Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Ungeanza kujikomboa kwa kujifunza Kiswahili ingefaa zaidi.Ukombozi hupi? Jikomboe kwanza!
Wapiga deals, madawa ya kulevya, vyeti feki, wafanyakazi hewa, vibaraka wa mabeberu, wakwepa kodi, n.k. Mnapata tabu saaana!Tunataka tujikomboe kutoka kwenye hili dude! View attachment 1383021
HUPI = UPI?Ukombozi hupi? Jikomboe kwanza!
Mlivyoondolewa akili vichwani wenye vyeti feki ndio viongozi wenu na mnawashangilia! hovyo kabisa hiki kizazi...Wapiga deals, madawa ya kulevya, vyeti feki, wafanyakazi hewa, vibaraka wa mabeberu, wakwepa kodi, n.k. Mnapata tabu saaana!
Eeeebwanaa weeee!
Tumefika huko?
Mnateka watu, mnanyima watoto wa kike kusoma,mnaua watu maiti zinaokotwa fukweni, mnapiga risasi watetea haki, mnanyima vyama vya siasa kufanya mikutano na wananchi wao,mnaua uchumi,mnakiri corona ikija hamna la kufanya,mnatumia sheria ya kuhujumu uchumi kuzuia msikosolewe,e.t.c kwa kutumia chaka la wapiga dili![emoji12][emoji12][emoji12]Wapiga deals, madawa ya kulevya, vyeti feki, wafanyakazi hewa, vibaraka wa mabeberu, wakwepa kodi, n.k. Mnapata tabu saaana!
hii hukumu ingewekwa kwenye sportpesa watu tubet
Tulia ikuingie vizuri! Acha kulialia kisa eti mshono!Mnateka watu, mnanyima watoto wa kike kusoma,mnaua watu maiti zinaokotwa fukweni, mnapiga risasi watetea haki, mnanyima vyama vya siasa kufanya mikutano na wananchi wao,mnaua uchumi,mnakiri corona ikija hamna la kufanya,mnatumia sheria ya kuhujumu uchumi kuzuia msikosolewe,e.t.c kwa kutumia chaka la wapiga dili![emoji12][emoji12][emoji12]
Kama Bashite a.k.a MakondaWapiga deals, madawa ya kulevya, vyeti feki, wafanyakazi hewa, vibaraka wa mabeberu, wakwepa kodi, n.k. Mnapata tabu saaana!
Endeleeni kulewa madaraka ila kuna siku mtalewa hukumu!Tulia ikuingie vizuri! Acha kulialia kisa eti mshono!