Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

Anabatiza kwa Moto tuliambiwa na mzee makamba
Makamba siku anaitwa kubatizwa akakimbilia kuandika barua ya kujitoa CCM! Kaambiwa mzee mambo hayaendagi hivyo! Tulia ubatizwe! Siku ya kubatizwa alilia na kutokwa na machozi na makamasi mpaka kamati ya nidhamu ikamuhurumia na kumfutia makosa yake yote! Sasa nenda kwa makamba atawapa ushauri mzuri
 
Chizi umelogwa tena?Duh!walimwengu kweli hawana huruma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Updates wapi
 
Mungu asimamie haki itendeke!

Wakati huu wa Kwaresma tunajikumbusha mengi kuhusu Wanasheria na yule Yuda aliyesaliti PIA Petro aliyekana!
Wanasheria ndio watu pekee walikua na uwezo na ujasiri wa kumpa YESU changamoto ya maswali.
 
Punguza usenge wewe,usijione una akili kuliko wengine ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mlisema hukum inatolewa saa Saba ila mpaka sasa updates sizion au Ni saa Saba ya usiku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…