Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

Kuna mdau kanikumbusha hata nikimpeleka kituo cha staki Shari au buguruni pale ,hatokiii Askari wa pale wako fiti na mahakama ya kitaifa iko arusha tunamaliza kila kitu mwamba anafungwa kekooo
 
Okay sawa.

Lakini Israel kwenye suala hili ilianza kuchokozwa.
Endapo kama mashambulizi ya Waisraeli ya 7 Oktoba, 2023 yasingefanyika naamini kwa dhati kabisa balaa hilo kwa Wapalestina lisingetokea
Unless kama hufuatilii international news, netanyahu hataki vita iishe kwa sababu zake binafsi wala siyo october 7, hata wananchi wa israel wanalijua hilo , na hata biden alihojiwa akasema wana kila sababu netanyahu ana personal interest na kuendelea kwa vita, tumieni akilo basi msiwe mnadanganyika kiurahisi hivyo
 
Sasa mchungaji yesu si aliwaambia mtu akikupiga Kofi shavu la kushoto
We mgeuzie na lakulia ,,
Mbona hamfati maandiko ya kitabu chenu .,

Mkuu kwani lazima uletw udini kwenye hili pia?
 
Kwani Hamas ilipovamia mji ya Israel tarehe 7 Oktoba, 2023 waliua na kuwateka Wanajeshi pekee?

Remember: Action and reaction are equal but opposite in directions.
Ilikuwa aibu adi leo kutotolewa iyo Hati mashilika yote ya haki za Binadamu zinashtumu Netanyahu na wenzake kwa kufanya unyama mkubwa ktk karne 21 lkn taasisi nyingi nilikuwa nimepigwa na Butwaa vip adi leo sheria aichukui mkondo. Hii itasaidia na kuna uwezekano yule mwendesha mashtaka ana uraia wa UK na chama kipya kilichoingia mamlakani PM wake alisema wao sasa awatozuia kutolewa ile Hati wataongea na KHAN kumbe yule Muindi alikuwa PM ndio alikuwa anazuia HATI isitolewe. Kenge yule
 
Sasa mchungaji yesu si aliwaambia mtu akikupiga Kofi shavu la kushoto
We mgeuzie na lakulia ,,
Mbona hamfati maandiko ya kitabu chenu .,
Hapo ndipo nyinyi ndugu zetu Waislamu mnapouthibitishia ulimwengu mzima kwamba upeo wenu wa akili una matatizo makubwa sana, your thinking capacity is below the average.

Mgogoro mkubwa uliopo Mashariki ya Kati kati ya Israel na Palestina/Hamas siyo Mgogoro wa kidini, Bali ni Mgogoro wa Ardhi Mkubwa zaidi hapa duniani.
Tambueni suala hili please.
 
Back
Top Bottom