min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Naunga hili🤔Netanyahu na Gallant wanyongwe hadharani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga hili🤔Netanyahu na Gallant wanyongwe hadharani.
uwiiiiiiiiiNetanyahu na Gallant wanyongwe hadharani.
nimewasikiliza al jazeera ndio habari pekee wanaiongelea leo. ajabu yake, hawajui kuwa hata PUTIN aliwahi kupewa arrest warrant, what happened then? viongozi kibao tu hapa duniani walishawahi kupewa arrest warrant. ICC haina meno, ni kibogoyo, inategemea netanyahu na mwenzake wakitembelea nchi wanachama wakamatwe na hizo nchi, ni nchi gani netanyahu alishawahi kutembelea kwa miaka 20 iliyopita, utaona ni Marekani peke yake. hawana shida kutembelea nchi zingine. na Israel sio member state wa ICC, so is the US and Russia.Wakuu,
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imetoa hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, na waziri wa zamani wa ulinzi, Yoav Gallant, kwa makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita.
Uamuzi huu unamaanisha kwamba nchi 124 wanachama wa ICC zinapaswa kuwakamata Netanyahu na Gallant watakapokanyaga katika maeneo yao.
Soma pia: Pamoja na “Arrest Warrant” ya Mahakama ya ICC, Putin atua Mongolia kibabe
Mahakama hiyo pia ilidai kuwa walikusudia na walijua kwamba Netanyahu na Gallav waliwanyima raia wa Gaza chakula, maji, dawa, vifaa vya matibabu, mafuta, na umeme kwa makusudi.
Netanyahu alikataa madai hayo akiyaita “ya kipuuzi na ya uwongo” na akasema ni “upotoshaji.”
Israel pia imepinga mamlaka ya ICC kwa kusema kuwa nchi nyingine za kidemokrasia hazijawahi kutendewa kwa njia ya upendeleo mbaya kama hiyo, huku ikisisitiza kwamba inaheshimu utawala wa sheria.
Aidha, ICC pia imetoa hati ya kukamatwa kwa kiongozi wa Hamas, Mohammed Deif, kwa makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifunime wa kivita.
Hata hivyo, Israel ilidai Agosti kwamba ilimuua Deif katika shambulio la anga lililofanyika Gaza mwezi mmoja kabla.
Kila siku nalia machozi ninavyowaona watoto wanavyoteseka huko Gaza!uwiiiiiiiii
marwan ni Mpalestina anayeishi Ufaransa na nchi kadhaa za ulaya,ni mkimbizi. hawezi kuwa impartial hata siku moja, na al jazeera huwa wanamtumia kama silaha kuwapa moyo watu kama wewe waone kuna ushindi unakuja. NI marwan aliyesema mbele ya tv kwamba Israel haiwezi kuingia Gaza kwamba haina uwezo, ni yeye alikuwa anawaambia wa hezbollah wana jeshi bora na alikuwa na imani na viongozi wa hezbollah ambao wote sasaivi wanaliwa na funza ardhini huko. kama unamsikiliza basi unafanana naye upungufu wa akili.Gaidi kwako, kwangu ndiye mchambuzi bora wa siasa za Kimataifa.
Namkubali na kumheshimu sana.
Siyo tu reference, namkubali mnoooo! Akiwa anaongea naacha kila kitu namsikiliza.Yaani Marwan Bashara naye unamfanya kama reference mtu mwenye chuki na wasiyo kuwa waislamu?
Hakuna cha haki wala nini ni ushabiki wa kidini tu
vipi Israel inakukwaza kuwepo pale...?Kila siku nalia machozi ninavyowaona watoto wanavyoteseka huko Gaza!
Usinipangie wa kumsikiliza tafadhali, namsikiliza na kila anachosema nakikubali 100%marwan ni Mpalestina anayeishi Ufaransa na nchi kadhaa za ulaya,ni mkimbizi. hawezi kuwa impartial hata siku moja, na al jazeera huwa wanamtumia kama silaha kuwapa moyo watu kama wewe waone kuna ushindi unakuja. NI marwan aliyesema mbele ya tv kwamba Israel haiwezi kuingia Gaza kwamba haina uwezo, ni yeye alikuwa anawaambia wa hezbollah wana jeshi bora na alikuwa na imani na viongozi wa hezbollah ambao wote sasaivi wanaliwa na funza ardhini huko. kama unamsikiliza basi unafanana naye upungufu wa akili.
Hizo siasa zao za maeneo sio juu yangu, naumia watoto wanaouliwa na kuumizwa basi.vipi Israel inakukwaza kuwepo pale...?
hakuna anayekupangia, unafaa kumsikiliza kwa sababu akili zenu zinafanana.Usinipangie wa kumsikiliza tafadhali, namsikiliza na kila anachosema nakikubali 100/%
Yani niache kumsikiliza mtaalamu wa siasa za dunia, akili kubwa Marwan Bishara nikusikilize wewe mnywa mataputapu?
Unless kama hufuatilii international news, netanyahu hataki vita iishe kwa sababu zake binafsi wala siyo october 7, hata wananchi wa israel wanalijua hilo , na hata biden alihojiwa akasema wana kila sababu netanyahu ana personal interest na kuendelea kwa vita, tumieni akilo basi msiwe mnadanganyika kiurahisi hivyo
vyemaHizo siasa zao za maeneo sio juu yangu, naumia watoto wanaouliwa na kuumizwa basi.
Likamatwe tu Nyau likasukumiwe nao huko huko korokoroni
Ndio kunipangia kwenyewe huko, ungekaa kimya ukaachana na mtazamo wangu bila kuingilia.hakuna anayekupangia, unafaa kumsikiliza kwa sababu akili zenu zinafanana.
Haya ndo matokeo ya kushabikia vita na kushiriki kutendea unyama wanadamu ambao siyo nasaba yao.Wakuu,
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imetoa hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, na waziri wa zamani wa ulinzi, Yoav Gallant, kwa makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita.
Uamuzi huu unamaanisha kwamba nchi 124 wanachama wa ICC zinapaswa kuwakamata Netanyahu na Gallant watakapokanyaga katika maeneo yao.
Soma pia: Pamoja na “Arrest Warrant” ya Mahakama ya ICC, Putin atua Mongolia kibabe
Mahakama hiyo pia ilidai kuwa walikusudia na walijua kwamba Netanyahu na Gallav waliwanyima raia wa Gaza chakula, maji, dawa, vifaa vya matibabu, mafuta, na umeme kwa makusudi.
Netanyahu alikataa madai hayo akiyaita “ya kipuuzi na ya uwongo” na akasema ni “upotoshaji.”
Israel pia imepinga mamlaka ya ICC kwa kusema kuwa nchi nyingine za kidemokrasia hazijawahi kutendewa kwa njia ya upendeleo mbaya kama hiyo, huku ikisisitiza kwamba inaheshimu utawala wa sheria.
Aidha, ICC pia imetoa hati ya kukamatwa kwa kiongozi wa Hamas, Mohammed Deif, kwa makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita.
Hata hivyo, Israel ilidai Agosti kwamba ilimuua Deif katika shambulio la anga lililofanyika Gaza mwezi mmoja kabla.