Mahakama ya Mwanzo ya Buguruni imevunja ndoa ya waliotengana kwa makubaliano ya kila mmoja aende kutafuta watoto

Mahakama ya Mwanzo ya Buguruni imevunja ndoa ya waliotengana kwa makubaliano ya kila mmoja aende kutafuta watoto

Hapo sasa inabidi Mwanamke afunge ndoa na huyo Mwanaume aliyezaa naye hao Watoto wanne, na Mwanaume naye inabidi afunge ndoa na huyo Mwanamke aliyezaa naye.
 
Kwa hiyo mwanaume ndo ana matatizo? Watoto aliozaa kabla hajaoa inabidi apime DNA. Ikute alibambikizwa. Hongera sana Magreath kwa kumove on.Hiyo famille ya X mumeo sijui wanaona aibu kweli?
 
Jamaa alienda akazaa watoto watatu nje akawa nao jumla 4 ndan ya miaka 10



Mkewe naye akaenda kazaa watoto wann ndan ya miaka hiyo 10[emoji23][emoji23]..hapa mke wajamaa alikua kaamua kuzaaa maana alichekwa sana.


Mke akafungua kesi ya Talaka, ili aoane na waliyezaa naye...Jamaa akawa hataki anataka arudiane mke wake.



Mwenye picha ya mwanamke muiweke hapa Jamani
Mpaka tunaongea muda huu bwana Kulaya hana mtoto hata mmoja watoto alionao niwa kusingiziwa .
 
Kwa kukubali kwenda kufanya uzinzi hadi kufikia kutotoleshwa watoto wanne still akauweka huu ulimbukeni hadharani huyo mwanamke amethibitisha jinsi hii jamii ilivyo ya hovyo.

Tulijue hili hasa sisi wanaume,mwanamke sahihi unayeweza ukasimama hadharani na kusema huyu mwanamke kweli aliifanya kazi yake kisawa sawa mpaka matokeo yamekuwa hivi ni “Mama yako mzazi tu” the rest wote ni wendawazimu,hawajitambui na hawajijui mf; unaweza ukamkadiria mmojawao kwa kumuangalia ukadhani yupo smart kichwani etc ila ikitokea rabsha yoyote jinsi atakavyoitatua huwezi kumtofautisha na ambaye hajasoma.
 
Hivi ndoa ya kikristo ya mke/mme mmoja inafaa kuvunjwa na mahakama kisheria au kiimani inakua
Kiimani itavunjwa iwapo tu uzinzi umethibitishwa

Kimahakama inaweza kuvunjwa kutegemeana na sababu yenye mashiko mbele ya sheria ya Jamuhuri
 
Kwa hiyo mwanaume ndo ana matatizo?Watoto aliozaa kabla hajaoa inabidi apime DNA.Ikute alibambikizwa. Hongera sana Magreath kwa kumove on.Hiyo famille ya X mumeo sijui wanaona aibu kweli?
Nawaza tu hao mawifi waliokua wanamsumanga dada wa watu kwamba mgumba sijui wana hali gani sasa
 
Nawaza tu hao mawifi waliokua wanamsumanga dada wa watu kwamba mgumba sijui wana hali gani sasa
Mkuu mawifi wana rahana , mkeo anasimangwa na mawifi na yeye akienda kwao anawasimanga mawifi zake (yaani wake wa kaka zake) hawa mawifi wana rahana ya asili .
 
Mwanamke hasingiziwi mtoto, Kulaya kazi anayo. Mawifi domo zito hawaamini yaliyomtokea wifi
 
Wameishi wote hakuna mtoto,, wameachana Wamepata watoto. Wapiga ramli kuna mjumbe amepigwa hapo kwa kupewa watoto si wake
 
Back
Top Bottom