Mahakama ya Wilaya ya Temeke yavunja ndoa baada ya Bwana harusi kushindwa kushiriki tendo la ndoa kwa miaka 5. Bibi harusi kapotezewa fertility age

Mahakama ya Wilaya ya Temeke yavunja ndoa baada ya Bwana harusi kushindwa kushiriki tendo la ndoa kwa miaka 5. Bibi harusi kapotezewa fertility age

Mpumbavu mama yako aliyekuzaa chooni katikati. Nilitaka tu kujua hizo habari za masista umezipata wapi utupe ushahidi. Unaombwa ushahid unaanza kutukana. Bora baba yako angepiga punyeto kuliko kukuzaa wewe kafiri😂
Mbona mna maneno magumu utafikiri mtaishi daima hapa duniani 😳🙏🏽 Aisee
 
Kwa hali ilivyo sasa hivi kama wanawake wengi wangekuwa na ujasiri wa kwenda kushitaki mahakamani ndoa nyingi zingetenguliwa!
 
Ifikie hatua kwa wale wenye imani thabiti ya kutofanya ngono kabla ya ndoa basi waweze kwenda kupima hospitali kama yaliyomo yamo kama wanavyopima HIV tu.
Kikawaida kiongozi mfunga ndoa anatakiwa kwanza ahoji mwanamke wewe ni mwanamke mwenye maumbile ya kike ?

Halafu anauliza mwanaume wewe ni mwanaume mwenye maumbile ya kiume na ni mwanaume rijali ?

Wakijibu ndiyo anawafungisha ndoa.Wakifunga wakienda kitandani mwanaume anagundua mwanamke kumbe hana maumbile ya kike ruksa hata kesho kwenda kuvunja ndoa kuwa alitamtapeli kuingia kwenye ndoa

Pia mwanamke anaenda kitandani anakuta mwanaume sio rijali hamna kitu kesho ruksa kwenda kuvunja ndoa

Huyo mwanamke alikaa muda mrefu bure bila kuvunja hiyo ndoa ilitakiwa kesho yake au akiwa mvumilivu wiki moja tu angeivunja
 
Ifikie hatua kwa wale wenye imani thabiti ya kutofanya ngono kabla ya ndoa basi waweze kwenda kupima hospitali kama yaliyomo yamo kama wanavyopima HIV tu.
Kupima magonjwa na mambo ya uzazi
 
Pole sana bi harusi, miaka mitano bila kupata mzizi mtaam na umevumilia aisee wewe ni mke kweli.
Ila sasa angalia mafisi wengi watakuibukia uwe makini maana sasa upo huru na una upwiro.

Hongera bi harusi kwa ushindi.
 
Wenye ndoa waache kutoka nje huko na kupata ladha alafu kuja KUDAI talaka ndani kwa visingizio lukuki
 
Aisee! Inasikitisha japo huyo mwanamke alipaswa kufanya hayo maamuzi mapema kabisa kama hakujiona ni mwenye kuweza kumvumilia jamaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwambaa mtani nawee unapendaa mzagamuo?
 
Mahakama ya wilaya ya Temeke yavunja ndoa ya kikristo kati ya Salome Laurian Maganga na Bwana Michael Peter Motau baada ya ushahidi kuonesha bwana harusi hana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa.

Ndoa hiyo iliyodumu kwa miaka mitano. ilifungwa mwaka 2019 na imevunjwa mwaka 2024. Bibi harusi alalamika kupotezewa muda wake wa uzazi kwa miaka mitano umepita bure bila kupokea mbegu yoyote.


NIMEJIFUNZA SEX BEFORE MARRIAGE NI MBAYA ILA NA MARRIAGE BEFORE SEX NI MBAYA PIA

Uzinzi sio mzuri, ila ndoa ya kikristo inaweza ikakupotezea sana muda bila kutarajia. imagine binti kaolewa na miaka 30 halafu ndoa inavunjwa akiwa na miaka 35, malengo yake ya uzazi kupata watoto ni kama yameshaharibiwa baada ya mkataba wa ndoa Hiyo kumfunga kwa miaka mitano
hapakua na ndoa hapo, labda yalikua maigizo au biashara ya ndoa 🐒

watu wanaishi hadi miaka zaidi ya 10 kwenye ndoa bila kupata mtoto sembuse miaka mitano tu?🐒


lipo la ziada zaidi ya hilo,
kwanza ndoa za kikatoliki hutenguliwa na mahakama ya ndoa ya kanisa katoliki, ikithibitika wahusika walikua wakifanya maigizo tu ya ndoa pale madhabahini 🐒
 
Back
Top Bottom