Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi ufungweICC is a toothless Lion; hawana jeuri ya kumkamata Netanyahu (Bibi) kama ambavyo hawana uwezo wa kumkamata Putin
Unless kama hufuatilii international news, netanyahu hataki vita iishe kwa sababu zake binafsi wala siyo october 7, hata wananchi wa israel wanalijua hilo , na hata biden alihojiwa akasema wana kila sababu netanyahu ana personal interest na kuendelea kwa vita, tumieni akilo basi msiwe mnadanganyika kiurahisi hivyoOkay sawa.
Lakini Israel kwenye suala hili ilianza kuchokozwa.
Endapo kama mashambulizi ya Waisraeli ya 7 Oktoba, 2023 yasingefanyika naamini kwa dhati kabisa balaa hilo kwa Wapalestina lisingetokea
Bila Netanyahu kuchukua maamuzi magumu ya kuwajibisha magaidi sidhani kama leo tungekua na Taifa la IsraelSasa mchungaji yesu si aliwaambia mtu akikupiga Kofi shavu la kushoto
We mgeuzie na lakulia ,,
Mbona hamfati maandiko ya kitabu chenu .,
Mkuu binafsi sijui ila huyu jamaa ni mwehu kuliko anaopigana nao🤔🤔Propaganda tu hizo mkuu.
Nchi gani inaweza kumkamata huyu baba? Akishtakiwa atapelekwa gereza la nchi gani?
Kuna nchi huwezi kusafiri ndio tatizo lake,Mkumbuke pia hata Putin anasakwa na ICC ila maisha Yanaendelea kama kawaida kwake.
Hivi Iron dome Zilizimwa wakati Iran anawapelekea moto Israel?ICC ni kwa watawala dhaifu sio level za BIBI....
Wanapoteza muda hawa malofa....
nini maoni yako..?Ndio naangalia hapa live kupitia Al Jazeera, mtaalamu wa siasa Marwan Bishara anasema hili ni jambo kubwa, ni siku njema kwa wapenda haki.
Mimi sijui ila huyo bwana yupo kama hamnazo vile sijui naona mimi tu🤔Propaganda tu hizo mkuu.
Nchi gani inaweza kumkamata huyu baba? Akishtakiwa atapelekwa gereza la nchi gani?
Ilikuwa aibu adi leo kutotolewa iyo Hati mashilika yote ya haki za Binadamu zinashtumu Netanyahu na wenzake kwa kufanya unyama mkubwa ktk karne 21 lkn taasisi nyingi nilikuwa nimepigwa na Butwaa vip adi leo sheria aichukui mkondo. Hii itasaidia na kuna uwezekano yule mwendesha mashtaka ana uraia wa UK na chama kipya kilichoingia mamlakani PM wake alisema wao sasa awatozuia kutolewa ile Hati wataongea na KHAN kumbe yule Muindi alikuwa PM ndio alikuwa anazuia HATI isitolewe. Kenge yuleKwani Hamas ilipovamia mji ya Israel tarehe 7 Oktoba, 2023 waliua na kuwateka Wanajeshi pekee?
Remember: Action and reaction are equal but opposite in directions.
Hapo ndipo nyinyi ndugu zetu Waislamu mnapouthibitishia ulimwengu mzima kwamba upeo wenu wa akili una matatizo makubwa sana, your thinking capacity is below the average.Sasa mchungaji yesu si aliwaambia mtu akikupiga Kofi shavu la kushoto
We mgeuzie na lakulia ,,
Mbona hamfati maandiko ya kitabu chenu .,
Netanyahu na Gallant wanyongwe hadharani.nini maoni yako..?