Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

Wakuu,

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imetoa hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, na waziri wa zamani wa ulinzi, Yoav Gallant, kwa makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita.

Uamuzi huu unamaanisha kwamba nchi 124 wanachama wa ICC zinapaswa kuwakamata Netanyahu na Gallant watakapokanyaga katika maeneo yao.



Soma pia: Pamoja na “Arrest Warrant” ya Mahakama ya ICC, Putin atua Mongolia kibabe

Mahakama hiyo pia ilidai kuwa walikusudia na walijua kwamba Netanyahu na Gallav waliwanyima raia wa Gaza chakula, maji, dawa, vifaa vya matibabu, mafuta, na umeme kwa makusudi.

Netanyahu alikataa madai hayo akiyaita “ya kipuuzi na ya uwongo” na akasema ni “upotoshaji.”

Israel pia imepinga mamlaka ya ICC kwa kusema kuwa nchi nyingine za kidemokrasia hazijawahi kutendewa kwa njia ya upendeleo mbaya kama hiyo, huku ikisisitiza kwamba inaheshimu utawala wa sheria.

Aidha, ICC pia imetoa hati ya kukamatwa kwa kiongozi wa Hamas, Mohammed Deif, kwa makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita.

Hata hivyo, Israel ilidai Agosti kwamba ilimuua Deif katika shambulio la anga lililofanyika Gaza mwezi mmoja kabla.
Benyamini anatakiwa akanyee ndoo
 
Mateka wako wapi?

Anaachaje vita huku magaidi bado wana mateka wa Kiyahudi
Alishakataa habari za mateka ,hadi Biden alitoa ceasefire plan ambayo ingeachia mateka wote, jamaa akaikataa, akatoa visababu vya kitoto ,hadi wananchi wake waliandamana kama unafuatilia international news, acha tu aishi kama kibaka, ndio maana waziri wake wa vita gantz alimtema mapema alishaona huyu ni mbinafsi na hajali kuhusu waisrael
 

Attachments

  • Screenshot_20241121-221117_Facebook.jpg
    Screenshot_20241121-221117_Facebook.jpg
    262.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241121-221144_Gallery.jpg
    Screenshot_20241121-221144_Gallery.jpg
    114.7 KB · Views: 1
Inaonyesha mweupe sana kwenye anga za kimataifa ,trump huwa hataki vita ,na katika historia ya marekani yeye ndio aliondoa wanajeshi wa marekani afghanistan na kwingineko middle east,
Akiingia trump hakutokuwa na vita ukraine wala gaza na netanyahu analijua hilo
Dharau na kejeli kwa watu wanaopingana na wewe pamoja na wenzio tumezizoea na hazifichi ukweli kwamba Myahudi is not done na magaidi kabisa.
It is either mtambue haki ya Mayahudi kuishi au mfe.
Wa kumlaumu ni yule mzee aliyewadanganya kwamba alikwenda mbinguni na punda!
 
Sasa mchungaji yesu si aliwaambia mtu akikupiga Kofi shavu la kushoto
We mgeuzie na lakulia ,,
Mbona hamfati maandiko ya kitabu chenu .,
Hawa wazayuni sio wakristo mzee wao nijino kwajino
 
Wavaa kobazi wamesema wanataka waendelee kupigwa "alaho akibaro,
Sasa mnakamata wapigaji tena watapigwa na nani huku wanawashwa.
 
Back
Top Bottom