Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

Wanachama wa CHADEMA tunaelekea ofisi zetu Kuu za chama jijini Dar es Salaam, Tanzania kwenda kuandaa taratibu za kuwatoa viongozi wetu baada ya hukumu.

 
Hivi zinalipwa hapo hapa Cash?
Au wanaruhusiwa waende kuzitafuta?
Siyo lazima hapo hapo, japo wasipolipa inabidi waende and the more unakaa huko ndivyo na zenyewe zinapungua, so kwa mfano akilipa jumanne ijayo kama ilikuwa 10m haiwezi kubakia hiyo watahesabu siku alizokaa huko then wanadeduct!
 
Sisi wananchi pia ni stupid citizens kwa sababu serekali inafanya ujinga ila hatuiwajibishi!

Ni kweli mkuu,ila ukishasikia serikali iliyopo madarakani ndio dola utapiga wapi kelele kama sio hapa JF pekee ndio tunajimwambafy? 🤣 🤣 😉 😉 , very sad nchi yangu Tanzania bila katiba huru ..tutaendelea kunyanyaswa kwenye nchi yetu wenyewe...
 
Hii hukumu ni kubwa sana kwa Mashinji maana hawa viongozi wenzake kwa kuwa tukio lilitokea wakiwa kwenye kazi za chama natumaini watalipa toka akaunti ya chama chao; huyo aliyejitoa chamani itabidi yeye na familia yake watafute hiyo pesa au aende jela, Ni mtazamo wangu tuu
 
Umeongea point mkuu mpaka najihisi kudaiwa, hao wakina mama walioko jela sijawahi kuwawazia yaani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…