Wanaoenda kusomewa hukumu ni wahanga waukatili kama Akwilina (R.I.P).
Familia ya marehemu sijui wanajisikiaje kuona aliyemdhulumu uhai binti yao si miongoni mwa watakao hukumiwa! Walioagiza matumizi ya risasi ndio wasimamizi wa hukumu!!!
Wananchi wote tunajua polisi ndiyo walimpiga risasi na kumuua yule binti na mwanzoni walikiri na kumuweka ndani polisi muuaji, maamuzi yoyote nje ya ukweli hayatakubalika
Lipi kati ya haya mawili likitendeka haki itakuwa imepatikana,Mungu asimamie haki itendeke!
Wakati huu wa Kwaresma tunajikumbusha mengi kuhusu Wanasheria na yule Yuda aliyesaliti PIA Petro aliyekana!
Akwilina alikuwa kwenye daladalaaliyesababisha ndiye mwenye kosa kubwa bila kuandamana mbowe na genge lake mauaji yangetoka wapi
Hivi magufuli alienda kupaka majivu na yeye!?
Itasaidia kwa yeye kujitambua kama ilivyotokea kwa Mh. Sugu.Hiyo mvua itasaidia nini bwashee?!!!
FutuhiNINI MAJIVU ALIENDA KUMJULIA HALI MANGULA ETI AKAJITIA KUPIGA SALA YA MAOMBEZI WODINI PALE MSUKUMA MSHAMBA KWELI HUYU
jua kuwa mlienda kwenye ofisi ya uma siyo kwa mjomba wako hapo ufike tu hata hayupo uanze fujo washenzi nyie subirini sasa mkachezee dushe za wanaume jela na mtapigwa ile mbaya
Leo tarehe 10 Machi 2020 saa saba Adhuhuri tunataraji kuona na kusikia hukumu ya viongozi wa CHADEMA ikisomwa Mahakama ya Kisutu.
Binafsi naona maluelue upande wa CHADEMA.
Toa utabiri wako
Kwako wewe kudai haki ndio ukimbelembele? Kama hilo latoka moyoni mwako, basi bado kuna mushkeli. Wakati wa kutafuta uhuru, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alihukumiwa na kufungwa kwa kesi ya kubambikiwa ili kuwakomboa hata wale walokuwa wakilamba miguu ya wakoloni kama ufanyavyo. Watia aibu. Mungu na aepushe uzao wako na balaa hii. Wende nayo mwenyewe kaburini. Amen.Halafu hawa ndio wote wale vimbelembele. Hapo kina prof J hawapo, kina Lijualikali hawapo, kina Joyce Mukya wabunge wa miaka nenda rudi hawapo. Ukiangalia wabunge wengi hapa ni walamba miguu wa mbowe. Hufanya vitu ili kumfurahisha mwenyekiti. Lema sijui kwa nini hakuwepo. Yule mzee wa machale sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shetani anakutesa sana. Kwa akili hiyo afya yako ya AKILI yatia shaka sana. HATA Mwisho wako utakuja kuwa wa ajabu sana.Ila bulaya bwana akili yake yote alimpaga halima mdee. Yaani ukitaka kumkamata bulaya we mtege tu halima mdee. Bulaya ataingia mzima mzima. Kweli penzi ni upofu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka kuuliza swali hili?kwani kwenye kesi hakuwepo?Hivi Vincent Mashinji yupo mahakamani?
Naona unatumia matako kufikiriLiwe lisiwe lazima mbowe ale mvua hapo wengine watapata unafuu kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo. Kavaa shati jeupe mikono mifupi na suruali nyeusi.Hivi Vincent Mashinji yupo mahakamani?