Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

Tunaomba link ya hii michango jamani
1583904063133.png
 
Kilichofanywa kwa uwepo wa Maalim Seif, Mbatia na wito wa Zitto kuichangia Chadema ni kitu kizuri, kuonyesha political solidarity, it's only through together ndio we can!.
P
Naunga mkono hoja,ila what do you have to say about him being a traitor anaedhohofisha upinzani kea kujua.?
 
Hii ni thread ya wachangiaji umbea peleka Lumumba mnakowekeana sumu.
Mbona unaleta ubaguzi kwenye kuchangia MAKAMANDA?

Nimeuliza MUKYA naona unatoa povu, ila binafsi mchango wangu nitamtumia MUKYA
 
weka tafsiri sahihi, km hv wamehukumiwa jela miezi 5 au faini. Mimi siyo mwanasheria lkn nnachojua hata wakilipa faini ni sawa tu wametumikia hiyo miezi 5. Kumbuka hiyo ni faini siyo fidia. Na kwa mfano mbowe awe anajaza form na kwenye form kuna swali kama uliwahi kufungwa na kama jibu ni ndiyo kwa muda gani? Atajaza nini?
Kumbe kuteseka vote vile mpaka jasho la matako linawatoka kumbe munamuogopa mbowe asigombee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom