Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

Wakuu,

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imetoa hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, na waziri wa zamani wa ulinzi, Yoav Gallant, kwa makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita.

Uamuzi huu unamaanisha kwamba nchi 124 wanachama wa ICC zinapaswa kuwakamata Netanyahu na Gallant watakapokanyaga katika maeneo yao.



Soma pia: Pamoja na “Arrest Warrant” ya Mahakama ya ICC, Putin atua Mongolia kibabe

Mahakama hiyo pia ilidai kuwa walikusudia na walijua kwamba Netanyahu na Gallav waliwanyima raia wa Gaza chakula, maji, dawa, vifaa vya matibabu, mafuta, na umeme kwa makusudi.

Netanyahu alikataa madai hayo akiyaita “ya kipuuzi na ya uwongo” na akasema ni “upotoshaji.”

Israel pia imepinga mamlaka ya ICC kwa kusema kuwa nchi nyingine za kidemokrasia hazijawahi kutendewa kwa njia ya upendeleo mbaya kama hiyo, huku ikisisitiza kwamba inaheshimu utawala wa sheria.

Aidha, ICC pia imetoa hati ya kukamatwa kwa kiongozi wa Hamas, Mohammed Deif, kwa makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita.

Hata hivyo, Israel ilidai Agosti kwamba ilimuua Deif katika shambulio la anga lililofanyika Gaza mwezi mmoja kabla.

=====================================================

In a blockbuster ruling that shook the military, diplomatic, and legal worlds, the International Criminal Court issued arrest warrants for Prime Minister Benjamin Netanyahu and former defense minister Yoav Gallant on Thursday.

The ICC cited reasonable grounds to believe that Netanyahu and Gallant committed the war crime of starvation as a method of warfare, and the crimes against humanity of murder, persecution, and other inhumane acts.

While Israel and the US condemned the ruling – which is the first time the court has issued arrests for officials from a democratic state – as biased, or going beyond the ICC’s mandate, the EU, France, Ireland, and several other countries said they would honor the arrest warrants.

This means that Netanyahu and Gallant will likely be unable to travel to most European countries and a variety of other nations in the ICC’s 120-plus member states. They will still be able to travel to the US – which is not an ICC member – and various Middle Eastern and other states. There are also some states that have ignored ICC arrest warrants, given that there is no effective enforcement mechanism.

Regarding starvation, legal briefs on behalf of Israel found that the IDF’s humanitarian efforts were initially delayed by several days of fighting done to expel the Hamas invasion, which went on for the greater part of the week after October 7, 2023, as well as another week of initial massive deployment efforts of around 100,000 troops to the Gaza front, many of whom also lacked proper food and supplies.

Source: Jerusalem Post
Dalili za mwisho wa nyakati,mwenye ufahamu na aelewe
 
nchi 124 nchi wanachama, sasa kama huamini mwambie Netanyahu aende pale South Africa aone

Kama hao South Africa walishindwa kumkamata Putin ndo watamueza huyo baba.

Are you living under a rock?
 
Yule Gallant ile sura yake watoto huwa wakimuona wanakimbia jinsi alivyo na sura mbaya mpk roho kile kibabu
 
Huyo karim khan ni vibaraka wake wanachuki dhidi ya wayahudi

Ndivyo alivyokuambia ? Kumbe naongea na kilaza na mvivu kwani huna hata nia ya kujifunza namna mahakama hiyo inavyofanya kazi
Ulitaka hiyo mahakama iongozwe na shoga la kiyahudi?
 
Netanyahu alivyo kungunguru zaidi ya Marekani hawezi kwenda popote🤣
 
Wamekukosea nini mkuu mpaka wanyongwe?

Au unaongea kwa niaba ya Hamas?
Magaidi, wewe huoni wanalivyofanya mauaji ya watoto zaidi ya 15.000 huko Gaza au watoto wa Gaza nao ni Hamas wanatakiwa kuuliwa.
 
Bishara yule gaidi na bado anaishi kwa makafiri UK

USSR
BREAKING: Slovenia and Cyprus acknowledge ICC arrest warrants for Netanyahu and Gallant!

Slovenia will respect arrest warrants issued by the International Criminal Court (ICC) and "will fully comply".

Cyprus looking at ICC arrest warrants, says its decisions are binding
 
Sijui.

Hata hivyo, Putin huwaga haendi huko. Kwanza aende akatafute nini?

Kama sijakosea, mara ya mwisho kwenda huko ilikuwa 2003 au 2004.

Putin kukanyaga UK ni sawa na Kim Jong Un kukanyaga US.
Ndio maana nasema akanyage ndio tuone kama hatokamatwa, mbona its simple tu. Huyo Netanyahu aliambiwa akikanyaga Ufaransa atakamatwa, sasa aende ili tujue mbivu na mbichi!!
 
Our enemies are your enemies, and our victory will be your victory
This man is insane, nasubiri siku uwaziri mkuu wake ufike mwisho aende mahakamani kumalizia kesi yake ya ufisadi na rushwa. Anatumia vita kutafuta huruma wakati ni fisadi anajifanya mtenda haki.......

Uzuri maisha sio milele, kuua watu kubaki madarakani wakati hata miaka 100 hatuwezi fika ni ujinga kabisa.
 
Bibi gani tena, ICC ni taasisi sio bibi, jifunze mikataba na sheria za kimataifa, ni wao nchi wanachama waliungana kwa pamoja na kuanzisha hiyo mahakama ili kuchunga nidhamu kwa madikteta duniani wasijione wana nguvu na kuanza kuua raia wasio na hatia kama kuku
Bibi ni netanyau
 
Ndio maana nasema akanyage ndio tuone kama hatokamatwa, mbona its simple tu. Huyo Netanyahu aliambiwa akikanyaga Ufaransa atakamatwa, sasa aende ili tujue mbivu na mbichi!!
Aende kufanya nini huko Ufaransa? Kuthibitisha kwamba hawezi kukamatwa, au?

Mentality ya kitoto sana hiyo 🤣.

Kwa kutumia mantiki yako, kwa nini ICC isiende kumkamata alipo?

Kila mtu anajua Netanyahu yuko wapi. ICC iende basi ikamkamate.
 
Netanyahu alivyo kungunguru zaidi ya Marekani hawezi kwenda popote🤣
Si waende wakamkamate alipo…

Kwa nini wasubiri mpaka aende kwingine ndo wamkamate?

Wanamuogopa kwani?

Wewe ukiwa unatafutwa na polisi halafu hao polisi wajue ulipo, watakusubiri hadi utoke nje ndo wakukamate?
 
Back
Top Bottom