Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

Sio Ayatollah but Netanyahu..
 
Si mpaka aende huko?
 
Sasa mchungaji yesu si aliwaambia mtu akikupiga Kofi shavu la kushoto
We mgeuzie na lakulia ,,
Mbona hamfati maandiko ya kitabu chenu .,
Wayahudi wana fata TORATI ya Musa Jino kwa jino, nako to nako, akuanzae mmalize.
Ndio hivyo sheikh.
NB, ukiandika yesu kama ni yule wa Nazareth anza na herufi kubwa yaani Yesu.
 
Uvamie nchi ya watu ,uue watu, ushangilie allahu akbar, wakutandike ,ujichanganye na raia ,utegemee kusiwe na collateral damage?
Hamas waliutaka wameupata!
 
Uvamie nchi ya watu ,uue watu, ushangilie allahu akbar, wakutandike ,ujichanganye na raia ,utegemee kusiwe na collateral damage?
Hamas waliutaka wameupata!
Na netanyahu kautaka sasahivi amekuwa kibaka kama vibaka wengine tu pamoja na back up ya marekani ila dunia imeshamkataa,ukiachana na mawaziri wake wawili wa ulinzi ambao walimchana wazi kama jamaa hajui anachofanya
 
Haya pata maoni ya biden na waziri wa vita aliyeamua kuachana na netanyahu kwa kujiuzulu baada ya kuona jamaa haelewi anachokifanya
Nikisoma post zako huko nyuma namna ulivyopoa siku hizi namheshimu sana na kumuogopa Myahudi
 
Na netanyahu kautaka sasahivi amekuwa kibaka kama vibaka wengine tu pamoja na back up ya marekani ila dunia imeshamkataa,ukiachana na mawaziri wake wawili wa ulinzi ambao walimchana wazi kama jamaa hajui anachofanya
Hakuna kitu Netanyahu atafanywa especially kipindi hiki cha mzee Trump.
Jamaa akiingia ofisini anatoa zuio la silaha tunahamia Yemen baada ya kufuta hizbullah kwenye uso wa dunia.
Myahudi ni mtu wa kisasi hakopeshi.
Jamaa hawakujua kuchagua vita
 
Hakuna kitu Netanyahu atafanywa especially kipindi hiki cha mzee Trump.
Jamaa akiingia ofisini anatoa zuio la silaha tunahamia Yemen baada ya kufuta hizbullah kwenye uso wa dunia.
Myahudi ni mtu wa kisasi hakopeshi.
Jamaa hawakujua kuchagua vita
Inaonyesha mweupe sana kwenye anga za kimataifa ,trump huwa hataki vita ,na katika historia ya marekani yeye ndio aliondoa wanajeshi wa marekani afghanistan na kwingineko middle east,
Akiingia trump hakutokuwa na vita ukraine wala gaza na netanyahu analijua hilo
 
M
Mahakama ya kipuuzi. Huwezi kutoa hati ya mashtaka kwa kiongozi aliengoza kwa mafanikio makubwa operation tokomeza ugaidi.
Kumbuka hamas ndio walianza ugaidi Oct 7

Hao ni wapumbavu, Waliyofanya Hamas Oktoba 7 sio unyama?
 
Okay sawa.

Lakini Israel kwenye suala hili ilianza kuchokozwa.
Endapo kama mashambulizi kwa Waisraeli ya 7 Oktoba, 2023 yasingefanyika naamini kwa dhati kabisa balaa hilo kwa Wapalestina lisingetokea
Kwani unadhani kabla ya October 7 walikuwa hawauliwi? Sema siyo kwa wingi kama hivi. Mateso walikuwa nayo, October 7 ilichofanya ni kuongezeka kwa idadi kubwa ya vifo na uharibifu mkubwa zaidi. Na pia dunia kufuatilia zaidi.
 
Netanyahu kweli hautaki vita iishe
 
Mateka wako wapi?

Anaachaje vita huku magaidi bado wana mateka wa Kiyahudi
 
Sasa kinacho kuliza ni Nini?
 
Mahakama ya kipuuzi. Huwezi kutoa hati ya mashtaka kwa kiongozi aliengoza kwa mafanikio makubwa operation tokomeza ugaidi.
Kumbuka hamas ndio walianza ugaidi Oct 7

Bibi likamatwe tu likatolewe mavi korokoroni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…