US wamehalalisha ussenge na ndoa za jinsia moja, ni tusi kwa tanzania tu lakini kwao ni sawa sasa kama tunakubaliana kupinga LGBTQ kwa pamoja hakuna shida mkuu
Ajabu adi leo BBC awajalipoti juu ya ICC kutoa Hati ya kukamatwa Netanyahu na waziri wake w zaman. Yani wanachagua Habari za propaganda ndio zinaachiwa chombo kikubwa kama BBC nacho akiko huru je tutakiamini chombo kipi kwasasa..