kudot2020 Senior Member Joined Jan 8, 2020 Posts 122 Reaction score 161 Jan 17, 2022 #41 KANYIMBI said: Ni maamuzi mazuri kulingana na umri wao. Japo kama bado wanapendana wangetafuta staili nyingine kuliko kupata kibali cha mahakama cha kutengana. Sikuhizi mbona Muhimbili wanapandikiza ujauzito?. Click to expand... Gharama zikoje mkuu, yaan kuanzia vipimo mpk kupandikiza kwenyewe
KANYIMBI said: Ni maamuzi mazuri kulingana na umri wao. Japo kama bado wanapendana wangetafuta staili nyingine kuliko kupata kibali cha mahakama cha kutengana. Sikuhizi mbona Muhimbili wanapandikiza ujauzito?. Click to expand... Gharama zikoje mkuu, yaan kuanzia vipimo mpk kupandikiza kwenyewe
S sysafiri JF-Expert Member Joined Sep 19, 2019 Posts 6,845 Reaction score 10,071 Jan 17, 2022 #42 Iceberg9 said: Hivi ndoa ya kikristo ya mke/mme mmoja inafaa kuvunjwa na mahakama kisheria au kiimani inakua Click to expand... Hapana!
Iceberg9 said: Hivi ndoa ya kikristo ya mke/mme mmoja inafaa kuvunjwa na mahakama kisheria au kiimani inakua Click to expand... Hapana!