digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Njoo mwanza tupulizie dawa ya ukoko
Unaweza. Public interest litigation sijui kama inaweza kuangukia humo.Wakuu hamjambo?
Naandika Uzi huu nikiwa na huzuni kubwa ya kutokulidhishwa na hukumu iliyotolewa kwa Mbowe Na viongozi wenzake,binafsi nikifikilia kuhusu vurugu zilizo himizwa na viongozi wa chadema hadi kupelekea kifo cha binti akwilina naumia sana.
Kwa hukumu iliyotolewa Leo ikilinganishwa na uhai wa binti yetu akwilini naona kama haviendani,hukumu ya maisha kwa Mbowe Na viongozi wenzake ndiyo ilikuwa suruhu katika kuweka mambo sawa, hii ni kutokana na athari mbaya zilizojitokeza kutokana na uana harakati uchwara wa akina Mbowe Na wenzake.
Swali langu ni kuwa, je kama raia naruhusiwa kukata rufaa kutokana na kutokulidhishwa na hukumu iliyotolewa kwa viongozi hawa, kwani naona milioni 350 au jela miezi mitano ni hukumu ambayo haikuzingatia uzito wa kosa, na haijawatendea haki wazazi na ndugu wa binti Akwilina.
Wataalamu wa sheria nijuzeni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaombea wengine ndio wafanye malipo eti? Wewe je?Hiyo hukumu imeamrishwa na huyo kichaa mpenda sifa na madaraka wenu ila malipo atayapata hapa kabla hajaenda kujiunga na mababu zake
Nilifikiri utakinukisha. Kama kuchukia tu, poa!Tutachanga kama wakitoa account lakini jambo kubwa moja kwangu ni kuwa nazidi kuichukia serikali kadri siku zinavyosonga mbele,kwasasa hata nikimkuta mwanaCCM anakufa hapo,mimi nitapita na kuendelea na shughuli zangu!Nimeufunga rasmi moyo wa huruma!
Try me!
Ccm si mandondocha?lazima wawe wengiUpinzani wapo wengi lakini CCM wana idadi zaidi tofauti yenu ni moja tu. Upinzani mna kelele wenzenu wapo kimya kwasababu wana dola. Msifanye kosa la kudhani CCM wapo wachache. Tengenezeni sera za kuwavutia wanachama wa CCM wahamie kwenu badala ya kutambia namba ambazo hazitoshi.
Kweli mkuuHii serikali naona imefilisika sana hadi imeamua kuutumia mhimili wa mahakama kukusanya mapato ya kidhalimu kutoka kwa viongozi wa Chadema.
Limwalimu limasikini linajitutumua nyuma ya keyboard likiandika ujinga. Hapo halijapandaga daraja toka liondoke sengerema miaka hiyo. Pumb.avu sana wewe. Waulize wanasheria namna wakavyokusaidia ili utumishi wakupandishe mshahara siyo kuwaza ujinga muda wote.Wakuu hamjambo?
Naandika Uzi huu nikiwa na huzuni kubwa ya kutokulidhishwa na hukumu iliyotolewa kwa Mbowe Na viongozi wenzake,binafsi nikifikilia kuhusu vurugu zilizo himizwa na viongozi wa chadema hadi kupelekea kifo cha binti akwilina naumia sana.
Kwa hukumu iliyotolewa Leo ikilinganishwa na uhai wa binti yetu akwilini naona kama haviendani,hukumu ya maisha kwa Mbowe Na viongozi wenzake ndiyo ilikuwa suruhu katika kuweka mambo sawa, hii ni kutokana na athari mbaya zilizojitokeza kutokana na uana harakati uchwara wa akina Mbowe Na wenzake.
Swali langu ni kuwa,je Kama raia naruhusiwa kukata rufaa kutokana na kutokulidhishwa na hukumu iliyotolewa kwa viongozi hawa,kwani naona milioni 350 au jela miezi mitano ni hukumu ambayo haikuzingatia uzito wa kosa,na haijawatendea haki wazazi na ndugu wa binti akwilina.
Wataalamu wa sheria nijuzeni.
Sent using Jamii Forums mobile app