Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

Sasa kama hawana uwezo ni toothless, akanyage hizo nchi wanachama otherwise ataishia marekani tu na kurudi kwa wasennge wenzake
Mimi sio shabiki sana wa matusi bro; napenda mijadara ya kistaatabu. Mwenye matusi au kudhalilisha watu huaga najizuia sana kujibu.
 
Mimi sio shabiki sana wa matusi bro; napenda mijadara ya kistaatabu. Mwenye matusi au kudhalilisha watu huaga najizuia sana kujibu.
US wamehalalisha ussenge na ndoa za jinsia moja, ni tusi kwa tanzania tu lakini kwao ni sawa sasa kama tunakubaliana kupinga LGBTQ kwa pamoja hakuna shida mkuu
 
Ajabu adi leo BBC awajalipoti juu ya ICC kutoa Hati ya kukamatwa Netanyahu na waziri wake w zaman. Yani wanachagua Habari za propaganda ndio zinaachiwa chombo kikubwa kama BBC nacho akiko huru je tutakiamini chombo kipi kwasasa..
 
Back
Top Bottom