Mahakama ya Tanzania ni mhimili unaosimamia uvunjwaji wa Haki za Binadamu nchini....

Mahakama ya Tanzania ni mhimili unaosimamia uvunjwaji wa Haki za Binadamu nchini....

Tusome kwa pamoja Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ibara ya 12 (6) Kwa madhumuni ya kuhakikisha usawa mbele ya sheria,
Mamlaka ya Nchi itaweka taratibu zinazofaa au zinazozingatia
misingi kwamba:

(a) wakati haki na wajibu wa mtu yeyote vinahitaji kufanyiwa uamuzi wa mahakama au chombo
kinginecho kinachohusika, basi mtu huyo atakuwa na haki ya kupewa fursa ya kusikilizwa kwa ukamilifu, na pia haki ya kukata rufaa au kupata nafuu nyingine ya kisheria kutokana na maamuzi ya mahakama au chombo hicho kingenecho kinachohusika;

(b) ni marufuku kwa mtu aliyeshtakiwa kwa kosa la jinai
kutendewa kama mtu mwenye kosa hilo mpaka itakapothibitika kuwa anayo hatia ya kutenda kosa
hilo;


(c) ni marufuku kwa mtu kuadhibiwa kwa sababu ya kitendo chohote ambacho alipokitenda hakikuwa ni
kosa chini ya sheria, na pia kwamba ni marufuku kwa
adhabu kutolewa ambayo ni kubwa kuliko adhabu
iliyokuwapo wakati kosa linalohusika lilipotendwa;


(d) kwa ajili ya kuhifadhi haki ya usawa wa binadamu, heshima ya mtu itatunzwa katika shughuli zote zinazohusu upelelezi na uendeshaji wa mambo ya
jinai na katika shughuli nyinginezo ambazo mtu anakuwa chini ya ulinzi bila uhuru, au katika

kuhakikisha utekelezaji wa adhabu;

(e) ni marufuku kwa mtu kuteswa, kuadhibiwa kinyama au kupewa adhabu zinazomtweza au kumdhalilisha

ZINGATIO
Mahakama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaendesha shughuli zake kwa uzingativu wa Katiba ipi? Swali hili haliwahusu polisi kwa sababu wamejionesha kwa vitendo zaidi katika kuipuuza Katiba ya nchi. Msingi wao ni kutii amri wanazopewa na ccm hata kama zinakiuka katiba.

Mahakama ambayo inaendeshwa kwa kodi zetu, imekuwa ikionesha wazi bila kificho kuipuuza Katiba ya nchi hususan linapoluja suala la Haki za Binadamu pale mtuhumiwa anaponyakuliwa/ kutekwa nyara na vyombo vya dola.

Suala la utekwaji nyara akina Soka na wenzake mahakama imetoa kinga ya kisheria kws jeshi la polisi ambapo watekwa nyara walipochukuliwa na polisi na kuwazuia. Mahakama ilisema hawapo katika vituo vya polisi ingawa ushahidi kuwa waliitwa polisi ulikuwa wazi na hakuna namna inayoweza kufanikisha upatikanaji wao.

Mahakama, imeendelea kuzuia dhamana ya kijana Kombo wa Tanga kwa kosa linalofhaminika. Hukumu hiyo imetolewa bila hata kesi ya msingi kuanza kusikilizwa dhidi ya kijana huyo.

Matumizi ya mahakama kulinda maslahi ya CCM yamekuwa bayana bila kificho wala aibu. Jaji Mkuu amebariki hilo ndiyo maana hajawahi kukemea ukiukwaji wa Haki za watu wanaotuhumiwa kwa makosa yanayohusiana na siasa.

Mwabukusi, Mdude_Nyagali na W. Slaa walikamatwa kwa amri ya IGP akiwatuhumu kwa kesi ya uhaini kwa sababu walipinga wazi wazi mkataba wa DP World. Tena walikamatwa baada ya kesi yao kupinga utaratibu wa mkataba ule. Mahakama ilishajiandaa kuwahukumu kwa kesi ya uhaini kama ilivyofanya kwa Mbowe. Amri ya kutengua maamuzi ama mwenendo wa kesi zinazoendelea hutoka JUU ndo maana tunasema kuwa nchi inapita kwenye giza na bonde la mauti.

Hitimisho
Mamlaka ya nchi haitoki tena kws Wananchi bali kutoka kwa vyombo vya usalama na Mahakama. Kama siyo kweli, njoo na hoja ya kupinga uhalisia huu
Huu ni usanii?
 
Umepoteza ile taswira yako ya kusimamia haki. Unacheza na upepo zaidi kuliko haki. Inshort ni chawa mstaarabu.
Mkuu @Tindo, katika hili la kusimamia haki, naomba tuu niheshimu your opinion on me,kwasababu ya kitu kinachoitwa perception, ni jinsi unavyojijua wewe ulivyo vs ya watu wanavyo ku perceive wanavyokuona wao。

kuna wadada they dress nasty watu wana wa perceive ni ma danga, kumbe sio, na kuna wadada wanavaa hijab na nikab,wanaonekana decent girls wenye heshima, kumbe ni madanga ya ajabu!。

kuna watu wakisikia tuu wewe ni CCM wanakuona sio
P
 
Ni usanii bwana unaakisi jina lako. Eti mhimili unaosimamia kuvunja haki za binadamu. Huoni kama kichwani kwako kumejaa nyama😂😂 Jitafakari basi
Wewe ni mmoja wao ndo maana hakuna tatizo unaloliona.

Endelea kuhubiri nyama kujaa kwenye vichwa vya watu. Saa ya Ukombozi inakuja
 
Tusome kwa pamoja Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ibara ya 12 (6) Kwa madhumuni ya kuhakikisha usawa mbele ya sheria,
Mamlaka ya Nchi itaweka taratibu zinazofaa au zinazozingatia
misingi kwamba:

(a) wakati haki na wajibu wa mtu yeyote vinahitaji kufanyiwa uamuzi wa mahakama au chombo
kinginecho kinachohusika, basi mtu huyo atakuwa na haki ya kupewa fursa ya kusikilizwa kwa ukamilifu, na pia haki ya kukata rufaa au kupata nafuu nyingine ya kisheria kutokana na maamuzi ya mahakama au chombo hicho kingenecho kinachohusika;

(b) ni marufuku kwa mtu aliyeshtakiwa kwa kosa la jinai
kutendewa kama mtu mwenye kosa hilo mpaka itakapothibitika kuwa anayo hatia ya kutenda kosa
hilo;


(c) ni marufuku kwa mtu kuadhibiwa kwa sababu ya kitendo chohote ambacho alipokitenda hakikuwa ni
kosa chini ya sheria, na pia kwamba ni marufuku kwa
adhabu kutolewa ambayo ni kubwa kuliko adhabu
iliyokuwapo wakati kosa linalohusika lilipotendwa;


(d) kwa ajili ya kuhifadhi haki ya usawa wa binadamu, heshima ya mtu itatunzwa katika shughuli zote zinazohusu upelelezi na uendeshaji wa mambo ya
jinai na katika shughuli nyinginezo ambazo mtu anakuwa chini ya ulinzi bila uhuru, au katika

kuhakikisha utekelezaji wa adhabu;

(e) ni marufuku kwa mtu kuteswa, kuadhibiwa kinyama au kupewa adhabu zinazomtweza au kumdhalilisha

ZINGATIO
Mahakama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaendesha shughuli zake kwa uzingativu wa Katiba ipi? Swali hili haliwahusu polisi kwa sababu wamejionesha kwa vitendo zaidi katika kuipuuza Katiba ya nchi. Msingi wao ni kutii amri wanazopewa na ccm hata kama zinakiuka katiba.

Mahakama ambayo inaendeshwa kwa kodi zetu, imekuwa ikionesha wazi bila kificho kuipuuza Katiba ya nchi hususan linapoluja suala la Haki za Binadamu pale mtuhumiwa anaponyakuliwa/ kutekwa nyara na vyombo vya dola.

Suala la utekwaji nyara akina Soka na wenzake mahakama imetoa kinga ya kisheria kws jeshi la polisi ambapo watekwa nyara walipochukuliwa na polisi na kuwazuia. Mahakama ilisema hawapo katika vituo vya polisi ingawa ushahidi kuwa waliitwa polisi ulikuwa wazi na hakuna namna inayoweza kufanikisha upatikanaji wao.

Mahakama, imeendelea kuzuia dhamana ya kijana Kombo wa Tanga kwa kosa linalofhaminika. Hukumu hiyo imetolewa bila hata kesi ya msingi kuanza kusikilizwa dhidi ya kijana huyo.

Matumizi ya mahakama kulinda maslahi ya CCM yamekuwa bayana bila kificho wala aibu. Jaji Mkuu amebariki hilo ndiyo maana hajawahi kukemea ukiukwaji wa Haki za watu wanaotuhumiwa kwa makosa yanayohusiana na siasa.

Mwabukusi, Mdude_Nyagali na W. Slaa walikamatwa kwa amri ya IGP akiwatuhumu kwa kesi ya uhaini kwa sababu walipinga wazi wazi mkataba wa DP World. Tena walikamatwa baada ya kesi yao kupinga utaratibu wa mkataba ule. Mahakama ilishajiandaa kuwahukumu kwa kesi ya uhaini kama ilivyofanya kwa Mbowe. Amri ya kutengua maamuzi ama mwenendo wa kesi zinazoendelea hutoka JUU ndo maana tunasema kuwa nchi inapita kwenye giza na bonde la mauti.

Hitimisho
Mamlaka ya nchi haitoki tena kws Wananchi bali kutoka kwa vyombo vya usalama na Mahakama. Kama siyo kweli, njoo na hoja ya kupinga uhalisia huu
Topic yako ni nzuri lakini umeharibu ulipoingiza hoja za hao wahuni akina Mdude_Nyagali , Mwabukusi na babu Slaa.
 
Ni mtazamo wako tu.

Nilikaa na kutafiti kabla sijaandika
Kama unaweza kujenga hoja kupitia Mdude_Nyagali basi na wewe ni muflisi kichwani.

Jitu liatumia mdomo kutukana na kudharau viongozi wa nchi siyo la kulipa platform yeyote. CHADEMA wanalitumia kama debe tupu au kokoro. Yaani liongee matusi ili wapate sababu ya kuandika hashtgs#
 
Umeharibu kabisa, umejuaje kama ana nia njema?

Mkuu @Tindo, katika hili la kusimamia haki, naomba tuu niheshimu your opinion on me,kwasababu ya kitu kinachoitwa perception, ni jinsi unavyojijua wewe ulivyo vs ya watu wanavyo ku perceive wanavyokuona wao。

kuna wadada they dress nasty watu wana wa perceive ni ma danga, kumbe sio, na kuna wadada wanavaa hijab na nikab,wanaonekana decent girls wenye heshima, kumbe ni madanga ya ajabu!。

kuna watu wakisikia tuu wewe ni CCM wanakuona sio
P
Wala hata sikupimi kwa chama chako, bali nakupima kwa mwenendo wako kwenye utetezi wa haki. Sikulaumu maana sio rahisi usimamie haki kwa 100%, lakini kwenye kusimamia haki uko chini ya 50% kwa sasa. Kabla ya utawala wa Magufuli nilikuoverrate, baada ya Magufuli kuingia madarakani nikajua I was wrong, yaani huna tofauti na kina Halima Mdee & co.
 
Kabla ya utawala wa Magufuli nilikuoverrate, baada ya Magufuli kuingia madarakani nikajua I was wrong, yaani huna tofauti na kina Halima Mdee & co.
Naomba kuheshimu mawazo yako, ila pia naomba angalia tarehe bandiko hili, Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! that was the situation, it was the law of the jungle, survival is for the fittest, to be fit, you have to be adaptive to the changing environments, hivyo I'm a survival but I kept hitting them hard where it hurts most.
Je ungekuwa wewe ungefanyaje?.
P
 
Naomba kuheshimu mawazo yako, ila pia naomba angalia tarehe bandiko hili, Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! that was the situation, it was the law of the jungle, survival is for the fittest, to be fit, you have to be adaptive to the changing environments, hivyo I'm a survival but I kept hitting them hard where it hurts most.
Je ungekuwa wewe ungefanyaje?.
P
Hamna hata mtu anatishika na mabandiko yako tena kwa sasa, maana umeshaonekana ni chawa, lakini unaonea soni uchawa wako.
 
Hamna hata mtu anatishika na mabandiko yako tena kwa sasa,
Sipandishi mabandiko humu ili kutisha mtu, napandisha mabandiko ya facts na opinions zangu ili kuisaidia jamii yangu na sio kutisha watu!.
maana umeshaonekana ni chawa, lakini unaonea soni uchawa wako.
Pia hapa naheshimu maoni yako, kuniita chawa kwangu ni kama kunitukana, ila kama wewe unaniona chawa na mimi najijua sio chawa, then naheshimu mtazamo wenu kuniona chawa hivyo mnanidharau, ila wanaonijua for real, wananijua mimi sio chawa, wananiheshimu.

Kama hutajali, unaweza kuniambia unavyoniona
Mimi ni chawa wa nani?
Ni chawa wa CCM?
Ni chawa wa serikali?
Ni chawa wa Samia?
Ni chawa wa nani?.
P
 
Mkuu Pascal Mayalla,
I salute you with due respect
As the learned counsel of the HC and senior journalist, I always second your immense commitment and accountability in transferring soft skills endeavors to ensure the laymen in legal aspects and constitutional supremacy understand their rights and unequivocally have them, practice them, and take pride in them.

I seldom back up your opinion when, at times, you decide to adapt and start ushering accolades to the sitting regime, knowing it is badly delivering on all fronts.

It is my hearted feeling to advise you to isolate yourself from bravery deception to avoid getting politically stained from hostility affront.

I sincerely admire your logical reasoning when presenting your ideas with constructive optimism, I bet you deserve a seat to harness the swerving administration.
mumble jumble; gibberish.
 
Tatizo la Mahakama limekuwa kubwa baada ya kuingia kwa kada ya wasaidizi wa majaji. Majaji wengi hawaandiki hukumu, zinaandikwa na very junior judicial officers, ambao, kama ni rufaa, wanatengua hukumu ya the most senior person to them.

Sasa hivi hukumu za mahakama kuu hazina taste. Unaweza kusoma hukumu ya mahakama ya chini ukaiona imeshiba, na ina mantiki kuliko hukumu za High Court.

Pia wasaidizi wa majaji wanakimbizana kusaka rushwa. Wana mishahara kidogo, hawana allowance inayofanana na wanaowasaidia, ni kama wamewekwa chini ya uangalizi tu. Ili kurudisha nidhamu, hii kada iondolewe.

Jaji mwenyewe ajipinde, atoe uamuzi. Haiwezekani Samia akuteue, akulipe mamilioni, halafu kazi afanye mwingine, kazi very substandard
Hiviii kazi ya TAKUKURU ni ipiii? Hata hayo hawayaoni kuwa ni rushwa! Kitengo hiki kingefutwa tu maana sioni kama kina tija kwa taifa na watu wake bali ni hasara tupu.
 
Ni usanii bwana unaakisi jina lako. Eti mhimili unaosimamia kuvunja haki za binadamu. Huoni kama kichwani kwako kumejaa nyama😂😂 Jitafakari basi
Nadhani amekuja na well established facts ambazo ziko supported na provisions za National Constitution! Nilitarajia ungeonesha kujaa kwake Nyama kichwani kwa kuthibitisha ni Kwa namna Gani mahakama sio mhimili unaosimamia uvunjwaji wa wa Haki za watu. Hii unazidi kunishawishi kwamba aliyoyasema mfanyabiashara mmoja maarufu ambaye Yuko karibu sana na watawala kwamba mahakama zinapigiwa simu Moja tu na maamuzi hubatilishwa!
 
Hiviii kazi ya TAKUKURU ni ipiii? Hata hayo hawayaoni kuwa ni rushwa! Kitengo hiki kingefutwa tu maana sioni kama kina tija kwa taifa na watu wake bali ni hasara tupu.
Takukuru ikija kwenye national corruption index, na wao nafasi zao wanakimbizana kwa karibu na polisi.

Yani ni miongozi wa Taasisi ambazo zinaongoza kwa Rushwa. Rushwa ni kikwazo Cha Haki na uhuru wa watu sehemu yoyote duniani. Kwa muktadha huo basi ifahamike kwamba Takukuru wanafanya kazi kwa pamoja na polisi na mahakama Ili kulinda utamaduni wa Rushwa ambao ni sehemu ya maisha na kazi Yao. Takukuru honesha makucha pale mtu anapotofautiana na mamlaka Pekee na pale mwanasiasa anapotaka kujitwalia umaarufu kwa gharama ya mtendaji wa idara Fulani! Hamuowaoni na makamera huko wakikagua miradi utadhani wao ni experts kuliko wallioibuni na kuijenga! Badala ya kusema wanaoenda kushangaa au kutembelea
 
Kama unaweza kujenga hoja kupitia Mdude_Nyagali basi na wewe ni muflisi kichwani.

Jitu liatumia mdomo kutukana na kudharau viongozi wa nchi siyo la kulipa platform yeyote. CHADEMA wanalitumia kama debe tupu au kokoro. Yaani liongee matusi ili wapate sababu ya kuandika hashtgs#
Ndo maana haukuumbwa malaika kwa sababu hata shetani hakufikii kwa uovu
 
Muda mwingine yakupasa ukubali kuwa heshima Yako imeshuka Sanaa na unapaswa kudharauliwa

Hili limetokana na kubadilika kwako kuitetea jamii na kuanzia kutetea watawala namkumbuka sana Pasco wa Jf endapo watakutana na Pascal niwazi kwama watazichapa
 
Back
Top Bottom