Mahakama ya Wilaya ya Temeke yavunja ndoa baada ya Bwana harusi kushindwa kushiriki tendo la ndoa kwa miaka 5. Bibi harusi kapotezewa fertility age

Mahakama ya Wilaya ya Temeke yavunja ndoa baada ya Bwana harusi kushindwa kushiriki tendo la ndoa kwa miaka 5. Bibi harusi kapotezewa fertility age

So kwa miaka 5 alikua anamridhishaje mkewe? Mm siamini huo upuuzi! Kuna kitu hapo. Au mwanamke aliangalia mali na kumvumilia jamaa ili aje achukue mali?

Wanaume mmeona hawa viumbe walivyokaa kitapeli?
 
Ndoa ya Kikristo (specifically RC dini yangu) inakamilika kwa tendo la ndoa, kama halijafanyika hiyo ndoa ni batili, hayo husemwa live kwenye semina za ndoa.
Hakukuwa na haja hata ya kusubili miaka 5
 
So kwa miaka 5 alikua anamridhishaje mkewe? Mm siamini huo upuuzi! Kuna kitu hapo. Au mwanamke aliangalia mali na kumvumilia jamaa ili aje achukue mali?

Wanaume mmeona hawa viumbe walivyokaa kitapeli?

Hukumu imewekwa juu ya uzi. Soma hukumu ndipo utaelewa walianza kutengana lini na ndoa imevunjwa lini
 
Kwann avute goma kama chombo haisomi 5g?

Kwann waanike aibu zao

Vendetta at play
 
Mjegeje Ulikosa Risasi Imekuwa Tafrani Sasa
Kwanini Mke Asijiongeze Waishi
 
Mahakama ya wilaya ya Temeke yavunja ndoa ya kikristo kati ya Salome Laurian Maganga na Bwana Michael Peter Motau baada ya ushahidi kuonesha bwana harusi hana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa.

Ndoa hiyo iliyodumu kwa miaka mitano. ilifungwa mwaka 2019 na imevunjwa mwaka 2024. Bibi harusi alalamika kupotezewa muda wake wa uzazi kwa miaka mitano umepita bure bila kupokea mbegu yoyote.


NIMEJIFUNZA SEX BEFORE MARRIAGE NI MBAYA ILA NA MARRIAGE BEFORE SEX NI MBAYA PIA

Uzinzi sio mzuri, ila ndoa ya kikristo inaweza ikakupotezea sana muda bila kutarajia. imagine binti kaolewa na miaka 30 halafu ndoa inavunjwa akiwa na miaka 35, malengo yake ya uzazi kupata watoto ni kama yameshaharibiwa baada ya mkataba wa ndoa Hiyo kumfunga kwa miaka mitano
Hoja ya kwamba kapotezewa muda wake fertility ni ya kipumbavu kabisa! tangu aanze kuwa fertile na muda aliokaa kwenye ndoa upi ni mwingi? amesuburia mwenyewe jua limeanza kuzama ndo katafuta ndoa halafu anaenda kuleta hoja za kijinga.

Kwa upande mwengine, kama mwanaume hana uwezo wa kumuingilia mwanamke kwanini alioa? na yeye mwanamke kwanini alivumilia miaka mitano yote? kimsingi hapo hata hiyo ndoa yenywewe haijatimia kwanza, kwasababu (if I recall correctly) both uislamu na ukristo unatambua kukamilika kwa ndoa ni baada ya Mume kumuingilia mke wake. Kwa upande wa uislamu huyo mwanamke angepewa talaka na mamlaka sooner than that (baada ya kuthibitishwa kuwa mume hana uwezo wa kumuingia mwanamke), na wala huyo mwanamke asingakaa eda, yani anaachwa leo kesho kama kuna mwamba anamtaka anamuoa maisha yanaendelea.

Swali ni je Kanisa inatambua hiyo talaka? naomba wajuzi watuelimishe
 
Hoja ya kwamba kapotezewa muda wake fertility ni ya kipumbavu kabisa! tangu aanze kuwa fertile na muda aliokaa kwenye ndoa upi ni mwingi? amesuburia mwenyewe jua limeanza kuzama ndo katafuta ndoa halafu anaenda kuleta hoja za kijinga.

Kwa upande mwengine, kama mwanaume hana uwezo wa kumuingilia mwanamke kwanini alioa? na yeye mwanamke kwanini alivumilia miaka mitano yote? kimsingi hapo hata hiyo ndoa yenywewe haijatimia kwanza, kwasababu (if I recall correctly) both uislamu na ukristo unatambua kukamilika kwa ndoa ni baada ya Mume kumuingilia mke wake. Kwa upande wa uislamu huyo mwanamke angepewa talaka na mamlaka sooner than that (baada ya kuthibitishwa kuwa mume hana uwezo wa kumuingia mwanamke), na wala huyo mwanamke asingakaa eda, yani anaachwa leo kesho kama kuna mwamba anamtaka anamuoa maisha yanaendelea.

Swali ni je Kanisa inatambua hiyo talaka? naomba wajuzi watuelimishe

Ndio kanisa linatambua hiyo Talaka. Kesi yao Walianzia kusikilizwa kanisani kwanza ndipo wakaamia mahakamani
 
Kwanini amevumilia hivyo huyo dada hiyo ndoa ilikua batili week ya kwanza tu angeenda kushtaki kwa viongozi wa kanisa ndoa ingevunjwa
 
Mahakama ya wilaya ya Temeke yavunja ndoa ya kikristo kati ya Salome Laurian Maganga na Bwana Michael Peter Motau baada ya ushahidi kuonesha bwana harusi hana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa.

Ndoa hiyo iliyodumu kwa miaka mitano. ilifungwa mwaka 2019 na imevunjwa mwaka 2024. Bibi harusi alalamika kupotezewa muda wake wa uzazi kwa miaka mitano umepita bure bila kupokea mbegu yoyote.


NIMEJIFUNZA SEX BEFORE MARRIAGE NI MBAYA ILA NA MARRIAGE BEFORE SEX NI MBAYA PIA

Uzinzi sio mzuri, ila ndoa ya kikristo inaweza ikakupotezea sana muda bila kutarajia. imagine binti kaolewa na miaka 30 halafu ndoa inavunjwa akiwa na miaka 35, malengo yake ya uzazi kupata watoto ni kama yameshaharibiwa baada ya mkataba wa ndoa Hiyo kumfunga kwa miaka mitano
Jamaa angempa tu talaka mapema mambo yasingekua mengi mpk huku kwenye mitandao!maana sasa kadhalilika bure tu
 
Wanawake viumbe wa ajabu sana,kama angekuwa hazai je mume angempeleka mahakamani.Wanaume tusipokuwa makini wnaume watatumaliza hapa duniani.Kataa ndoa ,chezea acha asepe.
 
Hili suala lao mbona jepesi.Huyo mama akisubiri sana bila sababu.
Kikristu - Roman Catholic - siku ndoa ikifungwa lazima wahusika wakutane kimwili labda kwa sababu ambazo wao watakubaliana, mmoja akimnyima mwenzake ndoa haijakamilika na hakuna ndoa hapo.
Hapo hata haja ya kwenda mahakamani haikuwepo LABDA kama kuna issue ya mali, au jamaa alikua mbishi..mahakamani mtu kaaibishwa tu aisee
Hiyo ndoa ilikuwa Voidable .Sheria ya ndoa ya 1971 na marwekebisho yake inaipa mahakama mamlaka ya kuivunja na kwa mujibu wa katba ya JMT ya 1977 imeipa mamlaka kipekee mahakama kutoa haki.Kuna sababu za kuifanya ndoa batili moja kwa moja(void) lakini hili la kushindwa kubanduana siyo mojawapo.
 
Wanawake viumbe wa ajabu sana,kama angekuwa hazai je mume angempeleka mahakamani.Wanaume tusipokuwa makini wnaume watatumaliza hapa duniani.Kataa ndoa ,chezea acha asepe.
Kwa hapo mwanamke yuko sahihi.Kuzaa siyo sawa na kula ndoa yaani consumation.Hapo mke amevumilia sana anastahili pongezi.Sheria inataka consumation ifanyike siku ambayo ndoa ilifungwa.Angeweza kudai talaka siku iliyofuata baada ya kufunga ndoa.Kuzaa siyo lengo mama la ndoa bali ilin ndoa iwe ndoa lazima kukulana mzigo.Failure to consumate,renders marriage voidable.
 
Back
Top Bottom