyy wa Ukraine mara kwa mara hutembelea wanajeshi wake vitani kuwatia moyo

Putin anawaambia nendeni mkapigane anajifunhia Kremlin Moscow ikulu.akiketewa chakula na pombe ya vodka room service chumbani akifuatilia vita kwenye TV kama sisi
Unaandika kama mnajifungiaga huko chumbani pamoja hadi chakula anachotumia mkiwa chumbani unakijua!
 
Makombora automatic ya kutungulia ndege ambazo mamlaka ya anga la ulaya hayajaruhusu unafikiri yataiacha salama

Huwezi rusha ndege hata kuingia anga la Tanzania bila kuruhusiwa na mamlaka ya anga ya Tanzania. Kikosi cha Jeshi la anga cha JWTZ wataitungua mara moja kwa Makombora
Kama iko mbali wanatuma ndege vita na ndo maana Moro kuna Uwanja mkubwa tu pale Ngerengere

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
OK; Sasa ni zamu ya Putin kusurrender au kukimbilia Uhamishoni kama alivyomtishia Zele eti nakupa 72 hrs. utekelezaji ufanyike chap. na mavifaru yake yenye nembo ya Z mlolongo km 64. Sasa kibao kimegeuka kwani atawindwa na wabobezi wa kimataifa(Interpol) mataifa 194. Kazi anayo.
Story zinasema ameepuka assassination attempts mara ngapi hivi!
 
Kwahiyo tukubaliane Marekani anaogopeka kuliko Urusi ambayo imechukuliwa kama nchi masikini?
Hata huyo Putin hawana cha kumfanya wametoa tamko ambalo hawawezi tekeleza kama lile walilotoa kwa marekan so no big deal.
Kwa hiyo wewe furaha yako hapa au hoja yako ni ipi, kwamba Marekani anaweza get away with crimes na wengine hawawezi au?
 
Back
Top Bottom