Mahakama ya Tanzania ni mhimili unaosimamia uvunjwaji wa Haki za Binadamu nchini....

Huu ni usanii?
 
Umepoteza ile taswira yako ya kusimamia haki. Unacheza na upepo zaidi kuliko haki. Inshort ni chawa mstaarabu.
Mkuu @Tindo, katika hili la kusimamia haki, naomba tuu niheshimu your opinion on me,kwasababu ya kitu kinachoitwa perception, ni jinsi unavyojijua wewe ulivyo vs ya watu wanavyo ku perceive wanavyokuona wao。

kuna wadada they dress nasty watu wana wa perceive ni ma danga, kumbe sio, na kuna wadada wanavaa hijab na nikab,wanaonekana decent girls wenye heshima, kumbe ni madanga ya ajabu!。

kuna watu wakisikia tuu wewe ni CCM wanakuona sio
P
 
Ni usanii bwana unaakisi jina lako. Eti mhimili unaosimamia kuvunja haki za binadamu. Huoni kama kichwani kwako kumejaa nyama😂😂 Jitafakari basi
Wewe ni mmoja wao ndo maana hakuna tatizo unaloliona.

Endelea kuhubiri nyama kujaa kwenye vichwa vya watu. Saa ya Ukombozi inakuja
 
Topic yako ni nzuri lakini umeharibu ulipoingiza hoja za hao wahuni akina Mdude_Nyagali , Mwabukusi na babu Slaa.
 
Ni mtazamo wako tu.

Nilikaa na kutafiti kabla sijaandika
Kama unaweza kujenga hoja kupitia Mdude_Nyagali basi na wewe ni muflisi kichwani.

Jitu liatumia mdomo kutukana na kudharau viongozi wa nchi siyo la kulipa platform yeyote. CHADEMA wanalitumia kama debe tupu au kokoro. Yaani liongee matusi ili wapate sababu ya kuandika hashtgs#
 
Umeharibu kabisa, umejuaje kama ana nia njema?

Wala hata sikupimi kwa chama chako, bali nakupima kwa mwenendo wako kwenye utetezi wa haki. Sikulaumu maana sio rahisi usimamie haki kwa 100%, lakini kwenye kusimamia haki uko chini ya 50% kwa sasa. Kabla ya utawala wa Magufuli nilikuoverrate, baada ya Magufuli kuingia madarakani nikajua I was wrong, yaani huna tofauti na kina Halima Mdee & co.
 
Kabla ya utawala wa Magufuli nilikuoverrate, baada ya Magufuli kuingia madarakani nikajua I was wrong, yaani huna tofauti na kina Halima Mdee & co.
Naomba kuheshimu mawazo yako, ila pia naomba angalia tarehe bandiko hili, Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! that was the situation, it was the law of the jungle, survival is for the fittest, to be fit, you have to be adaptive to the changing environments, hivyo I'm a survival but I kept hitting them hard where it hurts most.
Je ungekuwa wewe ungefanyaje?.
P
 
Hamna hata mtu anatishika na mabandiko yako tena kwa sasa, maana umeshaonekana ni chawa, lakini unaonea soni uchawa wako.
 
Hamna hata mtu anatishika na mabandiko yako tena kwa sasa,
Sipandishi mabandiko humu ili kutisha mtu, napandisha mabandiko ya facts na opinions zangu ili kuisaidia jamii yangu na sio kutisha watu!.
maana umeshaonekana ni chawa, lakini unaonea soni uchawa wako.
Pia hapa naheshimu maoni yako, kuniita chawa kwangu ni kama kunitukana, ila kama wewe unaniona chawa na mimi najijua sio chawa, then naheshimu mtazamo wenu kuniona chawa hivyo mnanidharau, ila wanaonijua for real, wananijua mimi sio chawa, wananiheshimu.

Kama hutajali, unaweza kuniambia unavyoniona
Mimi ni chawa wa nani?
Ni chawa wa CCM?
Ni chawa wa serikali?
Ni chawa wa Samia?
Ni chawa wa nani?.
P
 
mumble jumble; gibberish.
 
Hiviii kazi ya TAKUKURU ni ipiii? Hata hayo hawayaoni kuwa ni rushwa! Kitengo hiki kingefutwa tu maana sioni kama kina tija kwa taifa na watu wake bali ni hasara tupu.
 
Ni usanii bwana unaakisi jina lako. Eti mhimili unaosimamia kuvunja haki za binadamu. Huoni kama kichwani kwako kumejaa nyama😂😂 Jitafakari basi
Nadhani amekuja na well established facts ambazo ziko supported na provisions za National Constitution! Nilitarajia ungeonesha kujaa kwake Nyama kichwani kwa kuthibitisha ni Kwa namna Gani mahakama sio mhimili unaosimamia uvunjwaji wa wa Haki za watu. Hii unazidi kunishawishi kwamba aliyoyasema mfanyabiashara mmoja maarufu ambaye Yuko karibu sana na watawala kwamba mahakama zinapigiwa simu Moja tu na maamuzi hubatilishwa!
 
Hiviii kazi ya TAKUKURU ni ipiii? Hata hayo hawayaoni kuwa ni rushwa! Kitengo hiki kingefutwa tu maana sioni kama kina tija kwa taifa na watu wake bali ni hasara tupu.
Takukuru ikija kwenye national corruption index, na wao nafasi zao wanakimbizana kwa karibu na polisi.

Yani ni miongozi wa Taasisi ambazo zinaongoza kwa Rushwa. Rushwa ni kikwazo Cha Haki na uhuru wa watu sehemu yoyote duniani. Kwa muktadha huo basi ifahamike kwamba Takukuru wanafanya kazi kwa pamoja na polisi na mahakama Ili kulinda utamaduni wa Rushwa ambao ni sehemu ya maisha na kazi Yao. Takukuru honesha makucha pale mtu anapotofautiana na mamlaka Pekee na pale mwanasiasa anapotaka kujitwalia umaarufu kwa gharama ya mtendaji wa idara Fulani! Hamuowaoni na makamera huko wakikagua miradi utadhani wao ni experts kuliko wallioibuni na kuijenga! Badala ya kusema wanaoenda kushangaa au kutembelea
 
Ndo maana haukuumbwa malaika kwa sababu hata shetani hakufikii kwa uovu
 
Muda mwingine yakupasa ukubali kuwa heshima Yako imeshuka Sanaa na unapaswa kudharauliwa

Hili limetokana na kubadilika kwako kuitetea jamii na kuanzia kutetea watawala namkumbuka sana Pasco wa Jf endapo watakutana na Pascal niwazi kwama watazichapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…